Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Matthew

26

1Kana O Jesus getosardias sa so sas te phenel, phendias peske disiplonge.
1Yesu alipomaliza kusema hayo yote, aliwaambia wanafunzi wake,
2"Tume zhanen ke pa dui dies o dies o baro le Zhidovongo, ai O Shav le Manushesko avela dino ando vas te thon les po trushul."
2"Mnajua kwamba baada ya siku mbili tutakuwa na sikukuu ya Pasaka, na Mwana wa Mtu atatolewa ili asulubiwe."
3Antunchi le rasha le bare, ai le Gramnoturia, ai le phure kai poronchinas po them, chidinisaile ande bar ka o Caiaphas, o rashai o baro.
3Wakati huo makuhani wakuu na wazee wa watu walikutana pamoja katika ukumbi wa Kayafa, Kuhani Mkuu.
4Ai denas pe duma sar sai atsaven le Jesusos te thon o vas pe leste, ai te mudaren les.
4Wakashauriana jinsi ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue.
5Numa phende, "Nashti avel po dies o baro ke kam buntuilpe o them."
5Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya watu.
6Kana O Jesus sas ando Bethani, ando kher ka Simon o lepra.
6Yesu alipokuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, aitwaye Mkoma,
7Iek zhuvli avili leste ai andias o mai kuchi duxi, sar beshelas ka e skafidi, shordias les pe lesko shero.
7mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya thamani kubwa, alimjia pale mezani alipokuwa amekaa kula chakula, akammiminia hayo marashi kichwani.
8Kana dikhle le disipluria, nas lenge mishto, ai phushenas, "Sostar kerdias kasavi zida?
8Wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, "Ya nini hasara hii?
9Kado duxi sai avilino bichindo pe but love, ai le love dine kal chorhe."
9Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha."
10O Jesus haliardias, ai phendias lenge, "Sostar dosharen kadala zhuvlia? Ke so woi kerdias mange si de sa shukar diela.
10Yesu alitambua mawazo yao, akawaambia, "Mbona mnamsumbua huyu mama? Yeye amenitendea jambo jema.
11Le chorhe sagda avena tumensa, numa me chi avava tumensa sagda.
11Maskini mnao daima pamoja nanyi, lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.
12Kana shordias kado duxi pe murho stato, woi kerdias kodia te getol ma pe murho gropomos.
12Huyu mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko.
13O chachimos phenav tumenge, kai godi kadia viasta lashi avela phendi ande sa e lumia, so woi kerdias mange si te avel phendo te denpe goji late."
13Nawaambieni kweli, popote ambapo hii Habari Njema itahubiriwa ulimwenguni, kitendo hiki alichofanya mama huyu kitatajwa kwa kumkumbuka yeye."
14Antunchi iek andal desh u dui kai bushelas Judas Iscariot, gelo kal le bare rasha,
14Kisha, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda kwa makuhani wakuu,
15ai phushlias le, "Sode den ma, te dava les ande tumaro vas? Ashshile lesa pe trenda kotora rup.
15akawaambia, "Mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi Yesu kwenu?" Wakamhesabia sarafu thelathini za fedha;
16De katar kodia vriama rodias sar te del les ando vas.
16na tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti.
17Po pervo andal jesa le bare kai xanas manrho kai nai puchardo, le disipluria avile ka Jesus, ai phushle, "Kai manges te getosaras tuke te xas o dies o baro le Zhidovongo?"
17Siku ya kwanza kabla ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, wanafunzi walimwendea Yesu wakamwuliza, "Unataka tukuandalie wapi chakula cha Pasaka?"
18Wo phendias, "Zhan ando foro ka kutari, ai phenen leske, 'O gazda phenel, murhi vriama pashe, kerav O Dies O Baro le Zhidovongo ka chiro kher murhe disiplonsa.'"
18Yeye akawajibu, "Nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie: Mwalimu anasema, wakati wangu umefika; kwako nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu."
19Le disipluria kerde so Jesus phendias lenge, ai getosarde O Dies O Baro le Zhidovongo.
19Wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaandaa Pasaka.
20Kana peli e riat beshlo kai skafidi le desh u do disiplonsa.
20Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
21Ai sar hanas, wo phendias, "O chachimos phenav tumenge, iek anda tumende si te purhin ma."
21Walipokuwa wakila, Yesu akasema, "Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti."
22Nekezhisaile zurales, ai iek pala avreste phushenas, "Gazda, dar me sim?"
22Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, "Bwana! Je, ni mimi?"
23Wo phendias, "Kodo kai xal mansa anda tiari, si te purhil man."
23Yesu akajibu, "Atakayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.
24O Shav le Manushesko avela kerdo lesa sar sas ramome pa leste. Numa nasul avela kodoleske kai purhila le Shaves le Manushesko! Mai mishto avilino leske te na arakhadilo sas.
24Naam, Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu yasemavyo, lakini ole wake mtu yule atakayemsaliti Mwana wa Mtu! Ingalikuwa afadhali kwa mtu huyo kama hangalizaliwa."
25O Judas kai purhisardia les, phushlias, "Me sim, gazda?" O Jesus phendias leske, "Tu phendian."
25Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, "Mwalimu! Je, ni mimi?" Yesu akamjibu, "Wewe umesema."
26Sar xanas, O Jesus lias manrho, ai swuntsosardias les, phaglias les, ai dias les kal disipluria, ai phendias, "Len, xan, kado si murho stato.
26Walipokuwa wanakula, Yesu akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa wanafunzi wake akisema, "Twaeni mle; huu ni mwili wangu."
27Lias e kuchi, dias naisimos, ai dias lende, ai phendias, "Pen, sa tume.
27Kisha akatwaa kikombe, akamshukuru Mungu, akawapa akisema, "Nyweni nyote;
28Ke kado si murho rat. O nevo kontrakto, shordo te pochinel anda o bezex butengo."
28maana hii ni damu yangu inayothibitisha agano, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu wengi ili kuwaondolea dhambi.
29Phenav tumenge, Chi mai piiava andai fruta le struguroski, de akana ai zhi po dies kai piiava andai e nevi fruta tumensa ande murhi Dadeski amperetsia.
29Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu."
30Kana jilabavde iek jili, gele pe plai le masilinengi.
30Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.
31O Jesus phendias lenge, "Ariat sa si te meken ma palal so kerdiolape mange, ke ramome, 'Dava dab le pastuxos ai le bakre, si te rhispinpe.'
31Kisha Yesu akawaambia, "Usiku huu wa leo, ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami, maana Maandiko Matakatifu yasema: Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi watatawanyika.
32Kana zhuvindiva andai martia, si te zhav mai anglal tumendar ande Galilee."
32Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya."
33O Petri phendias, "Vi te mekena tu sa, pala so kerdiolape tusa, me shoxar chi mekava tut!"
33Petro akamwambia Yesu "Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe."
34O Jesus phendias leske, "O chachimos phenav tuke, kadia riat mai anglal sar o kurkorsho te bashel, tu si te mothos trivar ke chi zhanes ma."
34Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, usiku huu kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu."
35O Petri dias mui, "Vi te trobula te merav tusa, me shoxar chi phenava ke chi zhanav tut," ai sa le disipluria phende sakadia.
35Petro akamwambia, "Hata kama ni lazima nife pamoja nawe, sitakukana kamwe." Wale wanafunzi wengine wote wakasema vivyo hivyo.
36Antunchi gelo peske disiplonsa ka o than kai bushol Gethsemande, ai phendias lenge, "Beshen katka zhi pon zhav me mai inchal te rhugiv ma."
36Kisha Yesu akaenda pamoja nao bustanini Gethsemane, akawaambia wanafunzi wake, "Kaeni hapa nami niende pale mbele kusali."
37Lias pesa o Petri ai le dui shave le Zebedoske, ai kote avilo pe leste pharipe nekazo ai chinuilas.
37Akawachukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko.
38Antunchi phendias lenge, "Haliarav ande murho duxo de sa pharo nekazo, zhi kai martia, beshen katka, beshen wushtiarde mansa."
38Hapo akawaambia, "Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa mkeshe pamoja nami."
39Gelo tsirha mai angle, shudiaspe tele mosa pe phuv, ai rhugisailo, "Murho Dat, te sai mek te nakhel kadia kuchi mandar; numa na murhi voia, chiri voia te avel kerdi."
39Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali: "Baba yangu, kama inawezekana, aacha kikombe hiki cha mateso kinipite; lakini isiwe nitakavyo mimi, ila utakavyo wewe."
40Antunchi avilo palpale ka peske disipluria, ai arakhlias le ke soven, phendias le Petresko, "So nashtisardian tume te len sama mansa iek chaso?
40Akawaendea wale wanafunzi, akawakuta wamelala. Akamwambia Petro, "Ndiyo kusema hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa moja?
41Len sama ai rhugin tume, te na peren ando zumaimos: o duxo mangel, numa o stato kovlo."
41Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i tayari lakini mwili ni dhaifu."
42Gelotar e duito data, ai rhugisailo, "Murho Dat te nashti nakhela kadia kuchi mandar, zhi pon chi piiava andai kuchi, chiri voia te avel kerdi."
42Akaenda tena mara ya pili akasali: "Baba yangu, kama haiwezekani kikombe hiki kinipite bila mimi kukinywa, basi, mapenzi yako yafanyike."
43Kana avilo palpale mai iek data arakhlias le ke soven ke nashti ankerenas peske iakha phuterde.
43Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.
44Mai iek data meklias le, gelotar ai rhugisailo pe trito data, ai phendias sa kodola vorbi.
44Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.
45Antunchi avilo kal disipluria, ai phendias lenge, "Vi akana soven, ai hodinin. Dikhen, o chaso avilo te avel dino O Shav le Manushesko, ando vas bezexale manushengo.
45Kisha akawaendea wale wanafunzi, akawaambia, "Je, mngali mmelala na kupumzika? Tazameni! Saa yenyewe imefika, na Mwana wa Mtu atatolewa kwa watu wenye dhambi.
46Wushten, aventar, Dikhen, avel kodo kai dias ma ando vas."
46Amkeni, twendeni zetu. Tazameni! Anakuja yule atakayenisaliti."
47Sar O Jesus delas duma o Judas, iek andal desh u dui avilo,lesa avilo baro narodo sabiensa ai kashtensa, tradine sas katar le bare rasha, ai katar le phure kai poronchinas.
47Basi, Yesu alipokuwa bado anasema nao, mara akaja Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili. Pamoja naye walikuja watu wengi wenye mapanga na marungu ambao walitumwa na makuhani wakuu na wazee wa watu.
48Kodo kai dias les ando vas dias len ek semno, phendias, "Kodoles kai chumidava, si o manush, len les."
48Huyo aliyetaka kumsaliti Yesu, alikuwa amekwisha wapa ishara akisema: "Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni."
49Andak data gelo ka O Jesus, phendias leske, "Sar san gazda?" ai chumidias les.
49Basi, Yuda akamkaribia Yesu, akamwambia, "Shikamoo, Mwalimu!" Kisha akambusu.
50O Jesus phendias leske, "Vortakona, ker so avilian te keres." Antunchi avile le manush angle, thode o vas po Jesus ai phangle les.
50Yesu akamwambia, "Rafiki, fanya ulichokuja kufanya." Hapo wale watu wakaja, wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.
51Iek anda kodola kai sas le Kristosa, anzilo ai lias peski sabia, ai shindias tele o khan kodolesko kai sas sluga ka rashai o baro.
51Mmoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akanyosha mkono, akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.
52Antunchi O Jesus phendias leske, "Tho chi sabia palpale: ke kon godi lel e sabia xaiil katar e sabia.
52Hapo Yesu akamwambia, "Rudisha upanga wako alani, maana yeyote anayeutumia upanga, atakufa kwa upanga.
53Dar gindis ke nashti dav mui pe murho Dat, ai andek data tradel mange mai but sar eftavardesh mi angeluria?"
53Je, hamjui kwamba ningeweza kumwomba Baba yangu naye mara angeniletea zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?
54Numa sar antunchi te pherdiol o ramomos kai mothol ke musai te kerdiolpe, so akana kerdiol.
54Lakini yatatimiaje Maandiko Matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?"
55Antunchi O Jesus phendias le narodoske, "Dar chor sim te avilian pala mande sabiensa ai kashtensa te astaren ma? Dies pala dieseste beshlem ande tamplo te sicharav, ai chi thodian o vas pe mande."
55Wakati huohuo Yesu akauambia huo umati wa watu waliokuja kumtia nguvuni, "Je, mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu kama kwamba mimi ni mnyang'anyi? Kila siku nilikuwa Hekaluni nikifundisha, na hamkunikamata!
56Numa sa kado kerdilo, kashte o ramomos le profetongo te pherdiol." Antunchi sa le disipluria mekle les, ai rhispisaile.
56Lakini haya yote yametendeka ili Maandiko ya manabii yatimie." Kisha wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
57Antunchi kodola kai line le Kristos ningerde les ka rashai o baro, ka Caiaphas, ka lesko kher, kotse le Gramnoturia ai le phure kai poronchinas chidinisaile.
57Basi, hao watu waliomkamata Yesu walimpeleka nyumbani kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokusanyika walimu wa Sheria na wazee.
58O Petri liape pala leste de dural zhi ka e bar le bare rashaske, gelo andre, beshlo tele le slugensa, te dikhel so kerdiol.
58Petro alimfuata kwa mbali mpaka uani kwa Kuhani Mkuu, akaingia ndani pamoja na walinzi ili apate kuona mambo yatakavyokuwa.
