1O Jesus gelo po Plai le Maslinengo.
1lakini Yesu akaenda kwenye mlima wa Mizeituni.
2De diminiatsi pale avilo ande tampla, ai sa le manush pashile pasha leste, ai wo beshlo tele, ai sichardia len.
2Kesho yake asubuhi na mapema alikwenda tena Hekaluni. Watu wote wakamwendea, naye akaketi akawa anawafundisha.
3Ai le Gramnoturia ai le Farizeanuria andine leste ek zhuvli kai line sar kerelas kurvia: ai thode la angla le manushen.
3Basi, walimu wa Sheria na Mafarisayo wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. Wakamsimamisha katikati yao.
4Phende leske, "Gazda, kadia zhuvli liam la sar kerelas kurvia.
4Kisha wakamwuliza Yesu, "Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.
5Ando amaro zakono, o Moses dia ame ordina te mudaras baxensa kadalatar zhuvli. Numa so phenes tu?"
5Katika Sheria yetu Mose alituamuru mwanamke kama huyu apigwe mawe. Basi, wewe wasemaje?"
6Won phende kadia te zumaven les, kashte te astaren les andek dosh.Numa O Jesus bandilo, ai ramolas le naiesa pe phuv, sar chi ashundia len.
6Walisema hivyo kumjaribu, wapate kisa cha kumshtaki. Lakini Yesu akainama chini, akaandika ardhini kwa kidole.
7Sar mai mangenas te phushen les, wushtilo opre, ai phenel lenge, "Savo anda tumende kai chi kerdia shoxar bezex, wo sai shudel o pervo bax pe late.
7Walipozidi kumwuliza, Yesu akainuka, akawaambia, "Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe."
8Ai pale bandilo, ai ramolas pe phuv.
8Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.
9Kana ashunde so phendia, iek po iek geletar, de katar o mai phuro ai zhi kai savorhe geletar; ai O Jesus ashilo korkorho la zhuvliasa kai beshelas angla leste.
9Waliposikia hivyo, wakaanza kutoweka mmojammoja, wakitanguliwa na wazee. Yesu akabaki peke yake, na yule mwanamke amesimama palepale.
10Kana O Jesus wushtilo, ai chi dikhlia khonik ferdi e zhuvli, wo phendia lake, "Zhuvlio, kai che kristatoria kai dosharenas tu? Chi iek chi dia tu kris?"
10Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, "Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?"
11Woi phendia leske, "Chi iek, Gazda," ai O Jesus phenel lake, "Chi me chi dav tu pe kris. Zha, ai na mai ker bezexa."
11Huyo mwanamke akamjibu, "Mheshimiwa, hakuna hata mmoja!" Naye Yesu akamwambia, "Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; na tangu sasa usitende dhambi tena."
12O Jesus mai phendia lenge, ai phenelas, "Me sim e vediara la lumiaki. Kodo kai lelape pala mande avela les e vediara le traioski ai chi phirela shoxar ando tuniariko."
12Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, "Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu. Anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na mwanga wa uzima."
13Le Farizeanuria phende leske, "Akana tu keres tu marturo anda tute; so phenes nai vorta."
13Basi, Mafarisayo wakamwambia, "Wewe unajishuhudia mwenyewe; kwa hiyo ushahidi wako si halali."
14O Jesus phendia lenge, "Marka ke me dav duma pa mande, so phenav si chachimos, ke me zhanav katar avilem, ai kai zhav. Numa tume chi zhanen katar avav ai kai zhav.
14Yesu akawajibu, "Hata kama ninajishuhudia mwenyewe, ushahidi wangu ni wa kweli kwa sababu mimi najua nilikotoka na ninakokwenda. Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakokwenda.
15Tumare kris si manusheske; me chi kerav kris pe khanikaste.
15Ninyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.
16Ai te dava kris, murhi kris chachila; ke chi sim korkorho; numa O Dat tradia ma, mansa lo.
16Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba aliyenituma yuko pamoja nami.
17Ai ramome ande tumaro zakono, ke kana dui zhene phenen iek fielo, so phenen si chachimos.
17Imeandikwa katika Sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali.
18Me phenav pa mande, ai vi O Dat kai tradia ma phenel pa mande."
18Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia pia."
19"Kai cho Dat?" phushen les. O Jesus phendia lenge, "Tume chi zhanen man vai murhe Dades. Te zhanenas man, tume zhanglianas vi murhe Dades."
19Hapo wakamwuliza, "Baba yako yuko wapi?" Yesu akawajibu "Ninyi hamnijui mimi wala hamumjui Baba. Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba yangu pia."
20O Jesus phendia sa kodala vorbi, kana sichardia ande tampla, po than kai thon le love. Ai khonik chi thode vas pe leste, ke lesko chaso chi avilosas inker.
20Yesu alisema maneno hayo kwenye chumba cha hazina alipokuwa anafundisha Hekaluni. Wala hakuna mtu aliyemtia nguvuni, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
21O Jesus mai phendia lenge, "Zhavtar, ai tume roden man, numa tume merena ande tumare bezexa; tume nashtin te aven kai me zhav."
