Polish

Swahili: New Testament

1 Corinthians

4

1Tak niechaj o nas człowiek rozumie, jako o sługach Chrystusowych i o szafarzach tajemnic Bożych.
1Mtu na atuone sisi kuwa ni watumishi wa Kristo tuliokabidhiwa siri za mungu.
2A tegoć więc szukają przy szafarzach, aby każdy znaleziony był wiernym.
2Kinachotakiwa kwa yeyote yule aliyekabidhiwa kazi ni kuwa mwaminifu.
3Aleć u mnie to jest najmniejsza, żebym był od was sądzony, albo od sądu ludzkiego; lecz i sam siebie nie sądzę.
3Kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na ninyi, au na mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu.
4Albowiem choć nic na się nie wiem, wszakże nie przeto jestem usprawiedliwiony; ale ten, który mnie sądzi, Pan jest.
4Dhamiri yangu hainishtaki kwa jambo lolote, lakini hiyo haionyeshi kwamba sina lawama. Bwana ndiye anayenihukumu.
5A tak nie sądźcie przed czasem, ażby Pan przyszedł, który też oświeci, co skrytego jest w ciemności i objawi rady serc; a tedy każdy będzie miał chwałę od Boga.
5Basi, msihukumu kabla ya wakati wake acheni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayafichua mambo ya giza yaliyofichika, na kuonyesha wazi nia za mioyo ya watu. Ndipo kila mmoja atapata sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.
6A te rzeczy, bracia! w podobieóstwie obróciłem na się i na Apollosa dla was, abyście się nauczyli z nas nad to, co napisane, nie rozumieć, iżbyście się jeden dla drugiego nie nadymali przeciwko drugiemu.
6Ndugu, hayo yote niliyosema juu ya Apolo na juu yangu, ni kielelezo kwenu: kutokana na mfano wangu mimi na Apolo nataka mwelewe maana ya msemo huu: "Zingatieni yaliyoandikwa." Kati yenu pasiwe na mtu yeyote anayejivunia mtu mmoja na kumdharau mwingine.
7Albowiem któż cię różnym czyni? I cóż masz, czego byś nie wziął? A jeźliżeś wziął, przeczże się chlubisz, jakobyś nie wziął?
7Nani amekupendelea wewe? Una kitu gani wewe ambacho hukupewa? Na ikiwa umepewa, ya nini kujivunia kana kwamba hukukipewa?
8Jużeście nasyceni, jużeście ubogaceni, bez nas królujecie; a bodajeście królowali, abyśmy i my z wami pospołu królowali!
8Haya, mmekwisha shiba! Mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa wafalme bila ya sisi! Naam, laiti mngekuwa kweli watawala, ili nasi pia tuweze kutawala pamoja nanyi.
9Bo mam za to, iż Bóg nas ostatnich Apostołów wystawił jakoby na śmierć skazanych; albowiem staliśmy się dziwowiskiem światu, Aniołom i ludziom.
9Nafikiri Mungu ametufanya sisi mitume tuwe watu wa mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa kuuawa, maana tumekuwa tamasha mbele ya ulimwengu wote, mbele ya malaika na watu.
10Myśmy głupi dla Chrystusa, aleście wy roztropni w Chrystusie; myśmy słabi, aleście wy mocni; wyście zacni, aleśmy my bezecni.
10Sisi ni wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye busara katika kuungana na Kristo! Sisi ni dhaifu, ninyi ni wenye nguvu. Ninyi mnaheshimika, sisi tunadharauliwa.
11Jeszcze aż do tej godziny i łakniemy, i pragniemy, i nadzy jesteśmy, i bywamy policzkowani, i tułamy się,
11Mpaka dakika hii, sisi tuna njaa na kiu, hatuna nguo, twapigwa makofi, hatuna malazi.
12I pracujemy, robiąc własnemi rękami; gdy nas haóbią, dobrorzeczemy, gdy nas prześladują, znosimy;
12Tena twataabika na kufanya kazi kwa mikono yetu wenyewe. Tukitukanwa, tunawatakia baraka; tukidhulumiwa, tunavumilia;
13Gdy nam złorzeczą, modlimy się za nich: staliśmy się jako śmieci tego świata i jako omieciny u wszystkich, aż dotąd.
13tukisingiziwa, tunajibu kwa adabu. Mpaka sasa tumetendewa kama uchafu wa dunia; na kwa kila mtu sisi ni takataka!
14To piszę, nie przeto, abym was zawstydził; ale jako dziatki moje miłe napominam.
14Siandiki mambo haya kwa ajili ya kuwaaibisha ninyi, bali kwa ajili ya kuwafundisheni watoto wangu wapenzi.
15Bo choćbyście mieli dziesięć tysięcy pedagogów w Chrystusie, wszakże niewiele ojców macie; bom ja was w Jezusie Chrystusie przez Ewangieliję spłodził.
15Maana hata kama mnao maelfu ya walezi katika maisha yenu ya Kikristo, baba yenu ni mmoja tu, kwani katika maisha ya Kikristo mimi ndiye niliyewazaeni kwa kuihubiri Habari Njema.
16Proszę was tedy, bądźcie naśladowcami moimi.
16Kwa hiyo, nawasihi: fuateni mfano wangu.
17Dlategom posłał do was Tymoteusza, który jest syn mój miły i wierny w Panu; ten wam przypomni drogi moje w Chrystusie, jako wszędy w każdym zborze nauczam.
17Ndiyo maana nimemtuma Timetheo kwenu. Yeye ni mtoto wangu mpenzi na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusheni njia ninayofuata katika kuishi maisha ya Kikristo; njia ninayofundisha kila mahali katika makanisa yote.
18Ale tak się niektórzy nadęli, jakobym nie miał przyjść do was.
18Baadhi yenu wameanza kuwa na majivuno wakidhani kwamba sitakuja tena kwenu.
19Lecz przyjdę rychło do was, jeźli Pan będzie chciał, i poznam nie mowę tych nadętych, ale moc.
19Lakini, Bwana akipenda, nitakuja kwenu upesi; na hapo ndipo nitakapojionea mwenyewe, sio tu kile wanachoweza kusema hao wenye majivuno, bali pia kila wanachoweza kufanya.
20Albowiem nie w mowie zależy królestwo Boże, ale w mocy.
20Maana Utawala wa Mungu si shauri la maneno matupu, bali ni nguvu.
21Cóż chcecie? z rózgąli mam przyjść do was, czyli z miłością i duchem cichości?
21Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole?