Polish

Swahili: New Testament

1 Thessalonians

4

1A dalej mówiąc, bracia! prosimy was i napominamy przez Pana Jezusa, jakoście przyjęli od nas, jakobyście sobie mieli postępować i Bogu się podobać, abyście tem więcej obfitowali;
1Hatimaye, ndugu zangu, mmejifunza kutoka kwetu namna mnavyopaswa kuishi ili kumpendeza Mungu. Na kweli mmekuwa mnaishi hivyo. Sasa tunawaombeni na kuwasihi kwa jina la Bwana Yesu mfanye vema zaidi.
2Gdyż wiecie, jakieśmy wam rozkazania dali przez Pana Jezusa.
2Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
3Albowiem ta jest wola Boża, to jest poświęcenie wasze, żebyście się powściągali od wszeteczeóstwa;
3Mungu anataka ninyi muwe watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa.
4A żeby umiał każdy z was naczyniem swojem władać w świętobliwości i w uczciwości,
4Kila mwanamume anapaswa kujua namna ya kuishi na mkewe kwa utakatifu na heshima,
5Nie w namiętności żądzy, jako i poganie, którzy nie znają Boga;
5na si kwa tamaa mbaya kama watu wa mataifa mengine wasiomjua Mungu.
6I aby nikt nie uciskał i nie oszukiwał w żadnej sprawie brata swego: bo Pan jest mścicielem tego wszystkiego, jakośmy wam przedtem powiadali i oświadczali.
6Basi, mtu yeyote asimkosee au kumpunja mwenzake kuhusu jambo hili. Tulikwisha waambieni hayo na kuwaonya kwamba Bwana atawaadhibu wanaofanya mambo hayo.
7Bo nas nie powołał Bóg ku nieczystości, ale ku poświęceniu.
7Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.
8A przetoż kto to odrzuca, nie odrzuca człowieka, ale Boga, który nam też dał Ducha swego Świętego.
8Kwa hiyo basi, anayedharau mafundisho hayo hamdharau mtu, bali amdharau Mungu mwenyewe anayewapeni Roho wake Mtakatifu.
9A o miłości braterskiej nie potrzeba wam pisać; boście wy sami od Boga nauczeni, abyście miłowali jedni drugich.
9Hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya kuwapenda ndugu zenu waumini. Ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu namna mnavyopaswa kupendana.
10Albowiem też to czynicie przeciwko wszystkim braciom, którzy są we wszystkiej Macedonii; ale was napominamy, bracia! iżbyście tem więcej obfitowali,
10Na mmekuwa mkiwatendea hivyo ndugu zenu wote kila mahali katika Makedonia. Basi, ndugu tunawaombeni mfanye hata zaidi.
11I pilnie się starali, abyście spokojnymi byli i rzeczy swoich pilnowali, i pracowali własnymi rękami swemi, jakośmy wam przykazali;
11Muwe na nia ya kuishi maisha ya utulivu, kila mmoja ashughulikie mambo yake mwenyewe na afanye kazi kwa mikono yake mwenyewe kama tulivyowaagiza pale awali.
12Abyście uczciwie chodzili przed obcymi, a w niczem abyście nie mieli niedostatku.
12Kwa namna hiyo mtajipatia sifa nzuri kutoka kwa wale wasio Wakristo, na hamtakuwa na lazima ya kuwategemea wengine kwa mahitaji yenu.
13A nie chcę, bracia! abyście wiedzieć nie mieli o tych, którzy zasnęli, iżbyście się nie smucili, jako i drudzy, którzy nadziei nie mają.
13Ndugu, twataka mjue ukweli kuhusu wale ambao wamekwisha fariki dunia, ili msipatwe na huzuni kama watu wengine wasio na matumaini.
14Albowiem jeźli wierzymy, iż Jezus umarł i zmartwychwstał, tak Bóg i tych, którzy zasnęli w Jezusie, przywiedzie z nim.
14Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini.
15Boć to wam powiadamy słowem Paóskiem, że my, którzy żywi pozostaniemy do przyjścia Paóskiego, nie uprzedzimy onych, którzy zasnęli.
15Hili tunalowaambieni ni fundisho la Bwana; sisi tulio hai, ambao tutakuwa tumebaki, wakati Bwana atakapokuja, hakika hatutawatangulia wale waliokwisha fariki dunia.
16Gdyż sam Pan z okrzykiem, a głosem archanielskim i z trąbą Bożą zstąpi z nieba, a pomarli w Chrystusie powstaną najpierwej.
16Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza.
17Zatem my żywi, którzy pozostaniemy, wespół z nimi zachwyceni będziemy w obłokach naprzeciwko Panu na powietrze, a tak zawsze z Panem będziemy.
17Kisha sisi tulio hai wakati huo tutakusanywa pamoja nao katika mawingu kumlaki Bwana hewani. Na hivyo tutakuwa daima pamoja na Bwana.
18Przetoż pocieszajcie jedni drugich temi słowy.
18Basi, farijianeni kwa maneno haya.