21Yesu akawaambia tena, "Naenda zangu nanyi mtanitafuta, lakini mtakufa katika dhambi zenu. Niendako mimi, ninyi hamwezi kufika."
22Le Zhiduvuria phende, "Zhala wo te mudarelpe? Ke phenel, "Ke nashti aven kai me zhav."
22Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, "Je, atajiua? Mbona anasema: Niendako ninyi hamwezi kufika?"
23Ai O Jesus phendia lenge, "Tume avilian katsar telal, ai me avilem katsar opral. Tume san kadala lumiake; numa me chi sim andai kadia lumia.
23Yesu akawaambia, "Ninyi mmetoka papa hapa chini, mimi nimetoka juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
24Sa anda kodia phendem tumenge , ke merena ande tumare bezexa. Ai tume merena ande tumare bezexa te na pachana tume. 'Kon sim me'"
24Ndiyo maana niliwaambieni mtakufa katika dhambi zenu. Kama msipoamini kwamba Mimi ndimi, mtakufa katika dhambi zenu."
25Phendia leske, "Kon san tu?" Ai O Jesus phendia lenge,
25Nao wakamwuliza, "Wewe ni nani?" Yesu akawajibu, "Nimewaambieni tangu mwanzo!
26"Sar phendem tumenge ando gor. But dieli si ma te phenav pa tumende, ai te kerav kris pa tumende. Numa kodo kai tradia ma si chacho, ai phenav la lumiake ferdi so ashundem lestar."
26Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yule aliyenituma ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake."
27Won chi haliarde ke delas duma pa Dat.
27Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba.
28Antunchi O Jesus phendia lenge, "Kana vazden le Shaves le Manushesko, antunchi zhanena "Kon sim me," ai ke chi kerav kanchi mandar, numa dav duma ferdi so O Dat sichardia ma.
28Basi, Yesu akawaambia, "Mtakapokwisha mwinua Mwana wa Mtu hapo ndipo mtakapojua kwamba Mimi ndimi, na kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe, ila nasema tu yale Baba aliyonifundisha.
29Ai kodo kai tradia ma mansa lo, ai O Dat chi meklia ma korkorho; ke me kerav so godi si leske drago.
29Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza."
30Sar dia duma kadala vorbi but pachaiepe ande leste.
30Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.
31Antunchi O Jesus phendia le Zhidovongo kai pachaiepe ande leste, "Te kerena so godi phenel murhi vorba, tume san chache murhe disipluria.
31Basi, Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, "Kama mkiyazingatia mafundisho yangu mtakuwa kweli wanafunzi wangu.
32Ai tume zhanena o chachimos, ai o chachimos skepisarela tumen."
32Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru."
33Won phende leske, "Ame sam anda e vitsa le Abrahamoski, ai ame chi samas shoxar slugi. Sar phenes tu, "Tume skepime?"
33Nao wakamjibu, "Sisi ni wazawa wa Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote yule. Una maana gani unaposema: mtakuwa huru?"
34O Jesus phendia lenge, "Phenav tumenge o chachimos, swako manush kai kerel o bezex si ek sluga le bezexeski.
34Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, kila mtu anayetenda dhambi ni mtumwa wa dhambi.
35Ai e sluga chi beshel ando kher sagda, numa o Shav beshel kotse sa data.
35Mtumwa hana makao ya kudumu nyumbani, lakini mwana anayo makao ya kudumu.
36Te skepil tu O Shav, antunchi chaches avena skepime.
36Kama mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.
37Zhanav ke tume aven anda e vitsa katar o Abraham; numa tume roden te mudaren man, ke murhi vorba nai ande tumare ile.
37Najua kwamba ninyi ni wazawa wa Abrahamu. Hata hivyo, mnataka kuniua kwa sababu hamuyakubali mafundisho yangu.
38Me phenav so sikadia mange murho Dat; ai tume keren so phendia tumenge tumaro Dat."
38Mimi nasema yale aliyonionyesha Baba, lakini ninyi mwafanya yale aliyowaambieni baba yenu."
39Won phenen leske, "Amaro dat si o Abraham." O Jesus phendia lenge, "Te avilianas chaches shave le Abrahamoske, tume kerdianas sa kodola buchia kai kerdia o Abraham.
39Wao wakamjibu, "Baba yetu ni Abrahamu!" Yesu akawaambia, "Kama ninyi mngekuwa watoto wa Abrahamu, mngefanya kama alivyofanya Abrahamu,
40Numa akana roden te mudaren ma, ek manush kai phendia tumenge o chachimos, kai ashundem katar O Del: o Abrahan chi kerdia saikfialo.
40Mimi nimewaambieni ukweli niliousikia kwa Mungu; hata hivyo, ninyi mwataka kuniua. Abrahamu hakufanya hivyo!
41Tume keren sar kerdia tumaro dat." Won phende leske, "Chi sam ame shave avereske, si ame ferdi iek Dat, O Del."
41Ninyi mnafanya mambo yaleyale aliyofanya babu yenu." Wao wakamwambia, "Sisi si watoto haramu! Tunaye baba mmoja tu, yaani Mungu."
42O Jesus phendia lenge, "Te avilino chaches O Del tumaro Dat, tumenge drago mange, ke avilem katar O Del ai akana katse sim, chi avilem anda mande, numa wo tradia man.
42Yesu akawaambia, "Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda mimi, maana mimi nilitoka kwa Mungu na sasa niko hapa. Sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila yeye alinituma.
43Sostar chi haliaren so me phenav tumenge? Ke nashtin te ashunen so phenel murhi vorba.
43Kwa nini hamwelewi hayo ninayosema? Ni kwa kuwa hamwezi kuusikiliza ujumbe wangu.
44Tume san shave che dadesko o beng, ai mangen te keren so mangel tumaro dat. Wo sas ek mudardari de ando gor, ai chi beshlo shoxar ando chachimos ke nai chachimos ande leste. Kana wo del duma ek xoxaimos, wo del duma peske shavenge: ke wo si xoxamno, ai o dat le xoxaimasko.
44Ninyi ni watoto wa baba yenu Ibilisi na mnataka tu kutekeleza tamaa za baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo; hana msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo ndani yake. Kila asemapo uongo, husema kutokana na hali yake ya maumbile, maana yeye ni mwongo na baba wa uongo.
45Ai ke phenav tumenge o chachimos, chi pachan man. Kon anda tumende sai phenel ke kerdem bezex?
45Mimi nasema ukweli, na ndiyo maana ninyi hamniamini.
46Te phenav o chachimos, sostar tume chi pachan man?
46Nani kati yenu awezaye kuthibitisha kuwa mimi nina dhambi? Ikiwa basi nasema ukweli, kwa nini hamniamini?
47Kon si le Devlesko ashunel le vorbi le Devleske. Numa tume chi san le Devleske shave, anda kodia tume chi ashunen."
47Aliye wa Mungu husikiliza maneno ya Mungu. Lakini ninyi hamsikilizi kwa sababu ninyi si (watu wa) Mungu."
48Le Zhiduvuria phende leske, phenenas, "Chi phenas vorta kana phendiam ke tu san ek Samaritano, ai si tu iek beng ande tute?"
48Wayahudi wakamwambia, "Je, hatukusema kweli kwamba wewe ni Msamaria, na tena una pepo?"
49"Nai ma beng," O Jesus mai phendia, "Numa luvudiv murhe Dades, ai tume chi luvudin man.
49Yesu akajibu, "Mimi sina pepo; mimi namheshimu Baba yangu, lakini ninyi hamniheshimu.
50Me chi rodav luvudimos mange, numa si iek kai rodel les ai krisinil.
50Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.
51Phenav tumenge o chachimos: Savo kai kerela so phenel murhi vorba, chi dikhela o merimos."
51Kweli nawaambieni, anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele."
52Le Zhiduvuria phende leske, "Akana ame zhanas ke si tu ek beng ande tute. O Abraham mulo, ai le profeturia mule, ai tu phenes, savo kai kerel so phenel murhi vorba, chi dikhela o merimos.
52Basi, Wayahudi wakasema, "Sasa tunajua kweli kwamba wewe ni mwendawazimu! Abrahamu alikufa, na manabii pia walikufa, nawe wasema ati, Anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele!
53Amaro dat o Abraham mulo; sai aves tu mai baro sar o Abraham? Ai le profeturia vi won mule. Kon gindis ke tu san?"
53Je, unajifanya mkuu zaidi kuliko baba yetu Abrahamu ambaye alikufa? Hata na manabii walikufa. Wewe unajifanya kuwa nani?"
54O Jesus phendia, "Te luvudiv man, murho luvudimos nai kanchi: si murho Dat kai luvudil man, tume phenen ke si tumaro Del, ai tume chi zhanen les, numa me zhanav les.
54Yesu akawajibu, "Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu. Baba yangu ambaye ninyi mwasema ni Baba yenu, ndiye anayenitukuza.
55Te phendemas ke chi zhanav les, avilemas iek fialo sar tumende, iek xoxamno. Numa zhanav les, ai kerav so phenel leske vorba.
55Ninyi hamjapata kumjua, lakini mimi namjua. Na, nikisema simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi. Mimi namjua na ninashika neno lake.
56Tumaro dat o Abraham raduisailo mai anglal te dikhel murho dies; ai wo dikhlia les, raduisailo."
56Abrahamu, baba yenu, alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi."
57Le Zhiduvuria phende leske, "Chi san panvardesh bershengo inker, ai phenes ke dikhlian le Abrahamos?" O Jesus phendia lenge,
57Basi, Wayahudi wakamwambia, "Wewe hujatimiza miaka hamsini bado, nawe umemwona Abrahamu?"
58"Phenav tumenge o chachimos, mai anglal sar te arakhadilo o Abraham, Me simas."
58Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, kabla Abrahamu hajazaliwa, mimi niko."
59Pe kodia line bax te shuden pe leste, numa O Jesus garadilo ai anklisto avri anda e tampla.
59Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha, akatoka Hekaluni.