Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Acts

3

1O Petri ai o Iovano zhanas andek than ande khangeri kana sas o chaso le rhugimasko, kodo sas kal trin pala miazutso.
1Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wanakwenda Hekaluni, wakati wa sala.
2Kotse sas iek manush kai nashti phirelas de sar kerdilo, kai anenas les, ai thonas les swako dies angal e khangeri kai busholas shukar, te mangel love katar kodola kai gele ande tampla
2Na pale karibu na mlango wa Hekalu uitwao "Mlango Mzuri", palikuwa na mtu mmoja, kiwete tangu kuzaliwa. Watu walimbeba huyo mtu kila siku na kumweka hapo ili aombe chochote kwa wale waliokuwa wakiingia Hekaluni.
3Kado manush kana dikhlia le Petres ai le Iovanos sar zhan ande tampla, manglia lendar love.
3Alipowaona Petro na Yohane wakiingia Hekaluni, aliwaomba wampe chochote.
4Petri ai o Iovano dikhen pe leste ai phende, "Dikh pe amende,"
4Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, "Tutazame!"
5ai wo dikhelas pe lende, ai azhukerelas te den les vari so.
5Naye akawageukia, akitazamia kupata kitu kutoka kwao.
6Antunchi o Petri phendia leske, "Nai ma chi rup ai chi sumnakai, numa so si ma dav les tuke, anda o anav le Jesus Kristosko andai Nazareth. Wushti opre ai phir."
6Kisha Petro akamwambia, "Sina fedha wala dhahabu lakini kile nilicho nacho nitakupa. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, tembea!"
7Ai line les vastestar katar o vas chacho, ai vazde les ande punrhende, ai strazo leske punrhe vortosaile.
7Halafu, akamshika mkono wa kulia, akamwinua. Papo hapo miguu na magoti yake yakapata nguvu.
8Ai anda iek data, wushtilo opre, ai phirdia, ai gelo lensa ande tampla, phirelas, xutelas, ai naisilas le Devles.
8Akaruka, akasimama na kuanza kutembea. Halafu akaingia pamoja nao Hekaluni, akitembea na kurukaruka huku akimtukuza Mungu.
9Savorhe dikhle les sar phirelas ai sar naisilas le Devles;
9Watu wote waliokuwa hapo walimwona akitembea na kumsifu Mungu.
10ai preznaisarde ke kodo sas kai beshelas pashai tampla ke busholas shukar, ai mangelas love, ai savorhe chudisaile kana dikhle so kerdilia leske.
10Walipomtambua kuwa ndiye yule aliyekuwa anaombaomba karibu na ule "Mlango Mzuri" wa Hekalu, wakashangaa mno hata wasiweze kuelewa yaliyompata.
11Ai sar kado manush chi mai mekelas le Petres ai le Iovanos, savorhe chudisaile, ai gele lende andek than kai sas anglai tampla kai busholas Solomon.
11Watu wote, wakiwa na mshangao mkubwa wakaanza kukimbilia mahali palipoitwa "Ukumbi wa Solomoni," ambapo yule mtu alikuwa bado anaandamana na Petro na Yohane.
12Kana o Petri dikhlia kodia, mothol o narodoske, "Tume kai san ande Israel, sostar chuden tume anda kadala bucha? Sostar dikhen pe amende kadia, ke sar te avilino amende e putiera vai katar amaro lashimos kai kerdiam te phirel kado manush?
12Basi, Petro alipowaona watu hao akawaambia, "Wananchi wa Israeli, kwa nini mnashangazwa na jambo hili? Mbona mnatukodolea macho kana kwamba ni kwa nguvu zetu au utakatifu wetu sisi wenyewe tumemfanya mtu huyu aweze kutembea?
13O Del le Abrahamosko, ai le Isaakosko, ai ke Iakovosko, O Del amare dadengo, luvudisardia pesko Shav O Jesus; kai dian les ka Pilate, ai phendian ke chi mangen les, ai kai o Pilate mangelas te mekel les.
13Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, Mungu wa baba zetu amemtukuza Yesu mtumishi wake. Yeye ndiye yuleyule mliyemtia mikononi mwa wakuu na kumkataa mbele ya Pilato hata baada ya Pilato kuamua kumwacha huru.
14Numa chi manglian le Swuntos ai kodoles kai sas chacho, ai manglian te meken kodoles kai mudarelas.
14Alikuwa mtakatifu na mwema; lakini ninyi mlimkataa, mkataka mtu mwingine aliyekuwa muuaji afunguliwe.
15Kerdian te mudaren kodoles kai sas o Baro o traio, kai O Del zhuvindisardia andal mule, ai ame dikhliam ai marturia sam.
15Basi, mlimuua yule ambaye ni chanzo cha uzima. Lakini Mungu alimfufua, na sisi ni mashahidi wa tukio hilo.
16Katar o pachamos ande lesko anav, si ke lesko anav, chachardia kodoles kai dikhen ai zhanen; pala pachamos ande leste si kai kado manush sastilo antrego angla tumende.
16Jina la Yesu na imani katika jina hilo ndivyo vilivyompa nguvu mtu huyu mnayemwona na kumfahamu. Imani kwa Yesu ndiyo iliyomponya kabisa mtu huyu kama mnavyoona nyote.
17Akana, murhe phral, zhanav ke chi zhanenas anda kodia tume, ai tume bare kerdian kadia le Jesusosa.
17"Sasa ndugu zangu, nafahamu kwamba ninyi na wakuu wenu mlitenda hayo kwa sababu ya kutojua kwenu.
18Numa O Del kerdia kadia, so sas phendo mai anglal katar o mui peske profetongo, ke O Kristo trobulas te chinuil.
18Lakini ndivyo Mungu alivyotimiza yale aliyotangaza zamani kwa njia ya manabii wote, kwamba ilikuwa lazima Kristo wake ateseke.
19Kein tume anda tumare bezexa, ai parhuven tumaro traio, saxke te aven tumare bezexa iertime. Antunchi O Del sai kerela te avel pe tumende vriama lashe.
19Basi, tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu.
20Wo tradel palpale tumenge le Jesusos. Wo si O Kristo de demult kai sas alosardia amenge.
20Fanyeni hivyo ili Bwana awape nyakati za kuburudika rohoni na kuwaletea yule Kristo aliyemteua ambaye ndiye Yesu.
21Akana O Kristo trobul te beshel ando rhaio zhi kai avel e vriama kai sa avela neviardo, sar O Del phendiasas katar pesko Swuntsi profeturia de dumult.
21Ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama Mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani.
22O Moses phendia, "O Del, tumaro Del vazdel les mashkar tumende ieke profetos sar mande, ai ashunena leste so godi mothola tumenge.
22Kwa maana Mose alisema, Bwana Mungu wenu atawapelekeeni nabii kama mimi kutoka kati yenu ninyi wenyewe.
23Ai kon godi chi ashunela kodo le profetos, avela lino avri mashkar tumende.
23Yeyote yule ambaye hatamsikiliza nabii huyo atatengwa mbali na watu wa Mungu na kuangamizwa.
24Sa le profeturia kai dine duma de katar o Samuel, vi won phende pa kadala dies.
24Manabii wote, kuanzia Samweli na wale waliomfuata, walitangaza habari za mambo haya ambayo yamekuwa yakitendeka siku hizi.
25Tume san le shav le profetonge, ai so O Del shinadia sas amare dadensa kai phendiasas le Abrahamoske, sa le niamon la phuviake avena Swuntsome pala chiro narodo.
25Ahadi zile Mungu alizotoa kwa njia ya manabii ni kwa ajili yenu; na mnashiriki lile agano Mungu alilofanya na babu zenu, kama alivyomwambia Abrahamu: Kwa njia ya wazawa wako, jamaa zote za dunia zitabarikiwa.
26O Del vazdia pesko Shav Jesus, ai tradia les tumende mai anglal te swuntsol tume, kana duriardia tumendar le bezexa."
26Basi, ilikuwa kwa ajili yenu kwanza kwamba Mungu alimfufua mtumishi wake, alimtuma awabariki kwa kumfanya kila mmoja wenu aachane kabisa na maovu yake."