59Le rasha le bare, ai sa e Sanhedren kodola kai shinenas le krisa, rodenas te thon beda xoxamni po Jesus, te shinen kris pe leste, te mudaren les.
59Basi, makuhani wakuu na Baraza lote wakatafuta ushahidi wa uongo dhidi ya Yesu wapate kumwua,
60Numa chi arakhle, makar ke but avile angle te xoxaven pa leste. De anda gor avile dui ai phende.
60lakini hawakupata ushahidi wowote, ingawa walikuja mashahidi wengi wa uongo. Mwishowe wakaja mashahidi wawili,
61Kado manush phendias, "Man si e putiera te xaiiv e tampla le Devleski, ai ande trin dies te vazdav kodia tampla."
61wakasema, "Mtu huyu alisema: Ninaweza kuliharibu Hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu."
62Antunchi o rashai o baro wushtilo opre, ai phendias leske, "Nai tu so te phenes pa kodia? So phenen kadala manush pa tute?"
62Kuhani Mkuu akasimama, akamwuliza Yesu, "Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?"
63Numa O Jesus chi phendias khanch. O rashai o baro phendias leske, "Thav tut pe solax angla O Del o zhuvindo te phenes amenge dar san tu O Kristo, O Shav le Devlesko."
63Lakini Yesu akakaa kimya. Kuhani Mkuu akamwambia, "Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, twambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu!"
64O Jesus phendias leske, "Tu phendian chire vorbensa, ai mai but me phenav tuke, ke mai angle si te dikhen O Shav le Manushesko ka o vas o chacho putierako ai sar avel pel nuveria le rhaioski."
64Yesu akamwambia, "Wewe umesema! Lakini nawaambieni, tangu sasa mtamwona Mwana wa Mtu ameketi upande wa kulia wa Mwenyezi, akija juu ya mawingu ya mbinguni."
65Antunchi o rashai o baro shindias peske tsalia, ai dias mui, "Wo dias duma xoxaimos karing O Del, xoxavel pa Del (Blasfime!) So mai trobul ame marturia? Vi tume ashundian o blasfime.
65Hapo, Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akasema, "Amekufuru! Tuna haja gani tena ya mashahidi? Sasa mmesikia kufuru yake.
66So haliaren tume?" "Trobul mudardo," won phende.
66Ninyi mwaonaje?" Wao wakamjibu, "Anastahili kufa!"
67Antunchi chungarde les ando mui, dine les dab dukhumensa. Aver marde les palmi,
67Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,
68ai phende, "Kristo, de ame profesi, kon dias tu dab!"
68wakasema, "Haya Kristo, tutabirie; ni nani amekupiga!"
69O Petri beshelas avri ande bar; iek zhuvli sluga avili, ai phendias, "Vi tu sanas lesa O Jesus andai Galilee."
69Petro alikuwa ameketi nje uani. Basi, mtumishi mmoja wa kike akamwendea, akasema, "Wewe ulikuwa pamoja na Yesu wa Galilaya."
70Wo phendias, "Nai chaches" angla savorhende, "Chi zhanav pa soste des duma."
70Petro akakana mbele ya wote akisema, "Sijui hata unasema nini."
71Antunchi gelo karing e wurota, kotse kaver zhuvli dikhlias les, ai phendias kodolenge kai sas kotse, vi wo sas kodolesa O Jesus andai Nazareth."
71Alipokuwa akitoka mlangoni, mtumishi mwingine wa kike akamwona, akawaambia wale waliokuwa pale, "Mtu huyu alikuwa pamoja na Yesu wa Nazareti."
72Mai iek data phendias, "Nai chaches," ai solaxadias, "Me chi zhanav les."
72Petro akakana tena kwa kiapo: "Simjui mtu huyo."
73Hantsi vriama pala kodia kodola kai sas kote avile ka Petri, ai phende, "Chaches vi tu san iek anda lende, ke cho divano purhil tut."
73Baadaye kidogo, watu waliokuwa pale wakamwendea Petro, wakamwambia, "Hakika, wewe pia ni mmoja wao, maana msemo wako unakutambulisha."
74Antunchi o Petri dias pe armaia ai solaxadias lenge, "Me chi zhanav kadale manushes," ai strazo o kurkorsho bashlo.
74Hapo Petro akaanza kujilaani na kuapa akisema, "Simjui mtu huyo!" Mara jogoo akawika.
75Antunchi o Petri diape goji ka le vorbi, kai O Jesus phendiasas leske, "Mai anglal sar te bashel o kurkorsho, tu trivar phenesa, ke chi zhanes ma." Anklisto avri, ai ruia zurales.
75Petro akakumbuka maneno aliyoambiwa na Yesu: "Kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu." Basi, akatoka nje akalia sana.