Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Luke

11

1Jesus rhugilaspe andek dies andek than, kana getosardia, iek anda leske disipluria phendia leske, "Devla, sichar amen te rhugisavas, sar o Iovano sichardia peske disiplon.
1Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akisali. Alipomaliza kusali, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, "Bwana, tunakuomba utufundishe kusali kama Yohane mbatizaji alivyowafundisha wanafunzi wake."
2O Jesus phendia lenge, "Kana rhugin tume, mothon,'Amaro Dat, kai san ando rhaio, te avel cho anav ankerdo Swunto. Chi amperetsia te avel, chi voia te kerdiol pe phuv sar ando rhaio.
2Yesu akawaambia, "Mnaposali, semeni: Baba! Jina lako litukuzwe; Ufalme wako ufike.
3De amen adies amaro manrho sar swako dies.
3Utupe daima chakula chetu cha kila siku.
4Iertisar amare bezexa; sar vi ame iertis kodolen kai keren bezexa karing amende. Na mek ame te zhas ando zumaimos; numa skepisar ame katar o nasul iek.'"
4Utusamehe dhambi zetu, maana sisi tunawasamehe wote waliotukosea; wala usitutie katika majaribu."
5Ai O Jesus phendia lenge, "Te zhas ka cho vortako ando lesko kher mashkar e riat, ai phenes leske, 'O Vortakona, de ma trin manrhe.
5Kisha akawaambia, "Tuseme mmoja wenu anaye rafiki, akaenda kwake usiku wa manane, akamwambia: Rafiki, tafadhali niazime mikate mitatu,
6Murho vortako phiravelpe ai terdilo ka murho kher, ai nai ma so dav les.'
6kwa kuwa rafiki yangu amepitia kwangu akiwa safarini nami sina cha kumpa.
7Ai andral anda pesko kher kodo vortako mothol leske, 'Na dzilar ma! O wudar vunzhe phandadolo, ai murhe shave ai me ando than sam, nashti wushtiav te dav tu manrho.'
7Naye, akiwa ndani angemjibu: Usinisumbue! Nimekwisha funga mlango. Mimi na watoto wangu tumelala; siwezi kuamka nikupe!
8Phenav tumenge, vi te na wushtela te del les, ke lesko vortako si, wushtela ke dziliarel les ai dela les so godi trobul les.
8Hakika, ingawa hataamka ampe kwa sababu yeye ni rafiki yake, lakini, kwa sababu ya huyo mtu kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji.
9Ai me mothav tumenge, Mangen, avela tumende dino; roden, ai arakhena; maren, ai phutrena tumenge.
9Kwa hiyo, ombeni, nanyi mtapewa, tafuteni, nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa.
10Ke kon godi mangel lel, ai kodo kai rodel arakhel, ai phutren kodoleske kai marel.
10Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye hufunguliwa.
11Savo anda tumende del bax peske shaves te mangela lestar manrho? Vai te del les sap te mangela lestar masho?
11Mtoto akimwomba baba yake samaki, je, atampa nyoka badala ya samaki?
12Vai te mangel anrho, dela les skorpionka?
12Na kama akimwomba yai, je, atampa ng'e?
13Tume kai san nasul, zhanen sar te den lashe dieli tumare glaten. Sode mai but tumaro Dat kai si ando rhaio dela O Swunto Duxo kodolen kai mangen lestar."
13Ninyi, ingawa ni waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri. Basi, baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi; atawapa Roho Mtakatifu wale wanaomwomba."
14O Jesus gonisardia le benges kai sas muto; ai kana o beng anklisto avri, o manush dia duma, ai o narodo chudisailo.
14Siku moja Yesu alikuwa anamfukuza pepo aliyemfanya mtu mmoja kuwa bubu. Basi, huyo pepo alipomtoka, yule mtu akaweza kuongea hata umati wa watu ukashangaa.
15Numa uni phenanas, "Wo gonil le bengen katar o Beelzebub, o baro le bengengo.
15Lakini baadhi ya watu hao wakasema, "Anamfukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo."
16Ai uni te zumaven les, mangenas lestar te sikavel lenge vari so kai avel anda rhaio.
16Wengine, wakimjaribu, wakamtaka afanye ishara kuonyesha kama alikuwa na idhini kutoka mbinguni.
17Numa O Jesus zhanelas lenge ginduria, ai phendia lenge, "Swako amperetisa kai si xuladi pe peste si te xaiil, swako foro vai niamon(familia) kai si xulade pe peste chi ashena.
17Lakini yeye, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, "Ufalme wowote uliofarakana wenyewe, hauwezi kudumu; kadhalika, jamaa yeyote inayofarakana huangamia.
18Teala o beng gonil le benges, won si xulade pe peste, sar rhivdila ai ashela leski amperetsia? Numa tume phenen ke goniv le bengen katar o Beezebub.
18Kama Shetani anajipinga mwenyewe, utawala wake utasimamaje? Mnasemaje, basi, kwamba ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli?
19Ai te goniva me le bengen katar e putiera kai o Beelzebub del tumare shave, katar len won e putiera te gonin le bengen?
19Kama ninafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo, wao ndio watakaowahukumu ninyi.
20Numa te goniva me le bengen katar o Swunto Duxo le Devlesko, antunchi e amperetsia le Devleski avilo pe tumende.
20Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.
21Kana iek manush zuralo si les e armia te arakhel peske kher, lesko manjin kai si les arakhado lo.
21"Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake kwa silaha, mali yake yote iko salama.
22Numa te avela iek mai zuralo lestar, ai marel les, lel lestar sa e armia kai wo jinelas pe late, ai xulavel so si les.
22Lakini akija mwenye nguvu zaidi akamshambulia na kumshinda, huyo huziteka silaha zake alizotegemea na kugawanya nyara.
23Kodo kai nai pe murhi rig chi zhutil ma, numa kerel nasul karing mande; ai kodo kai chi chidel mansa xulavel.
23Yeyote asiyejiunga nami, ananipinga; na yeyote asiyekusanya pamoja nami, hutawanya.
24Kana o bi vuzho anklisto avri anda manush, zhal ande pusta te rodel than te hodinil ai chi arakhel, ai mothol, 'Zhava palpale ande murho kher katar anklistem.'
24"Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu fulani, huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzikia. Asipopata, hujisemea: Nitarudi kwenye makao yangu nilikotoka.
25Ai kana aresel ande pesko kher, arakhel vuzhimos ai lashardo.
25Anaporudi, huikuta ile nyumba imefagiwa na kupambwa.
26Antunchi zhal, ai o beng anel aver efta beng mai sasul lestar; ai sa zhan te traiin ande kodo manush. Antunchi mai nasul leske de sar mai anglal.
26Basi, huenda na kuwachukua pepo wengine saba waovu zaidi kuliko yeye; wote huenda na kumwingia mtu yule. Hivyo, basi hali ya mtu huyo sasa huwa mbaya zaidi kuliko pale mwanzo."
27Kana O Jesus phenelas kodo divano, iek zhuvli dia duma mashkar o narodo, ai phendia leske, "Raduime te avel o ji kai ankerdia tu, ai le chucha kai pravarde tu."
27Alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katika lile kundi la watu, akasema kwa sauti kubwa: "Heri tumbo lililokuzaa, na maziwa yaliyokunyonyesha!"
28Ai O Jesus phendia, "Raduime mai bini kodola kai ashunen E Vorba le Devleski, ai kai garaven la."
28Lakini Yesu akasema, "Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika."
29Sar but narodo avelas, O Jesus phendia, "Ferdi ek vitsa kai si nasul ai kai nai chachimasa le Devlesa mangen semno, numa chi iek chi avela dino, ferdi so kerdiliape ka profet o Jonah.
29Umati wa watu ulipozidi kuongezeka, Yesu akawaambia, "Kizazi hiki ni kizazi kiovu. Kinataka ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ya Yona.
30Ke sar o Jonahas sas iek semno le manushengo kai sas ande foro Ninevah; sakadia O Shav le Manushesko avela le manushenge adies.
30Jinsi Yona alivyokuwa ishara kwa watu wa Ninewi, ndivyo pia Mwana wa Mtu atakavyokuwa ishara kwa kizazi hiki.
31E amperetisaika andai Sheba te wushtel o dies la krisako kadala vitsasa kai kris te dosharel len; woi avili dural te ashunel ka Solomon. Ke de sa gojaver sas ai akana si iek mai baro katar o Solomon katse!
31Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atashuhudia kwamba kina hatia. Yeye alisafiri kutoka mbali, akaja kusikiliza maneno ya hekima ya Solomoni; kumbe hapa pana mkuu zaidi kuliko Solomoni.
32Le manush andai Nineveh si te wushten kadala vitsasa kai kris te dosharen len; ke kana o Jonah dia duma pa Del lenge won keisaile, ai akana iek mai baro katar o Jonah si katse!
32Watu wa Ninewi watatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, na watashuhudia kwamba kizazi hiki kina hatia. Hao watu wa Ninewi walitubu kwa sababu ya mahubiri ya Yona; na hapa pana mkuu zaidi kuliko Yona!
33Khonik chi del iag ek lampo, ai te garavel les telai skafidi, numa thol les opral pe skafidi te del vediara savorhen kai si ando kher.
33"Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa pishi, bali huiweka juu ya kinara ili watu wanaoingia ndani wapate kuona mwanga.
34Che iakha si sar ek lampo le statosko. Kana che iakha dikhen mishto sa cho stato pherdi la vediaraki; numa kana che iakha chi dikhen mishto sa cho stato si ando tuniariko.
34Jicho lako ni kama taa ya mwili wako; likiwa zima, mwili wako wote utakuwa katika mwanga. Jicho lako likiwa bovu, na mwili wako pia utakuwa katika giza.
35Le sama, e vediara kai si ande tute te na avel tuniariko.
35Uwe mwangalifu basi mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.
36Te si sa cho stato pherdi la vediaraki, ai nai kanch ando tuniariko, avela sa cho stato ande vediara, sar ek lampo strefial pe tute la vediarasa."
36Basi, kama mwili wako wote una mwanga, bila kuwa na sehemu yoyote yenye giza, mwili huo utang'aa kikamilifu kama vile taa inavyokuangazia kwa mwanga wake."
37Sar O Jesus delas duma, ek Farisi manglia les te xal leste, gelo ai thodiape kai skafidi.
37Yesu alipokuwa akiongea, Mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula.
38O Farisi chudisailo kana dikhlia ke O Jesus chi xaladia mai anglal sar te xal.
38Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa.
39Numa o Devla phendia leske, "Tume Farizeanuria xalaven e kuchi ai o tiari avrial, numa andral tume san pherdo nasulimasko ai chorimasko.
39Bwana akamwambia, "Ninyi Mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu.
40Prosto san! Pate O Del kai kerdia le avrial, chi kerdia vi andral?
40Wapumbavu ninyi! Je, aliyetengeneza nje si ndiye aliyetengeneza ndani pia?
41Numa den so si ande che kuchi ai tiari kal chorhe, ai swako diela avela vuzhi tumenge.
41Toeni kwa maskini vile vitu vilivyomo ndani, na vingine vyote vitakuwa halali kwenu.
42"Nasul tumenge, Farizeanuria! Ke tume den ka Del desh anda ek shel e partia kai trobun te den andai mai tsinorhi dieli Mint, Rue, ai Herb, numa chi keren so si mai baro ando zakono, so si vorta, mila ai pachamos.
42"Lakini ole wenu Mafarisayo, kwa sababu mnatoza watu zaka hata juu ya majani ya kukolezea chakula, mchicha na majani mengine, na huku hamjali juu ya haki na upendo kwa Mungu. Mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine.
43"Nasul tumenge, Farizeanuria! Ke drago tumenge te beshen anglal pel skamina ande synagoguria, ai te phenen droboi tu le manushenge ande bazari.
43"Ole wenu ninyi Mafarisayo, kwa sababu mnapenda kuketi mbele mahali pa heshima katika masunagogi, na kusalimiwa kwa heshima hadharani.
44"Nasul tumenge, le Gramnoturia ai le Farizeanuria, tume manush kai ankerdion so chi san! Ke sar le mumunturia san kai chi dichon, ai le manush phiren pe lende ai chi dikhen le.
44Ole wenu, kwa sababu mko kama makaburi yaliyofichika; watu hutembea juu yake bila kufahamu."
45Ek ablokato dia atweto, ai phendia leske, "Gazda, kai des duma kadia vi amende rimos."
45Mmoja wa walimu wa Sheria akamwambia, "Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia."
46Ai O Jesus phendia, "Nasul tumenge ablakaturia! Ke thon but chino po narodo te ankeren tume chi tumare naiesa chi ankeren.
46Yesu akamjibu, "Na ninyi walimu wa Sheria, ole wenu; maana mnawatwika watu mizigo isiyochukulika, huku ninyi wenyewe hamnyoshi hata kidole kuwasaidia.
47Nasul tumenge! Ke tume thon le mumunturia le profetonge, kai tumare dada mudarde.
47Ole wenu, kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii wale ambao wazee wenu waliwaua.
48Tume san marturia anda so kerde tumare dada, ke won mudarde le profeton, ai tume keren la mumunturia.
48Kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.
49"Anda kodia, e goji le Devleski phendia, 'Tradava lenge profeturia ai Apostles, ai mudarena unen ai chinuin avren.'
49Kwa hiyo, Hekima ya Mungu ilisema hivi: Nitawapelekea manabii na mitume, lakini watawaua baadhi yao, na kuwatesa wengine.
50Kai o rat le profetongo, kai sas shordo de sar kerdilia e lumia, avela nanglo te pochinen kado narodo.
50Matokeo yake ni kwamba kizazi hiki kitaadhibiwa kwa sababu ya damu ya manabii wote iliyomwagika tangu mwanzo wa ulimwengu;
51De katar o rat le pervone manushesko kai sas o Abel zhi ka rat le profetosko kai busholas Zacharias, kai mudarde mashkar o altari ai mashkar e tampla; chachimasa, mothav tumenge, 'Avela nanglo te pochinen kado narodo.'
51tangu kumwagwa damu ya Abeli mpaka kifo cha Zakariya ambaye walimuua kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Naam, hakika kizazi hiki kitaadhibiwa kwa matendo haya.
52"Nasul tumenge ablakaturia! Ke lian e chaia kai phutrelas o vudar la gojako; chi dian andre tume, ai aterdiardian kodolen kai mangenas."
52"Ole wenu ninyi walimu wa Sheria, kwa sababu mmeuficha ule ufunguo wa mlango wa elimu; ninyi wenyewe hamkuingia na mmewazuia waliokuwa wanaingia wasiingie."
53Sar O Jesus zhalas kotsar, le Gramnoturia ai Farizeanuria xolailesas pe leste ai phushena lestar but dieli;
53Alipokuwa akitoka pale, wale Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi
54Zumavenas te peraven les, te zumaven te sai mothol vari so kai nai vorta.
54ili wapate kumnasa kwa maneno yake.