1Pala kodia O Jesus mai avisailo le disiplonge pashai maria kai bushol Tiberias; ai eta, sar avisailo lenge.
1Baada ya hayo Yesu aliwatokea tena wanafunzi wake kando ya ziwa Tiberia. Aliwatokea hivi:
2O Simon Petri, ai o Thomas kai akharenas les Didimus, ai o Nathanael andai Cana kai si ande Galilee, ai le shav le Zebedeske, ai dui aver disipluria le Jesusoske sas andek than.
2Simoni Petro, Thoma (aitwaye Pacha), na Nathanieli mwenyeji wa Kana Galilaya, wana wawili wa Zebedayo na wanafunzi wake wengine wawili, walikuwa wote pamoja.
3O Simon Petri phendia lenge, "Me zhav te astarav mashe." Ai won phende leske, "Vi ame zhas tusa." Ankliste avri, ai ankliste andek paraxoditsi; numa kodia riat chi astarde khanch.
3Simoni Petro aliwaambia, "Nakwenda kuvua samaki." Nao wakamwambia, "Nasi tutafuatana nawe." Basi, wakaenda, wakapanda mashua, lakini usiku huo hawakupata chochote.
4Kana phuterdilo o dies, O Jesus sas pashai maria pe chishai; numa le disipluria chi zhanenas ke O Jesus sas.
4Kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya ziwa, lakini wanafunzi hawakujua kwamba alikuwa yeye.
5O Jesus phendia lenge, "Shavorhale, nai tume khanchi te xan?"ai won dine les atweto, "Nichi."
5Basi, Yesu akawauliza, "Vijana, hamjapata samaki wowote sio?" Wao wakamjibu, "La! Hatujapata kitu."
6Ai phendia lenge, "Shuden e sita pe rik e chachi le paraxodoski ai arakhena mashe." Won shude, ai nashti mai ankalavenas e sita avri de but mashe kai sas.
6Yesu akawaambia, "Tupeni wavu upande wa kulia wa mashua nanyi mtapata samaki." Basi, wakatupa wavu lakini sasa hawakuweza kuuvuta tena kwa wingi wa samaki.
7Antunchi o disiplo kai sas drago le Jesusoske phendia le Petreske, "Devla si" ai kana o Simon Petri ashundia ke O Del si, lia pe peste peske tsalia, ai thodia peske prashtia (ke nango sas), ai shudiape ande maria.
7Hapo yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu akamwambia Petro, "Ni Bwana!" Simoni Petro aliposikia ya kuwa ni Bwana, akajifunga vazi lake (maana hakuwa amelivaa), akarukia majini.
8Ai le kolaver disipluria avile ande paraxodoski, tsirdenas e sita kai sas pherdo mashe, ke nas dur katar o bedigo, iek shel meteria sas. (200 cubits).
8Lakini wale wanafunzi wengine walikuja pwani kwa mashua huku wanauvuta wavu uliojaa samaki; hawakuwa mbali na nchi kavu, ila walikuwa yapata mita mia moja kutoka ukingoni.
9Kana huliste pe phuv, dikhle kotse angara dine iag, ai masho sas opral, ai sas vi manrho.
9Walipofika nchi kavu waliona moto wa makaa umewashwa na juu yake pamewekwa samaki na mkate.
10O Jesus phendia lenge, "Anen mashe kai astardian akana.
10Yesu akawaambia, "Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua."
11O Simon Petri anklisto anda paraxodo, ai andia pe phuv e sita pherdo iek shel ai panvardesh bare mashe: ai marka ke sas but, e sita chi shindili.
11Basi, Simoni Petro akapanda mashuani, akavuta hadi nchi kavu ule wavu uliokuwa umejaa samaki wakubwa mia moja na hamsini na watatu. Na ingawa walikuwa wengi hivyo wavu haukukatika.
12O Jesus phendia lenge, "Aven ai xan." Ai chi iek andal disipluria chi tromailo te phushel lestar, "Kon san tu?" ke åanenas ke O Del si.
12Yesu akawaambia, "Njoni mkafungue kinywa." Hakuna hata mmoja wao aliyethubutu kumwuliza: "Wewe ni nani?" Maana walijua alikuwa Bwana.
13O Jesus pashilo, lia o manrho, ai dia len, ai porme lia o masho ai dia len.
13Yesu akaja, akatwaa mkate akawapa; akafanya vivyo hivyo na wale samaki.
14Kodia sas e trito data kai O Jesus sikadiolaspe peske disiplonge, de sar zhuvindisailo sas mashkar le mule.
14Hii ilikuwa mara ya tatu Yesu kuwatokea wanafunzi wake baada ya kufufuka kutoka wafu.
15Kana getosarde te xan, O Jesus phendia le Simonoske Petri, "Simon, shav le Jonasosko, san tuke drago mange mai but sar kodola?" Ai wo phendia leske, "E Devla, tu zhanes ke sim mange drago tuke." O Jesus phendia leske, "Le sama katar murhe bakriorha."
15Walipokwisha kula, Yesu alimwuliza Simoni Petro, "Simoni, mwana wa Yohane! Je, wanipenda mimi zaidi kuliko hawa?" Naye akajibu, "Naam, Bwana; wajua kwamba mimi nakupenda." Yesu akamwambia, "Tunza wana kondoo wangu."
16Ai mai phendia leske pe duito data, "Simon, shav le Jonasosko, san tuke drago mange?" O Petri phendia leske, "E Devla, Tu zhanes ke sim mange drago tuke." O Jesus phendia leske, "Le sama katar murhe bakriorha."
16Kisha akamwambia mara ya pili, "Simoni mwana wa Yohane! Je, wanipenda?" Petro akamjibu, "Naam, Bwana; wajua kwamba nakupenda." Yesu akamwambia, "Tunza kondoo wangu."
17Ai mai phendia leske pe trito data, "Simon, shav le Jonasosko, san tuke drago mange?" O Petri nekezhisailo anda so phendia leske pe trito data, "San tuke drago mange?" ai phendia leske, "Devla, tu zhanes swako fielo; tu zhanes ke sim mange drago tuke." O Jesus phendia leske, "Le sama katar murhe bakriorha."
17Akamwuliza mara ya tatu, "Simoni mwana wa Yohane! Je, wanipenda?" Hapo Petro akahuzunika kwa sababu alimwuliza mara ya tatu: "Wanipenda?" akamwambia, "Bwana, wewe wajua yote; wewe wajua kwamba mimi nakupenda." Yesu akamwambia, "Tunza kondoo wangu!
18" Chachimasa, chachimasa, me phenav tuke, kana sanas mai terno, tu thosas pe tute e prashtia, ai zhasas kai tu mangesas; numa kana avesa phuro, tu vazdesa che vas opre, ai aver thola e prashtia pe tute, ai ingerela tu kai tu chi mangesa te zhas."
18Kweli nakwambia, ulipokuwa kijana ulizoea kujifunga mshipi na kwenda kokote ulikotaka. Lakini utakapokuwa mzee utanyosha mikono yako, na mtu mwingine atakufunga na kukupeleka usikopenda kwenda."
19Wo phendia kadia te sikavel sar o Petri merela ai luvudila le Devles. Porme kana phendia kodo divano, phendia leske, "Le tu pala mande."
19(Kwa kusema hivyo, alionyesha jinsi Petro atakavyokufa na kumtukuza Mungu.) Kisha akamwambia, "Nifuate."
20O Petri, kana boldinisailo, dikhlia ke lelaspe pala lende o disiplo kai sas drago le Jesusosko. Kodo kai thodiasas pe po kolin le Jesusosko kana xanas, ai phushliasas lestar, "Devla, savo si kodo kai si te purhil tu?"
20Hapo Petro akageuka, akamwona yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda, anafuata (Huyu mwanafunzi ndiye yule ambaye wakati wa chakula cha jioni, alikaa karibu sana na Yesu na kumwuliza: "Bwana ni nani atakayekusaliti?")
21Kana o Petri dikhlia les phendia le Jesusosko, "Devla, so kerdiolape kodo manush?"
21Basi, Petro alipomwona huyo akamwuliza Yesu, "Bwana, na huyu je?"
22O Jesus phendia leske, "Te mangava te traiil zhi kai avava palpale, soi tuke kotsar? Le tu pala mande."
22Yesu akamjibu, "Kama nataka abaki mpaka nitakapokuja, yakuhusu nini? Wewe nifuate mimi."
23Kodia viasta geli antunchi mashkar le phral, ke kodia disiplo chi merela: Numa O Jesus chi phendiasas le Petreske, ke chi merela; numa phendia, te mangava te traiil zhi kai avav palpale, soi tuke kotsar?"
23Basi, habari hiyo ikaenea miongoni mwa wale ndugu kwamba mwanafunzi huyo hafi. Lakini Yesu hakumwambia kwamba mwanafunzi huyo hafi, ila, "Kama nataka abaki mpaka nitakapokuja, yakuhusu nini?"
24No kodia disiplo si kai phenel pa kadala dieli kai kerdile, ai kai ramosardia le; ai ame zhanas ke so phendia si chacho.
24Huyo ndiye yule aliyeshuhudia mambo haya na kuyaandika. Nasi twajua kwamba aliyoyasema ni kweli.
25O Jesus mai kerdia but aver dieli, te ramosardiamas le, divano pe divanoste, me gindiv ke sa e lumia nashtisardino te inkerel le klishki kai ramosardamas. Amen.
25Kuna mambo mengine mengi aliyofanya Yesu, ambayo kama yangeandikwa yote, moja baada ya lingine, nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa.