1Andek dies, kana O Jesus sas ande tampla sicharelas le narodos ai delas duma e lashi viasta, le bare rasha ai le Gramnoturia, ai le mai phure avile.
1Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuwahubiria juu ya Habari Njema, makuhani wakuu na walimu wa Sheria pamoja na wazee walifika,
2Ai phende leske, "Phen amenge, katar si tu kadia putiera te keres so keres? Vai kon si kodo kai dia tu kadia putiera?"
2wakasema, "Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?"
3O Jesus phendia lenge, "Vi me akana phushav tumendar ek divano,
3Yesu akawaambia, "Na mimi nitawaulizeni swali:
4o bolimos le Iovanosko katar sas, anda rhaio vai manushendar?"
4mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?"
5Ai dinepe duma mashkar pende, phenenas, "Te phenasa 'Anda rhaio,' wo phenela, ' Sostar chi pachaian les?'
5Lakini wao wakajadiliana hivi: "Tukisema yalitoka mbinguni, yeye atatuuliza: Mbona hamkumsadiki?
6Numa te phenasa, 'Katar le manush,' sa o narodo shudela bax pe amende; ke o narodo zhanelas ke o Iovano sas ek profeto.
6Na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohane alikuwa nabii."
7No won phende, 'Chi zhanas katar avilo.'"
7Basi, wakamwambia, "Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi."
8Ai O Jesus phendia lenge, "Chi me chi phenav tumenge katar che putiera kerav so kerav."
8Yesu akawaambia, "Hata mimi sitawaambia ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani."
9Porme O Jesus phendia le narodoske ek paramichi: "Iek manush thodia te bariol rez, ai meklia les kaver manush te len sama, ai gelotar andek dur them but vriama.
9Yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: "Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu.
10Kana avili e vriama te chidelpe o struguro, wo tradia ieke sluga karing le kolaver manush te lel lendar so trobul te avel lesko. Numa le manush kai chidenas o struguro marde les, ai trade les palpale bi kanchesko.
10Wakati wa mavuno, mtu huyo alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima, akachukue sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wale wakulima wakampiga mtumishi huyo wakamrudisha mikono mitupu.
11Kodo manush mai tradia ieka sluga; ai pale marde les, chinuisarde les, ai trade les bi kanchesko.
11Yule bwana akamtuma tena mtumishi mwingine; lakini wao wakampiga huyo vilevile na kumtendea vibaya, wakamrudisha mikono mitupu.
12Numa kodo manush mai tradia mai ieka sluga, (o trito) ai won dukhade les, ai gonisarde les.
12Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.
13Antunchi o gazda la rezako phendia, "So te kerav? Tradav murhe shaves kai si mange drago; amborim lena pe pala leste!"
13Yule mwenye shamba akafikiri: Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpenzi; labda watamjali yeye.
14Numa kana le manush kai chidenas o struguro dikhle les, denas pe duma mashkar pende, "Kodo si o shav le gazdasko, mudaras les, ai e phuv ashela amenge!"
14Wale wakulima walipomwona tu, wakasemezana: Huyu ndiye mrithi. Basi, tumwue ili urithi wake uwe wetu.
15Ai gonisarde les dur katar e rez, ai mudarde les. "Akana, so kerel lenge o gazda la rezako?" "Avela ai mudarela kodole manushen, ai dela e rez kal kolaver."
15Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua." Yesu akauliza, "Yule mwenye shamba atawafanya nini hao wakulima?
16Kana o narodo ashundia kodia, phendia, "Kasavatar diela nashti kerdiol!"
16Atakuja kuwaangamiza wakulima hao, na atawapa wakulima wengine hilo shamba la mizabibu." Watu waliposikia maneno hayo, walisema: "Hasha! Yasitukie hata kidogo!"
17O Jesus dikhlia pe lende, ai phendia, "So znachil kado ramomos? O bax kai shude kukula, saikfielo bax sas o bax kai trobulsarde."
17Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, "Maandiko haya Matakatifu yana maana gani basi? Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi!
18Kon godi perela pe kodo bax avela phaglo; ai kuko kai perela o bax wo avela lichardo."
18Mtu yeyote akianguka juu ya jiwe hilo, atavunjika vipandevipande; na likimwangukia mtu yeyote, litamsaga kabisa."
19Le bare rasha ai le Gramnoturia dinepe duma sar te astaren les; ai won daranas anda le manushenge, ke won haliarde ke O Jesus lenge phendia kodia paramichi.
19Walimu wa Sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
20Ai won lenas sama les, ai trade manushen te dikhen so kerel, kerenaspe sar chache manush, saxke te astaren les ande lesko divano, saxke te den les ka guvernori (kai si les e putiera te kerel sa wo mangel).
20Basi, wakawa wanatafuta wakati wa kufaa. Wakawahonga watu fulani wajisingizie kuwa wema, wakawatuma wamnase Yesu kwa maswali, na hivyo waweze kumtia nguvuni na kumpeleka kwa wakuu wa serikali.
21Kodala manush phushle les, "Gazda, zhanas so phenes ai sichares si vorta, ai zhanas ke chi respektis iek manush mai but sar kaver, numa sichares o zakono le Devlesko chachimasa.
21Hao wapelelezi wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli; tunajua kwamba wewe huna ubaguzi; wewe wafundisha ukweli juu ya njia ya Mungu.
22Phen amenge, si amenge slobodo vai nai te pochinas taksa ka Caesar?"
22Basi, twambie kama ni halali, au la, kulipa kodi kwa Kaisari!"
23Numa O Jesus haliardia lenge nasul ginduria, ai phendia lenge, "Sostar tume zumaven ma?"
23Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
24Sikaven mange ek kotor rupone, "Kaske fatsa ai ramomos si kado?"
24"Nionyesheni sarafu. Je, sura na chapa ni vya nani?"
25Won phende, "O Caesar." O Jesus phendia lenge, "Den ka Caesar so si lesko, ai den ka Del so si le Devlesko."
25Nao wakamjibu, "Ni vya Kaisari." Yesu akawaambia, "Basi, mpeni Kaisari vilivyo vyake Kaisari, na Mungu vilivyo vyake Mungu."
26Nashti thode leske dosh pe kado divano angla narodo; numa chudisaile andal atweto kai dia le, ai chi mai phende kanch.
26Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake.
27Uni Saduseanuria avile ka Jesus, ke mothonas ke nai traio pala e martia; ai phushle,
27Kisha Masadukayo, ambao husema kwamba wafu hawafufuki, wakamjia Yesu, wakasema:
28"Gazda, o Moses ramosardia o zakono amenge; "Te merela vari kasko phral, ai si les ek rhomni, ai nas les glate, lesko phral ansurilape leska rhomniasa, ai vazdel familia leske phraleske."
28"Mwalimu, Mose alituandikia kwamba kama ndugu ya mtu fulani akifa na kumwacha mjane wake bila watoto, ni lazima ndugu yake amchukue huyo mama mjane, amzalie watoto ndugu yake marehemu.
29Sas efta phral: o pervo ansurisailo, ai mulo bi te avel les glate, meklia rhomnia peske phraleske.
29Sasa, wakati mmoja kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa na baadaye akafa bila kuacha mtoto.
30Sakadia o duito,
30Yule ndugu wa pili akamwoa yule mjane, naye pia, akafa;
31ai o trito, sakadia kerdilia vi le efta phralensa. Mule vi te aven le glate.
31na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba--wote walikufa bila kuacha watoto.
32Akana vi e zhuvli muli.
32Mwishowe akafa pia yule mwanamke.
33Kana avela te zhuvindin le mule te zhan ando rhaio, saveski andal efta phral avela e rhomni ke savorhenge sas?"
33Je, siku wafu watakapofufuliwa, mwanamke huyo atakuwa mke wa nani? Alikuwa ameolewa na wote saba."
34O Jesus phendia lenge, "Le mursh ai le zhuvlia la lumiake akana ansurinpe;
34Yesu akawaambia, "Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;
35Numa le mursh ai le zhuvlia kai sai zhuvindin andai martia ka traio ai te traiin ande kolaver lumia chi mai ansurinpe.
35lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa.
36Nashti mai meren; ke won avena sar le angeluria ai chi meren, ai avena shaves le Devleske, ke zhuvindisar le andai martia.
36Ama hakika, hawawezi kufa tena, kwa sababu watakuwa kama malaika, na ni watoto wa Mungu kwa vile wamefufuliwa katika wafu.
37Ai o Moses sikadia kai le mule zhuvindinas ka traio. Ande Vorba le Devleski kai mothol pai krenzha kai zhalas e iag, kana wo akharel les "O Del le Abrahamosko, O Del le Isakosko, ai O Del le Iakovosko."
37Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata Mose alithibitisha jambo hilo katika Maandiko Matakatifu. Katika sehemu ya Maandiko Matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja Bwana kama Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo.
38Ke wo nai O Del le mulengo, numa le zhuvindengo; savorhe traiin leske."
38Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana wale aliowaita kwake, wanaishi naye."
39Uni andal Gramnoturia phende, "Gazda, mishto dia duma."
39Baadhi ya wale walimu wa Sheria wakasema, "Mwalimu, umejibu vema kabisa."
40Ai chi mai tromanas te mai phushen les kanch.
40Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.
41O Jesus phendia lenge, "Sar mothon ke O Kristo si Shav le Davidosko?
41Yesu akawauliza, "Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
42Ke o David phendia ande Vorba le Devleski (Psalms), "O Del phendia murhe Devleske: Besh tele pa murhi chachi rik,
42Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia
43zhi kai kerav anda che duzhmaia iek than te hodinis che punrhe pa lende."
43mpaka niwafanye adui zako kama kiti cha kuwekea miguu yako.
44O David akhardia les Devla, sar sai avel vo lesko shav?"
44Ikiwa Daudi anamwita yeye, Bwana, basi atakuwaje mwanawe?"
45Sar sa o narodo ashunelas leste, O Jesus phendia peske disiplonge.
45Yesu aliwaambia wanafunzi wake mbele ya watu wote,
46Arakhen tume katar le Gramnoturia, kai si lenge drago te phiravenpe andel rhochi lunzhe, ai den le manush lasho dies pel droma, ai roden la mai lashe skamina ande synagogue, ai drago lenge te beshen ka shero la skafidiako kal pachiva.
46"Jihadharini na walimu wa Sheria ambao hupenda kupitapita wamevalia kanzu. Hupenda kusalimiwa na watu kwa heshima masokoni, huketi mahali pa heshima katika masunagogi na kuchukua nafasi za heshima katika karamu.
47Ke tume xan le phivliange khera, ai rhugin tume lungo rhugimos te miazol ke lashe san: anda kodia si te perel mai phari kris pe tumende."
47Huwadhulumu wajane huku wakisingizia kuwa wema kwa kusali sala ndefu. Hao watapata hukumu kali zaidi!"