Polish

Swahili: New Testament

1 Corinthians

5

1Zapewne słychać, że jest między wami wszeteczeóstwo, a takie wszeteczeóstwo, jakie i między pogany nie bywa mianowane, aby kto miał mieć żonę ojca swego.
1Ziko habari za kuaminika kwamba kuna uzinzi miongoni mwenu; tena ni uzinzi mbaya ambao haujapata kuwako hata kati ya watu wasiomjua Mungu. Nimeambiwa eti mmoja wenu anaishi na mke wa baba yake!
2A wyście się nadęli, a nie raczejście się smucili, aby był uprzątniony z pośrodku was ten, który ten uczynek popełnił.
2Mnawezaje kujivuna? Ingekuwa afadhali kwenu kuomboleza, na huyo aliyefanya kitu hicho aondolewe miongoni mwenu.
3Przetoż ja, aczem odległy ciałem, lecz przytomny duchem, jużem jakobym był przytomny, osądził tego, który to tak popełnił,
3Nami, kwa upande wangu, ingawa kwa mwili niko mbali nanyi, hata hivyo kwa roho niko hapo pamoja nanyi: na hivyo, kama vile nipo hapo, nimekwisha mhukumu huyo aliyefanya jambo hilo la aibu.
4Gdy się w imieniu Pana naszego Jezusa Chrystusa zgromadzicie, i z duchem moim, i z mocą Pana naszego, Jezusa Chrystusa,
4Wakati mnapokusanyika pamoja kwa jina la Bwana Yesu, nami nikiwa pamoja nanyi kwa roho, basi, kwa uwezo wa Bwana wetu Yesu,
5Oddać szatanowi na zatracenie ciała, żeby duch był zachowany w on dzieó Pana Jezusa.
5mkabidhini mtu huyo kwa Shetani ili mwili wake uharibiwe na roho yake iweze kuokolewa Siku ile ya Bwana.
6Nie dobrać to chluba wasza. Azaż nie wiecie, iż trochę kwasu wszystko zaczynienie zakwasza?
6Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga?
7Wyczyścież tedy stary kwas, abyście byli nowem zaczynieniem, jako przaśnymi jesteście; albowiem Baranek nasz wielkanocny za nas ofiarowany jest, Chrystus.
7Jitakaseni, mkatupe mbali chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu kama mnavyopaswa kuwa; maana, Kristo, Pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko.
8A tak obchodźmy święto nie w starym kwasie, ani w kwasie złości i rozpusty, ale w przaśnikach szczerości i prawdy.
8Basi, tufanye karamu hiyo si kwa chachu ile ya kale, chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, mkate wa usafi na kweli.
9Pisałem wam w liście, abyście się nie mieszali z wszetecznikami;
9Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi.
10Ale nie zgoła z wszetecznikami tego świata albo z łakomcami, albo z drapieżcami, albo z bałwochwalcami; bo inaczej musielibyście z tego świata wynijść.
10Ukweli ni kwamba sikuwa na maana ya watu wote duniani walio wazinzi, wachoyo, walaghai na wenye kuabudu sanamu. Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu ninyi kuihama dunia hii kabisa!
11Lecz teraz pisałem wam, abyście się nie mieszali; jeźliby kto, mieniąc się być bratem, był wszetecznikiem, albo łakomcą, albo bałwochwalcą, albo obmówcą, albo pijanicą, albo ździercą, żebyście z takowym i nie jadali.
11Nilichoandika ni hiki: msishirikiane na ndugu Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi mlevi na mlaghai. Mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye.
12Albowiem cóż ja mam sądzić i obcych? Azaż wy tych, co są domowi, nie sądzicie?
12Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, ninyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu ninyi wenyewe?
13Ale tych, którzy są obcymi, Bóg sądzi. Przetoż uprzątnijcie tego złośnika z pośrodku samych siebie.
13Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu!