1Kurke diminiatsi, ai kana kerelas inker tuniariko, e Maria Magdalene geli ka greposhevo, ai dikhlia ke o bax sas lino katar o wudar.
1Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa bado na giza, Maria Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi.
2Woi nashli karing o Simon Petri, ai karing o kolaver disiplo kai sas drago le Jesusosko, ai phendia lenge, "Line le Devles anda greposhevo ai chi zhanas kai thode les."
2Basi, akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, "Wamemwondoa Bwana kaburini, na wala hatujui walikomweka."
3O Petri ai o kolaver disiplo gele, ai avile ka greposhevo.
3Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
4Vi le dui zhene nashenas andek than: numa o kolaver disiplo nashelas mai zurales katar o Petri, ai areslo pervo ka greposhevo.
4Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
5Bandilo tele ai dikhlia o poxtan o parno kai sas pe phuv; numa chi gelo andre.
5Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.
6O Simon Petri lelaspe pala leste areslo, ai gelo andre ando greposhevo, ai dikhlia o poxtan o parno kai sas pe phuv.
6Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,
7Ai e kotor dirza kai thode sas po shero le Jesusosko, nas le poxtanosa le parnesa, numa pakhuime sas rigate ande kolaverik.
7na kile kitambaa alichofungwa Yesu kichwani. Hicho kitambaa hakikuwekwa pamoja na hiyo sanda, bali kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa mahali peke yake.
8Antunchi le kolaver disiplo, kai areslo sas o pervo ka greposhevo, gelo vi wo andre, ai dikhlia, ai pachaiape.
8Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyemtangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaaamini.
9Ke chi haliarenas inker ke E Vorba le Devleski motholas ke O Kristo trobulas te zhuvindil mashkar le mule.
9(Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).
10Ai le disipluria geletar porme khere.
10Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani.
11Numa e Maria beshelas avri pasha greposhevo ai rovelas: numa ande kodia kai rovelas, bandili tele te dikhel ando greposhevo.
11Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,
12Ai dikhlia duie angelon kai sas vuriarde ando parno, ai beshenas tele po than kai sas thodino o stato le Jesusosko. Iek beshelas ka shero ai o kolaver kal punrhe.
12akawaona malaika wawili waliovaa mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja kichwani na wa pili miguuni.
13Ai phende lake, "Zhuvlio, Sostar roves?" Ai woi phendia lenge, "Me rovav ke line murhe Devles, ai chi zhanen kai thode les!"
13Hao malaika wakamwuliza, "Mama, kwa nini unalia?" Naye akawaambia, "Wamemwondoa Bwana wangu, na wala sijui walikomweka!"
14Ai kana phendia kadia, woi boldinisaili, ai dikhlia le Jesusos ande punrnende; numa woi chi zhanelas ke sas O Jesus.
14Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.
15O Jesus phendia lake, "Zhuvlio, Sostar roves? Kas rodes?" Ai woi gindilas ke wo sas o manush kai lel sama katar o sado, phenel leske, "Gazda, te lian les vari kai, phen mange kai thodian les, ai me lava les."
15Yesu akamwuliza, "Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?" Maria, akidhani kwamba huyo ni mtunza bustani, akamwambia, "Mheshimiwa, kama ni wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, nami nitamchukua."
16O Jesus phendia lake, "Maria!" ai woi boldinisaili, ai phendia leske Zhidovesko, "Rabboni!" kodia znachil, Gazda.
16Yesu akamwambia, "Maria!" Naye Maria akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, "Raboni" (yaani "Mwalimu").
17O Jesus phendia lake, "Na azba ma; ke inker chi gelem ka murho Dat; numa zha ka murhe phral, ai phen lenge mange, "Ke ma zhav ka murho Dat, ai tumaro Dat; ka murho Del ai tumaro Del."
17Yesu akamwambia, "Usinishike; sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu."
18E Maria Magdalene geli ai phendia le disiplonge ke dikhlia le Devles, ai ke phendia lake kadala dieli.
18Hivyo Maria Magdalene akaenda akawapa habari wale wanafunzi kuwa amemwona Bwana, na kwamba alikuwa amemwambia hivyo.
19Pozno sas o pervo dies le kurkosko, le disipluria chidinesas andek than ande iek kher, ai phandadesas le wudara zurales ke daranas katar le Zhiduvuria, O Jesus avisailo mashkar lende, ai phendia lenge, "E pacha te avel tumensa."
19Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi. Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, "Amani kwenu!"
20Ai kana phendia lenge kadala vorbi, wo sikadia lenge peske vas ai pesko prashav. Le disipluria raduisaile, kana dikhle le Devles.
20Alipokwisha sema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi, hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana.
21O Jesus mai phendia lenge, "E pacha te avel tumensa, sar murho Dat tradia man, i me tradav tumen."
21Yesu akawaambia tena, "Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi."
22Ai kana phendia kodia divano, phurdia pe lende, ai phendia lenge, "Premin O Swunto Duxo:
22Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, "Pokeeni Roho Mtakatifu.
23Te iertina tume le bezexa le manushenge, lenge bezexa avena iertime; te na iertin le, chi aven iertime."
23Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowaondolea, hawasamehewi."
24Numa o Thomas, kai akharenas les Didimus, iek andal desh dui disipluria, nas lensa kana O Jesus avisailo.
24Thoma mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja.
25Le kolaver disipluria phende leske, "Ame dikhliam le Devles." Numa wo phendia lenge, "Te na dikhava ande leske vas le semnuria le karfiango, ai te na tsava murho nai andel semnuria le karfiange, ai te na tsava murho vas ande lesko prashav, chi pachava."
25Basi, wale wanafunzi wengine wakamwambia, "Tumemwona Bwana." Thoma akawaambia, "Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki."
26Oxto dies pala kodia le disipluria le Jesusoske sas pale ando kher ai o Thomas sas lensa: O Jesus avisailo, le wudara phandadesas zurales, numa O Jesus avilo mashkar lende, ai phendia, "E pacha te avel tumensa." Porme phendia le Thomasoske, "Tho cho nai kata, ai dikh murhe vas; an vi cho vas ai tho les ande murho prashav: ai na kerdiol manush kai chi pachalpe, numa pachas tu."
26Basi, baada ya siku nane hao wanafunzi walikuwa tena pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa, lakini Yesu akaja, akasimama kati yao, akasema, "Amani kwenu!"
28O Thomas phendia leske, "Murho Devla ai murho Del,"
27Kisha akamwambia Thoma, "Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!"
29O Jesus phendia leske, "Tu dikhlian man anda kodia pachaian tu: numa raduime kodola kai chi dikhle ai kai pachaiepe."
28Thoma akamjibu, "Bwana wangu na Mungu wangu!"
30O Jesus mai kerdia angla peske disipluria but aver mirakluria, kai nai ramome ande kadia klishka.
29Yesu akamwambia, "Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini."
31Numa kadala dieli sas ramome, saxke te pachan tume ke O Jesus si O Kristo, O Shav le Devlesko; ai kana pachan tume te avel tume o traio ande lesko anav.
30Yesu alifanya mbele ya wanafunzi wake ishara nyingine nyingi ambazo hazikuandikwa katika kitabu hiki.
31Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mpate kuwa na uzima kwa nguvu ya jina lake.