1Pala kodia O Del mai alosardia aver eftavardesh slugi, ai tradia le dui po dui angla peste ande sa le gava, ai ande sa le thana, kai trobulas wo te zhal.
1Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
2Ai phendia lenge, "Bari buchi si te kerelpe, numa xantsi narodo si te keren buchi; rhugin tume ka Gazda la buchako te tradel manushen te keren leske buchi.
2Akawaambia, "Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
3Zhan! Tradav tume sar bakriorhe mashkar le ruv.
3Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.
4Na ingeren tumensa le love, chi gono, chi papucha; ai nai mothon kanikaske droboitu pa drom.
4Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.
5Kana zhana ando kher, mothon mai anglal, "E pacha te avel pe kado kher."
5Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
6Ai te beshela kotse ek mursh pachako, tumari pacha beshela pe leste; te na, pale avela tumende palpale.
6Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.
7Beshen ande saifielo kher, xan ai pen so dena tumen, ke o buchari trobul te avel pochindo. Na zhan kher kherestar.
7Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile.
8Ande fersavo gav kai zhan, ai won primin tume, xan so avela tumen dino.
8Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
9Sastiaren le naswalen kai avena, ai mothon lenge, 'O rhaio le Devlesko pashilo pasha tumende.'
9Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
10Numa ande fersavo gav kai zhan, ai won chi primin tume, zhan pel droma ai mothon,
10Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:
11"Kosas pe tumende e phulberia tumare gaveske kai astardilepe amare punrhe; numa de tu goji ke o rhaio le Devlesko pashilo pasha tumende!"
11Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
12Phenav tumenge, ando kodo dies la krisako kana le manush beshen angla Del, avela mai vushoro po Sodom, sar pe kodo foro.
12Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma.
13"Nasul tuke Chorazin! Nasul tuke Bethsaida! Ke te avino le mirakluria kerde ande Tyre ai Sidon kai sas kerde tumende, de dumult kamas te phiraven tsalia goneske, ai te thon zhego pe peste, te sikaven ke keisaile!"
13"Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.
14Numa po dies la krisako mai vushoro avela lenge e Tyre ai Sidon sar tumenge.
14Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni.
15Ai tu Capernaum, Avesa vazdini zhi ka rhaio? Nichi. Ta tele si te zhas ta ando iado!"
15Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu."
16O Jesus phendia leske disiplonge, "Kodo kai ashunel tumende, ashunel man; ai kado kai shudel tume, shudel man; ai kado kai shudel man, shudel kodoles kai tradia ma."
16Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma."
17Le eftavardesh avile palpale raduimasa, ai phende, "Devla, vi le beng daran amendar ande cho anav!"
17Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, "Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako."
18O Jesus phendia lenge, "Dikhavas le benges sar perelas anda cheri sar iek rhonjito.
18Yeye akawaambia, "Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
19Ashun! Dem tume e putiera te phiren pel sapa ai le Skorpionki, ai pe sa e putiera le duzhanoske; ai kanch nashti dukhavela tumen.
19Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.
20Numa na raduin tume ke le beng daran tumendar; numa raduin tume, tumare anava ramomele ando rhaio."
20Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni."
21Ande kodia vriama, O Jesus pherdo sas le Swuntone Duxosa, ai phendia, "Naisiv tuke, Murho Dat, Gazda le rhaioski ai la phuviako! Ke meklian te haliaren kodola kai si sar glate ai na kodola kai gindinpe gojaver ai le sichardo. Anda kodia, Murho Dat; Naisiv tuke ke chi voia sas te kerdiol kadia.
21Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza."
22"Swako fielo thodias ando murho vas Murho Dat. Ai khonik chi zhanel kon si O Shav, ferdi O Dat; ai khonik chi zhanel kon si O Dat, ferdi O Shav, ai kon kodi halol O Shav te mekel te zhanen le Dades."
22Kisha akasema, "Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo."
23Porme boldinisailo karing le disipluria, ai phendia lenge korkorho, "Raduime le iakha kai dikhen so tume dikhen!
23Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, "Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi!
24Ke phenav tumenge, ke but profeturia ai amperatsi mangle te dikhen so tume dikhen, ai chi dikhle; te ashunen so tume ashunen, ai won chi ashunde."
24Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie."
25Iek ablakato la krisako vushtilo opre, ai zumadia les, phenel, "Gasda, so trobul te kerav te avel ma o traio kai chi mai getolpe?"
25Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, "Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?"
26O Jesus phendia leske, "So si ramome ando zakono? So jines tu?"
26Yesu akamwuliza, "Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?"
27Wo dia atweto ai phendia, "Te avel tuke drago O Del sa chi ilesa, sa che duxosa, sa che zorasa, sa che gindosa; ai te avel tuke drago cho vortako sar san tu."
27Akamjibu, "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
28"Mishto dian atweto." Phendia O Jesus, "Ker kadia ai traiisa."
28Yesu akawaambia, "Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi."
29O manush mangelas te miazol lasho sas, phushlia le Jesusoske, "Kon si murho vortako?"
29Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, "Na jirani yangu ni nani?"
30O Jesus phendia, "Iek manush vulelas andai Jerusalem ai zhalas ando Jericho, pelo mashkar le chor, kai chorde leske tsalia, marde les, ai geletar, ai mekle les dopash mulo.
30Yesu akamjibu, "Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
31Iek rashai nakhelas kotsar ai dikhlia le manushes, numa nakhelas po drom pe kolaver rik.
31Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.
32Saikfielo, iek manush katar e vitsa le Leviangi, nakhlo kotsar, kana dikhlia o manush kai sas mardo, avilo pasha leste numa nakhelas pe kolaver rik.
32Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.
33Numa iek Samaritan kai phirelas, nakhlo kotsar, ai kana dikhlia les. Sas les mila pe leste.
33Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
34Gelo leste, thodia dirzi kotse kai sas shindo ai shordia vuloi ai mol, porme thodia les pe pesko magari, angerdia les ka kher (o kher kai le streinuria beshen), ai lia sama lestar.
34Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.
35Pe terharin o manush andai Samaria lia dui shela teliara ai dia le ka gazda ando kher, ai phendia, "Le sama lestar; ai so zidisa mai but, dava le tuke kana avava palpale."
35Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi."
36"Savo anda kadala trin, miazol tuke sas o vortako kodolesko kai pelo mashkar le chor?"
36Kisha Yesu akauliza, "Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?"
37Dia atweto o ablokato, "Kuko si, kai sas leske mila ando kado manush. O Jesus phendia leske, "Zha, ai vi tu ker kadia."
37Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, "Ni yule aliyemwonea huruma." Yesu akamwambia, "Nenda ukafanye vivyo hivyo."
38Sar o Jesus ai leske disipluria phirelas pa drom, avilo ande iek gav; kai iek zhuvli kai busholas Martha premisardia les ando pesko kher.
38Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake.
39Sas la iek phei kai busholas Maria. E Maria beshli kal punrhe le Jesusoske, ai ashunelas leski vorba.
39Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
40Numa e Martha kopaiime sas te kerel bucha ando kher, avili ai phenel, "Devla, nai tuke kanchi kai murhi phei mekel ma korkorho te podail? Phen lake te zhutil ma."
40Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, "Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie."
41O Jesus phendia lake, "Martha, martha, nekezhis tu ai mishtis tu pala but dieli.
41Lakini Bwana akamjibu, "Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.
42Iek diela ferdi trobul, e Maria alosardia o mai lasho kai chi avela line latar."
42Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya."