Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Acts

4

1Sar denas duma o Petri ai o Iovano le narodosa, avile le rasha, ai o baro le ketanengo kai lenas sama katar e tampla, ai le Saduseanuria,
1Petro na Yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na Masadukayo walifika.
2nas lenge mishto kai le dui disipluria sicharenas le narodos, ai mothonas le narodoske ke O Jesus zhuvindisailo, ke kodia sikavelas ke le mule sai zhuvindin.
2Walikasirika sana, maana hao mitume walikuwa wanawahubiria watu kwamba Yesu alifufuka, jambo ambalo linaonyesha wazi kwamba wafu watafufuka.
3Thode o vas pe lende, ai thode le ande temnitsa, zhi pe terharin ke vunzhi kana line le e riat sas.
3Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake.
4Numa but andal manush kana ashunde sas o divano kai phende, pachaiepe, ai butile mai but, ai kerdilia panzh mi shave Devleske.
4Lakini wengi kati ya wale waliosikia ujumbe wao waliamini, na idadi ya waumini ikawa imefika karibu elfu tano.
5Pe terharin le bare le narodoske, le mai phure, ai le manush kai ramonas o zakono chidinisaile ande Jerusalem.
5Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na walimu wa Sheria, walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.
6O baro rashai kai busholas Annas, ai o Caiaphas, o Iovano, ai o Alexander, ai sa kodola kai sas anda kodia familia (niamon) chidisaile andek than ande Jerusalem.
6Walikutana pamoja na Anasi, Kayafa, Yohane, Aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa Kuhani Mkuu.
7Andine mashkar pende le Iovanos ai le Petres, ai phushle "Katar kaski putiera, vai ando kasko anav, kerdian tume kodola bucha?"
7Waliwasimamisha mitume mbele yao, wakawauliza, "Ninyi mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina la nani?"
8Antunchi o Petri, pherdo le Swunto Duxosa phendia lenge, "Tume kai san le bare le narodoske, ai tume le phure kai san ande Israel,
8Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, "Viongozi na wazee wa watu!
9Tuma phushen ame adies andak mishtimos kai sas kerdo ieke manusheske kai sas naswalo. Ai ame mothas tumenge sar sastilo.
9Ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,
10Te zhanen savorhe, ai sa narodo andai Israel te zhanel, ando anav le Jesus Kristosko andai Nazareth, kai tume karfosardian po trushul, ai kai O Del zhuvindisardia les mashkar le mule, lestar si kai kado manush si sasto angla tumende.
10basi, ninyi na watu wote wa Israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake Yesu wa Nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini Mungu akamfufua kutoka wafu.
11O Kristo si o bax kai tume shudian, numa wo si o mai baro bax kai trobul te vazden.
11Huyu ndiye ambaye Maandiko Matakatifu yanasema: Jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
12Nai skepimos ande chi iek aver; ke nai ando cheri chi iek aver anav kai sas dino mashkar le manush, kai ame sai avas skepime.
12Wokovu haupatikani kwa mtu mwingine yeyote, kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine ambaye sisi tunaweza kuokolewa naye."
13Kana dikhle o pachamos le Petresko ai le Iovanosko, chudisaile savorhe, ke won zhanenas ke won sas manush sar aver kai chi sichile, ai prinzharde le ke sas le Kristosa.
13Hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.
14Numa kana dikhle pasha pende le manushes kai sastilo sas, chi zhanenas so te mothon.
14Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.
15Ai phende lenge antunchi te anklen avri anda kodia soba, ai denas pe duma won de won,
15Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.
16"So te keren kodole manushenge?" Ke sa o narodo anda Jerusalem zhanenas ke kodo miraklo won kerde les, ai won nashtinas te mothon ke nas chaches.
16Wakaulizana, "Tufanye nini na watu hawa? Kila mtu anayeishi Yerusalemu anajua kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika, nasi hatuwezi kukana jambo hilo.
17Numa te na zhangliolpe mai dur mashkar o narodo so kerdilia, tsipisaras pe lende, ai te aterdiaras le te na mai den duma kanikasa ande kodo anav.
17Lakini ili tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye wasiongee na mtu yeyote kwa jina la Yesu."
18Akharde le, ai phende lenge, "Te na mai sicharen, ai te na mai den duma ande anav le Jesusosko.
18Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.
19Numa o Petri ai o Iovano phende lenge, "Dikhen tume te si vorta angla Del te pachas tumaro mui de sar le Devlesko.
19Lakini Petro na Yohane wakawajibu, "Amueni ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii yeye.
20Ke nashtisaras te garavas, ai te na das duma pa so dikhliam ai so ashundiam."
20Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia."
21Ai mai tsipisarde pe lende te na mai sicharen, ai porme mekle le, chi zhanenas sar te den le mai bare kris, ke pala narodo; ke sa o narodo rhuginaspe ka Del, ai naisinas le Devleske anda so kerdilia.
21Basi, hao wazee wa Baraza wakawaonya kwa ukali zaidi, halafu wakawaacha huru. Hawakuweza kuwapa adhabu kwa sababu watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya tukio hilo.
22Ke o manush kai sastilo sas, sas mai but de sar shtarvardesh bershengo.
22Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arobaini.
23Kana mekle le, gele karing penge manush, ai phende so godi le rasha ai le mai phure phende lenge.
23Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.
24Kana ashunde savorhe, vazde savorhe pengo glaso karing O Del andek than ai phende, "Devla, tu san O Del, tu kai kerdian o cheri, ai e phuv, ai e maria, ai so godi si;
24Waliposikia habari hiyo waliungana pamoja katika kumwomba Mungu wakisema, "Bwana, wewe ni Muumba wa mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo!
25Tu phendian katar cho Swunto Duxo, katar o mui amaro dadesko, che sluga, o David, "Sostar le tsema buntuinpe, ai keren barimata ai le chorhe ginduria kai si mashkar o narodo?
25Ndiwe uliyemfanya mtumishi wako, babu yetu Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: Kwa nini mataifa yameghadhibika? Mbona watu wamefanya mipango ya bure?
26Le amperatsi la phuviake xolaile, ai le bare chidinisaile te maren pe le Devlesa, ai leske Shavesa O Kristo." (Psalm 2:1-2)
26Wafalme wa dunia walijiweka tayari, na watawala walikutana pamoja, ili kumwasi Bwana na Kristo wake.
27Chaches te marenpe che Swuntone Shavesa O Jesus, kai thodian les te avel o baro, o Herod ai o Pilate chidinisaile ande kado foro le themensa ai le narodosa kai si ando Israel.
27"Maana, kwa hakika, ndivyo Herode, Pontio Pilato, watu wa Israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga Yesu Mtumishi wako Mtakatifu ambaye umemtia mafuta.
28Te keren so godi cho vas ai cho zakono aterdiardia mai anglal.
28Naam, walikutana ili wafanye yale ambayo ulikusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.
29Akana, Devla, dikh so roden te aterdiaren che slugen te mothon chi vorba bare chachimasa.
29Lakini sasa, ee Bwana, angalia vitisho vyao. Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
30Kana lunzhardian cho vas te kerdiol sastimata, ai mirakluria ai bare bucha ando anav cho Swuntone Shav o Jesus.
30Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu kwa jina la Yesu Mtumishi wako Mtakatifu."
31Kana terdile te rhuginpe, kodo than kai sas chidine izdraia, ai savorhe pherdile Swunto Duxo, ai porme phende E Vorba le Devleski putierasa ande pengo ilo.
31Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.
32Sa kodola kai pachaie sas iek ilo ai sas iek duxo; khonik chi mothol ke godi sas les, lesko sas ferdi, numa sas savorhenge andek than.
32Jumuiya yote ya waumini ilikuwa moyo mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi, ila waligawana vyote walivyokuwa navyo.
33Le apostluria divininas pa Del la putierasa pa Jesus kai zhuvindisailo, ai iek baro lashimos sas mashkar lende.
33Mitume walishuhudia kwa nguvu nyingi kufufuka kwa Bwana Yesu, naye Mungu akawapa baraka nyingi.
34Khonik mashkar lende chi trobulas le kanch; kaste godi sas phuvia vai khera bichinenas le, ai anenas le love kai bichinde sas le,
34Hakuna mtu yeyote aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wanaviuza
35ai thonas le andal punrhe le apostlonge, ai denas sakoneste so trobulas les.
35na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
36O Josef, kai akharenas les le apostluria Barnabbas, ai kodia znachil o shav kai zhutil, wo sas anda Levite, andai phuv kai busholas Cyprus.
36Kulikuwa na Mlawi mmoja, mzaliwa wa Kupro, jina lake Yosefu, ambaye mitume walimwita jina Barnaba (maana yake, "Mtu mwenye kutia moyo").
37Vi wo sas les iek phuv ai bichindia la, ai andia le love kal punrhe le apostlonge.
37Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.