1O Jesus phendia peske disiplonge, "Musai avel o zumaimos kai ingerel le manushen te peren ando bezex; numa nasul kodoleske kastar avel o zumaimos!
1Kisha, Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Haiwezekani kabisa kusitokee vikwazo vinavyosababisha dhambi; lakini ole wake mtu yule atakayevisababisha.
2Mai bini te avel ek baro bax phanglo ka peski kox kai te avel shudino ande bari maria, de sar te kerel iek anda kadala tsinorhe kai pachanpe ande mande te peren ando bezex.
2Ingekuwa afadhali kwake kufungiwa shingoni jiwe kubwa la kusagia na kutoswa baharini, kuliko kumkwaza mmoja wa wadogo hawa.
3"Arakhen tume! Te kerela bezex cho phral, phen leske zurale vorbi; te keilpe ai boldela palpale, iertisar les.
3Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, mwonye; akitubu, msamehe.
4Te kerel bezex karing tute eftavar ande iek dies, ai eftavar avela tute, ai phenel, 'Keisailem anda so kerdem tuke.' Tu iertisar leske."
4Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema Nimetubu, lazima umsamehe."
5Le Apostles phendia le Devleske, "De ame mai pachamos."
5Mitume wakamwambia Bwana, "Utuongezee imani."
6Ai O Del phendia, "Te si tume pachamos sar iek sumuntsi garchitsaki, tu sai phenena kakala krenzhaki, 'Ankli avri andai phuv, ai tho tu ande maria!' ai kodia krenzha pachala tumaro mui."
6Naye Bwana akajibu, "Kama imani yenu ingekuwa ndogo hata kama chembe ndogo ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu: Ng'oka ukajipandikize baharini, nao ungewatii.
7Savo anda tumende, kai si les ek sluga kai lasharel e phuv vai lel sama katar le bakre, phenela leske kana avela pal kimpuria. "Aidi sigo ai tho tu kai skafidi?"
7"Tuseme mmoja wenu ana mtumishi ambaye analima shambani au anachunga kondoo. Je, anaporudi kutoka shambani, atamwambia: Haraka, njoo ule chakula?
8Vai chi phenela leske, "Lashar mange te xav, tho angla tute pishtiri ai podaisar ma zhi kai xav ai piiav; ai antunchi tu xasa ai pesa."
8La! Atamwambia: Nitayarishie chakula, ujifunge tayari kunitumikia mpaka nitakapomaliza kula na kunywa, ndipo nawe ule na unywe.
9Chi trobul te naisil le slugako anda so phendiasas leske te kerel, si vai nai?
9Je utamshukuru huyo mtumishi kwa sababu ametimiza aliyoamriwa?
10Vi tume, kana kerdian so godi sas phendo tumenge te keren, phenen, "Ame sam ferdi slugi; ame kerdiam ferdi so sas phendo amenge te keras."
10Hali kadhalika na ninyi mkisha fanya yote mliyoamriwa, semeni: Sisi ni watumishi tusio na faida, tumetimiza tu yale tuliyotakiwa kufanya."
11O Jesus zhalas ando Jerusalem, ai nakhelas mashkar e Samaria ai Galilee.
11Yesu akiwa safarini kwenda Yerusalemu alipitia mipakani mwa Samaria na Galilaya.
12Sar zhalas andek gav, desh manush kai sas lepra avile karing Jesus numa dural sas;
12Alipokuwa anaingia katika kijiji kimoja, watu kumi wenye ukoma walikutana naye, wakasimama kwa mbali.
13vazde pengo glaso, ai phende, "Jesus! Tu o Gazda! Av tuke mila anda amende!"
13Wakapaza sauti wakisema, "Yesu Mwalimu, tuonee huruma!"
14Ai kana O Jesus dikhlia le, phendia lenge, "Zhan sikadion kal rasha," ai pa drom kai zhanas kal rasha sastile.
14Alipowaona akawaambia, "Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani." Basi, ikawa walipokuwa wanakwenda, wakatakasika.
15Iek anda lende, kana dikhlia ke sastilo, boldiape palpale, ai naisilas le Devleske zurales,
15Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa.
16shudiape le mosa pe phuv kal punrhe le Jesusoske, ai naisisardia leske; kodo manush sas ek Samaritano.
16Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.
17O Jesus phendia, "Sastile sas le desh. Kai le kolaver inia?
17Hapo Yesu akasema, "Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi?
18Ferdi kako streino avilo palpale te naisil le Devles."
18Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?"
19Porme O Jesus phendia, "Wushti ai zhas: cho pachamos sastiardian tu."
19Halafu akamwambia huyo mtu, "Simama, uende zako; imani yako imekuponya."
20Uni Farizeanuria phushle katar O Jesus kana avela e amperetsia le Devleski. O Jesus phendia lenge, "E amperetsia le Devleski chi avel te dikhen la le manush
20Wakati mmoja, Mafarisayo walimwuliza Yesu, "Ufalme wa Mungu utakuja lini?" Naye akawajibu, "Ufalme wa Mungu hauji kwa namna itakayoweza kuonekana.
21Khonik chi phenela, "Dikh! Katarlo!" vai "Kotelo!" Ke e amperetsia le Devleski mashkar tumende lo."
21Wala hakuna atakayeweza kusema, Uko hapa, au Uko pale. Kwa kweli Ufalme wa Mungu uko kati yenu."
22O Jesus phendia le disiplonge, "Avena uni diesa kana mangenas te dikhen iek andal diesa O Shav le Manushesko, numa chi dikhena les.
22Halafu akawaambia wanafunzi wake, "Siku zinakuja ambapo mtatamani kuona mojawapo ya siku za Mwana wa Mtu, lakini hamtaiona.
23Uni phenena tumenge, "Dikh! Katar lo!" vai "Kote lo!" Na zhan pala lende.
23Na watu watawaambieni: Tazameni yuko hapa; ninyi msitoke wala msiwafuate.
24Sar o rhunjito sikadiol ai strefial anda iek gor le cheresko zhando kolaver gor, kadia aven O Shav le Manushesko kana avela lesko dies.
24Kwa maana kama vile umeme unavyotokea ghafla na kuangaza anga upande mmoja hadi mwingine, ndivyo Mwana wa Mtu atakavyokuwa siku yake.
25Numa trobul mai anglal te chinuil but, te gonin les le manush.
25Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi hiki.
26"Sar sas ando dies kana sas o Noah, sakadia si te avel kana avela O Shav le Manushesko.
26Kama ilivyokuwa nyakati za Noa, ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Mtu.
27Le manush xanas, penas, ansurinas penge shaven zhi ka dies kai o Noah gelo ande pharaxodo, avilo baro pai, ai savorhe xasaile.
27Watu waliendelea kula na kunywa, kuoa na kuolewa mpaka wakati ule Noa alipoingia katika safina. Gharika ikatokea na kuwaangamiza wote.
28Sar sas ando dies kana sas o Lot; sakadia le manush xanas ai penas, chinenas ai bichinenas, bariarenas ai kerenas khera;
28Itakuwa kama ilivyotokea wakati wa Loti. Watu waliendelea kula na kunywa, kununua na kuuza, kupanda mbegu na kujenga.
29Numa o dies kai o Lot anklisto avri anda Sodom, iag ai Sulfer pelo anda cheri sar breshind, ai savorhe xasaile.
29Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma, moto na kiberiti vikanyesha kama mvua kutoka mbinguni na kuwaangamiza wote.
30Sakadia avela kana O Shav le Manushesko sikadiola.
30Ndivyo itakavyokuwa siku ile Mwana wa Mtu atakapofunuliwa.
31"Ande kodo dies, kodo kai si opral pesko kheresko, ai si les leske dieli ando kher, nashti hulela tele te les le; ai kuko kai si ando kimpo (niva), nashti zhal palpale ka pesko kher.
31"Siku hiyo, yeyote atakayekuwa juu ya paa asishuke nyumbani kuchukua mali yake. Kadhalika, naye atakayekuwa shambani asirudi nyuma.
32Den tume goji kai zhuvli le manushesko kai busholas Lot.
32Kumbukeni yaliyompata mke wa Loti.
33"Kodo kai rodela te skepil pesko traio xasarela les; ai kodo kai xasarela pesko traio skepila les.
33Yeyote anayetaka kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na yeyote anayeipoteza, ataiokoa.
34Phenav tumenge, kodia riat dui manush sovena ande iek pato; iek avela lino, ai iek ashela.
34Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa.
35Dui zhuvlia licharena jiv andek than; iek avela lini, ai iek ashela.
35Wanawake wawili watakuwa wakisaga nafaka pamoja; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa."
36Dui manush si te aven ande niva (kimpo); iek avel lino, ai iek ashela."
36Watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.
37Ai le disipluria phushle les, "Kai kerdiola kadia diela, Devla?" O Jesus phendia, "Kai si ek mulo stato, kotse chidenape le ulruria."
37Hapo wakamwuliza, "Ni wapi Bwana?" Naye akawaambia, "Ulipo mzoga, ndipo tai watakapokusanyikia."