Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Luke

5

1Andek dies O Jesus beshelas pasha maria le Gennersaretako, ai o narodo sas pasha leste te ashunen E Vorba le Devleski.
1Siku moja Yesu alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti, na watu wengi walikuwa wamemzunguka wakisongana wanalisikiliza neno la Mungu.
2Dikhlia dui chunuria pasha pai, le masharia nas kotse ke xalavenas penge siti.
2Akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa; wavuvi wenyewe walikuwa wametoka, wanaosha nyavu zao.
3O Jesus anklisto ande iek chuno kai sas le Simonosko, ai mangle lestar te duriol xantsi mai dur katar e phuv. O Jesus beshlo tele ande chuno ai sicharelas le narodos.
3Baada ya Yesu kuingia katika mashua moja, iliyokuwa ya Simoni, alimtaka Simoni aisogeze majini, mbali kidogo na ukingo wa ziwa. Akaketi, akafundisha umati wa watu akiwa ndani ya mashua.
4Kana getosardia te del duma, phendia le Simonoske, "An cho chuno pek than kai si baro pai, ai porme tu ai kodola kai si tusa shuden tumare siti te len mashe."
4Alipomaliza kufundisha, akamwambia Simoni, "Peleka mashua mpaka kilindini, mkatupe nyavu zenu mpate kuvua samaki."
5O Simon phendia leske, "Gazda, sorho riat kerdiam buchi ai chi astardiam kanch, numa pala che vorbi shudav murhe siti tele ando pai."
5Simoni akamjibu, "Bwana, tumejitahidi kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu."
6Ai kana shude le, won line but mashe, ke de but mashe kai sas lenge siti shinenas.
6Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.
7Antunchi akharde penge vortakon, kai kerenas buchi ando kolaver chuno, te aven te zhutin le. Avile, ai pherde dui chunuria, de fial but mashe kai tasonas.
7Wakawaita wenzao waliokuwa katika mashua nyingine waje kuwasaidia. Wakaja, wakazijaza mashua zote mbili samaki, hata karibu zingezama.
8Kana o Simon Petri dikhlia so kerdilia, pelo ande changende angla Jesus ai phendia, "Duriol mandar Devla, ke sim ek bezexalo manush!"
8Simoni Petro alipoona hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu akisema, "Ondoka mbele yangu, ee Bwana, kwa kuwa mimi ni mwenye dhambi!"
9O Simon ai vi kodola kai sas lesa chudisaile pala but mashe kai line sas.
9Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.
10Sakadia sas le vortacha le Simonoske, o Iakov, o Iovano, le shave le Zebedoske. O Jesus phendia le Simonosko, "Na dara, de akanara le manushen astaren."
10Hali kadhalika Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, waliokuwa wavuvi wenzake Simoni. Yesu akamwambia Simoni, "Usiogope; tangu sasa utakuwa ukivua watu."
11Antunchi line penge chunuria ai tsirde le pe phuv, ai mekle sa ai linepe pala Jesus.
11Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.
12Kana O Jesus sas andek foro avilo iek manush kai sas pherdo lepra, kana dikhlia O Jesus shudiape angla leste le mosa pe phuv, ai rhugisailo leste ai phendia, "Gazda, te mangesa sai sastiares ma!"
12Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojawapo wa miji ya huko, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona. Basi, mtu huyo akaanguka kifudifudi akamwomba Yesu: "Mheshimiwa, ukitaka, waweza kunitakasa."
13O Jesus lunzhardia o vas, azbadia les ai phendia, "Me mangav ai akana te aves vuzho!" Ai strazo e lepra gelitar pa kado manush.
13Yesu akaunyosha mkono wake, akamgusa na kusema, "Nataka, takasika!" Mara ule ukoma ukamwacha.
14O Jesus dia les trad "Na phen kanikaste so kerdem tuke, numa zhas sikav le rashange sar san, ai mudar la bakrorha kai o Moses dia sas ordina te sikaves savorhenge ke san sasto.
14Yesu akamwamuru: "Usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama inavyotakiwa na Sheria ya Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona."
15Numa e viasta pe Jesus ashundesas mai but ai mai but, ai but narodo chidelaspe te ashunen leste, ai te sastion ande penge naswalimata.
15Lakini habari za Yesu zilizidi kuenea kila mahali. Watu makundi mengi wakakusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
16Numa O Jesus duriolas kai nas khonik korkorho te rhugilpe.
16Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko.
17Andek dies O Jesus sicharelas, uni Farizeanuria ai le manush kai sicharno zakono beshenas tele, won avile anda gava kai si ande Galilee ai Judea, ai anda Jerusalem, ai O Jesus sas les e putiera te sastiarel le naswalen.
17Siku moja Yesu alikuwa akifundisha. Mafarisayo na walimu wa Sheria kutoka katika kila kijiji cha Galilaya, Yudea na Yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
18Uni manush avile, andine manushes po than kai nashti phirelas; won rodenas te anen les ando kher, ai te thon les angle leste, O Jesus.
18Mara watu wakaja wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani wamweke mbele ya Yesu.
19Numa chi zhanenas katar te keren te den ando kher, ke but narodo sas, ankliste po chardako, ai vuliarde les tele pai iek gropa kai sas opre le patosa mashkar o narodo ai angla Jesus.
19Lakini kwa sababu ya wingi wa watu, hawakuweza kuingia ndani. Basi, wakapanda juu ya dari, wakaondoa vigae, wakamshusha huyo aliyepooza pamoja na kitanda chake, wakamweka mbele ya Yesu.
20Kana O Jesus dikhlia lengo pachamos, wo phendia kal manushes "Che bezexa iertimele, murho vortako."
20Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, "Rafiki, umesamehewa dhambi zako."
21Le Farizeanuria ai le Gramnoturia denas pe duma ande pende, ai phenenas, "Kon si kado manush kai del duma nasul pa Del? Chi iek manush sai iertil le bezexa, ferdi O Del sai iertil."
21Walimu wa Sheria na Mafarisayo wakaanza kujiuliza: "Nani huyu anayemkufuru Mungu kwa maneno yake? Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake!"
22O Jesus zhanglia lengo ginduria, ai phendia lenge,
22Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, "Mnawaza nini mioyoni mwenu?
23"Savendar ginduria si tume ando ilo? So si mai vushoro te phenel tu "Che bezexa iertimele" vai "Vushti opre ai phir?"
23Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi, au kusema, Simama utembee?
24"Numa ke zhanen ke O Shav le Manushengo pe phuv si les putiera te iertil le bezexa, ai phendia le bangeske, "Vushti opre, le cho than ai zha khere."
24Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kusamehe dhambi duniani." Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, "Simama, chukua kitanda chako uende zako nyumbani."
25Strazo vushtilo angla lende, lia pesko than kai beshelas pe leste, ai gelotar khere. Ai naisilas le Devles.
25Mara, huyo mtu aliyepooza akasimama mbele yao wote, akachukua kitanda chake akaenda zake nyumbani huku akimtukuza Mungu.
26Sa narodo chudisailo, naisin le Devles, ai darasa, phenenas, "Dikhliam adies shodo dieli."
26Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: "Tumeona maajabu leo."
27Pala kodia O Jesus anklisto avri ai dikhlia ieke manushes kai chidelas le love le guvernoske, wo busholas Levi, wo beshelas po than kai avenas le manush te pochinen e taksa, ai O Jesus phendia leske, "Aidi pala mande."
27Baada ya hayo, Yesu akatoka nje, akamwona mtoza ushuru mmoja aitwaye Lawi, ameketi ofisini. Yesu akamwambia, "Nifuate!"
28Ai kodo manush vushtilo opre, meklia sa ai liape pala leste.
28Lawi akaacha yote, akamfuata.
29Porme o Levi kerdia iek bari pachiv le Jesusos ando pesko kher. Ai but manush kai chidenas taksa ai aver narodo sas kai skafidi lensa.
29Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani mwake; na kundi kubwa la watoza ushuru na watu wengine walikuwa wameketi pamoja nao.
30Uni Farizeanuria ai le Gramnoturia marenas mui pa leske disipluria, "Sostar tume xan ai pen le manushensa kai chiden love (taksa) ai le bezexalensa?"
30Mafarisayo na walimu wa Sheria wakawanung'unikia wafuasi wake wakisema: "Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?"
31O Jesus phendia lenge, "Chi trobul o dokxtoro kodolen kai si saste, numa kodolen kai si naswale.
31Yesu akawajibu, "Wenye afya hawahitaji daktari, lakini wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
32Chi avilem te akharav le lashe manushen. Avilem te akharav le bezexalen."
32Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, ili wapate kutubu."
33Ai phenen leske, "Le disipluria le Iovanoske ai vi le disipluria le Farizeanonge postin butivar ai rhuginpe, numa che disipluria xan ai pen."
33Watu wengine wakamwambia Yesu, "Wafuasi wa Yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya vivyo hivyo. Lakini wafuasi wako hula na kunywa."
34Ai O Jesus phendia lenge, "Sar sai postin le vortacha le rhomeske, kana o rhom lensa lo?
34Yesu akawajibu, "Je, mnaweza kuwataka wale walioalikwa arusini wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao?
35Numa le dies aven, kai o rhom zhalatar, antunchi sai postina."
35Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao, na wakati huo ndipo watakapofunga."
36Antunchi O Jesus phendia lenge ek paramichi: "Khonik chi shinel iek kotor andal neve tsalia te thol pal phurane tsalia, ke antunchi wo shinel le tsalia neve, ai o kotor kai shindia chi maladiol kal phurane.
36Yesu akawaambia mfano huu: "Hakuna mtu akataye kiraka cha nguo mpya na kukitia katika vazi kuukuu; kama akifanya hivyo, atakuwa amelikata hilo vazi jipya, na hicho kiraka hakitachukuana na hilo vazi kuukuu.
37Khonik chi thol nevi mol andel phurane morchia; ke e mol e nevi shinel e morchi, ai e mol shordiol ai e morchi nai lashi.
37Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; kwani hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, divai itamwagika, na viriba vitaharibika.
38Numa trobul te thon e nevi mol andel nevi morchi.
38Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!
39Ai khonik kana pela e mol phurai chi mangel nevi mol. E phurai mol mai lashi.
39Wala hakuna mtu ambaye hutamani kunywa divai mpya baada ya kunywa ya zamani, kwani husema: Ile ya zamani ni nzuri zaidi."