Polish

Swahili: New Testament

Romans

7

1Azaż nie wiecie, bracia! (bo powiadomym zakonu mówię), iż zakon panuje nad człowiekiem, póki żyje?
1Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua Sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai.
2Albowiem niewiasta, która jest za mężem, póki żyw mąż, obowiązana mu jest zakonem; a jeźliby mąż umarł, uwolniona jest od zakonu mężowego.
2Mathalan: mwanamke aliyeolewa anafungwa na sheria muda wote mumewe anapokuw hai; lakini mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke.
3Przetoż tedy, póki mąż żyje, będzie zwana cudzołożnicą, jeźliby żoną inszego męża została; a jeźliby mąż jej umarł, wolna jest od zakonu onego, aby nie była cudzołożnicą, choćby się inszego męża żoną stała.
3Hivyo mwanamke huyo akiishi na mwanamume mwingine wakati mumewe yungali hai, ataitwa mzinzi; lakini mumewe akifa, mwanamke huyo yu huru kisheria, na akiolewa na mwanamume mwingine, yeye si mzinzi.
4A tak, bracia moi! i wyście umartwieni zakonowi przez ciało Chrystusowe, abyście się stali inszego, to jest tego, który wzbudzony jest z martwych, abyśmy owoc przynosili Bogu.
4Hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa kuhusu Sheria kwa kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa Kristo; sasa mmekuwa wake yeye aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema kwa ajili ya Mungu.
5Albowiem gdyśmy byli w ciele, namiętności grzechów, które się wzniecały przez zakon, mocy dokazywały w członkach naszych ku przynoszeniu owocu śmierci.
5Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na Sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo.
6Lecz teraz staliśmy się wolni od zakonu, umarłszy temu, w którymeśmy byli zatrzymani, abyśmy Bogu służyli w nowości ducha, a nie w starości litery.
6Lakini sasa tumekuwa huru kutoka vifungo vya Sheria, kwa sababu tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. Sasa tunatumikia kufuatana na maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali ile ya kale ya Sheria iliyoandikwa.
7Cóż tedy rzeczemy? Iż zakon jest grzechem? Nie daj tego Boże! I owszemem grzechu nie poznał, tylko przez zakon; bo i o pożądliwości bym był nie wiedział, by był zakon nie rzekł: Nie będziesz pożądał.
7Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: "Usitamani."
8Lecz grzech wziąwszy przyczynę przez przykazanie, sprawił we mnie wszelką pożądliwość; albowiem bez zakonu grzech jest martwy.
8Kwa kuitumia hiyo amri, dhambi ilipata fursa ya kuamsha kila aina ya tamaa mbaya ndani yangu. Maana, bila Sheria dhambi ni kitu kilichokufa.
9I jam żył niekiedy bez zakonu; lecz gdy przyszło przykazanie, grzech ożył, a jam umarł.
9Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na Sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka,
10I znalazło się, że to przykazanie, które miało być ku żywotowi, jest mi ku śmierci.
10nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
11Gdyż grzech, wziąwszy przyczynę przez przykazanie, zawiódł mię i przez nie zabił mię.
11Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua.
12A tak zakon jest święty i przykazanie święte, i sprawiedliwe, i dobre.
12Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
13To tedy dobre stałoż mi się śmiercią? Nie daj tego Boże! I owszem grzech, aby się pokazał być grzechem, sprawił mi śmierć przez dobre, żeby się stał nader grzeszącym on grzech przez ono przykazanie.
13Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo mbaya mno.
14Bo wiemy, iż zakon jest duchowny, alem ja cielesny, zaprzedany pod grzech.
14Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi.
15Albowiem tego, co czynię, nie pochwalam; bo nie, co chcę, to czynię, ale czego nienawidzę, to czynię.
15Sielewi nifanyacho, maana kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachochukia ndicho nikifanyacho.
16A jeźli czego nie chcę, to czynię, przyzwalam zakonowi, że dobry jest.
16Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile Sheria ni nzuri.
17Już tedy teraz nie ja to czynię, ale grzech we mnie mieszkający;
17Basi, si mimi hasa ninayefanya kitu hicho, bali ile dhambi iliyo ndani yangu.
18Gdyż wiem, że nie mieszka we mnie (to jest w ciele mojem) dobre; albowiem chęć jest we mnie, ale wykonać to, co jest dobrego, nie znajduję.
18Najua kwamba hamna jema lolote ndani yangu mimi, kadiri ya ubinadamu wangu. Kwa maana, ingawa nataka kufanya jambo jema, siwezi kulitekeleza.
19Bo nie czynię dobrego, które chcę; ale złe, którego nie chcę, to czynię.
19Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka.
20A jeźliż ja to czynię, czego nie chcę, już ja więcej nie czynię tego, ale grzech, który we mnie mieszka.
20Basi, kama ninafanya kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo, bali ni ile dhambi iliyo ndani yangu.
21Znajduję tedy ten zakon w sobie, gdy chcę dobre czynić, że się mnie złe trzyma.
21Basi, nimegundua kanuni hii: ninataka kufanya jema, lakini najikuta kwamba lile lililo baya ndilo ninalochagua.
22Albowiem kocham się w zakonie Bożym według wewnętrznego człowieka.
22Ndani kabisa katika moyo wangu naifurahia sheria ya Mungu.
23Lecz widzę inszy zakon w członkach moich, odporny zakonowi umysłu mego i który mię zniewala pod zakon grzechu, który jest w członkach moich.
23Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu.
24Nędznyż ja człowiek! Któż mię wybawi z tego ciała śmierci?
24Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?
25Dziękuję Bogu przez Jezusa Chrystusa, Pana naszego. Przetoż tedy ja sam umysłem służę zakonowi Bożemu, lecz ciałem zakonowi grzechu.
25Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.