1Kana phuterdilo o dies sa le rasha ai le phure kai poronchinas avile andek than, ai dinepe duma pa O Jesus ai ashshile te mudaren les.
1Kulipopambazuka, makuhani wakuu wote na wazee wa watu walifanya mashauri juu ya Yesu wapate kumwua.
2Phangle les, ai ningerde les ka Pilate o guvernori.
2Wakamfunga pingu, wakamchukua, wakamkabidhi kwa Pilato, mkuu wa mkoa.
3Kana O Judas kodo kai dias les ando vas, dikhlias ke shinde leske kris te mudaren les, keisailo, ai ningerdias palpale le trenda kotora rup kal rasha ai kal phure kai poronchinas.
3Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha.
4Ai phendias, "Bezex kerdem ke dem ando vas chache manushes, phende leske, "So si amenge kodia, chiri diela si."
4Akawaambia, "Nimekosa kwa kumtoa mtu asiye na hatia auawe." Lakini wao wakasema, "Yatuhusu nini sisi? Hilo ni shauri lako."
5O Judas shudias le rupune love ande tamplo, ai gelo ai mudardilo.
5Naye akazitupa zile fedha Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga.
6Le bare rasha vazde sa le love, ai phende, "Nai mishto te thas kadala love andel love la tamplaki, ke kadala si ratvale love."
6Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu kwa maana ni fedha za damu."
7Dinepe duma ai ashshile te chinen le lovensa ek kimpo kai busholas "Potter's field" o than kai bichinel le phiria chikake, te gropon streinon.
7Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.
8Anda kodia phenen leske, "O kimpo le ratesko, zhi adies."
8Ndiyo maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.
9Antunchi so sas phendo katar o profeto Jeremiah pherdilo, "Line le trenda kotora rup, sode wo moldias uni Zhidovonge.
9Hivyo maneno ya nabii Yeremia yakatimia: "Walizichukua sarafu thelathini za fedha, thamani ya yule ambaye watu wa Israeli walipanga bei,
10Ai dine le te chinen o kimpo "Potter's field". Sar O Del phendias mange."
10wakanunua nazo shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza."
11O Jesus sas angla guvernori Pilate: ai o guvernori Pilate phushlias les, "Tu san o amperato le Zhidovongo?" "Sar tu phendian," O Jesus phendias leske.
11Yesu alisimamishwa mbele ya mkuu wa mkoa. Basi, mkuu wa mkoa akamwuliza, "Je, wewe ndiwe Mfalme wa Wayahudi?" Yesu akamwambia, "Wewe umesema."
12Kana phende ke doshalo lo le rasha le bare ai le phure kai poronchinas, wo chi phendias khanchi.
12Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.
13Antunchi o Pilate phendias leske, "Chi ashunes sa le dosha kai mothon pe tute?"
13Hivyo Pilato akamwuliza, "Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?"
14Numa O Jesus chi phendias khanchi ka chi iek andal dosha kai thode pe leste, anda kodia o guvernori Pilate chudisailo.
14Lakini Yesu hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu wa mkoa akashangaa sana.
15Sas ek zakono ka guvernori Pilate po dies o baro le Zhidivongo te mekel avri iekes ande temnitsa savo godi o narodo halola.
15Ilikuwa kawaida wakati wa Sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.
16Sas phandado antunchi iek kai zhangloliaspe ke de sa nasul lo, lesko anav sas Barabbas.
16Wakati huo kulikuwa na mfungwa mmoja, jina lake Baraba.
17Kana sas chidine, o Pilate phendias lenge, "Saves mangen te mekav tumenge? O Barabbas vai O Jesus kai mothon leske Kristo?"
17Hivyo, watu walipokusanyika pamoja, Pilato akawauliza, "Mwataka nimfungue yupi kati ya wawili hawa, Baraba ama Yesu aitwae Kristo?"
18Ke wo zhanglias sostar dine les ando vas, ke le rashan sas inetsia pe leste.
18Alisema hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu ya wivu.
19Kana beshlias po skamin te kerel e kris, leski rhomni tradias te mothon leske, "Na hamisavo ka kado chacho manush, ke adies chinuisardem but pala o suno kai dikhlem pa leste."
19Pilato alipokuwa amekaa katika kiti cha hukumu, mke wake akampelekea ujumbe: "Usijitie katika shauri la mtu huyu mwema, maana leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu yake."
20Le rasha le bare ai le phure kai poronchinas thode le narodos te mangen te mekel kodoles kai bushol Barabbas, ai te mudarel kodoles kai bushol Jesus.
20Lakini makuhani wakuu na wazee wakawashawishi watu waombe Baraba afunguliwe na Yesu auawe.
21O Pilate magdata phendias lenge, "Savo andal dui mangen te mekav tumenge?" Won phende, "Barabbas"
21Mkuu wa mkoa akawauliza, "Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka nimfungue?" Wakamjibu, "Baraba!"
22O Pilate phendias lenge, "So te kerav kadalesa O Jesus kai mothon leske Kristo?" Savorhe phende, "Tho les po trushul."
22Pilato akawauliza, "Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?" Wote wakasema, "Asulubiwe!"
23O Pilate phendias, "Sostar, che nasulimos kerdias?" Numa won mai zurales dine mui, "Tho les po trushul."
23Pilato akauliza, "Kwa nini? Amefanya kosa gani?" Wao wakazidi kupaaza sauti: "Asulubiwe!"
24Kana o Pilate dikhlias ke nashti kerel khanchi, ke buntuilaspe o narodo, lias pai, ai xaladias peske vas angla narodo, ai phendias, "Me chi sim doshalo anda rat kadale chache manushesko, akana zhi tumende si."
24Basi, Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, "Mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe."
25Sa le manush phende, "Lesko rat te avel pe amende ai pe amare glate."
25Watu wote wakasema, "Damu yake na iwe juu yetu na juu ya watoto wetu!"
26Antunchi meklias lenge o Barabbas, marde le Jesusos bichosa, ai dias les te thon les po trushul.
26Hapo Pilato akawafungulia Baraba kutoka gerezani, lakini akamtoa Yesu asulubiwe.
27Antunchi le ketani le Pilatoske line le Jesusos ningerde les ando kher le ketanengo, ai chidinisaile kruglom lestar ek antrego kompania ketani.
27Kisha askari wa mkuu wa mkoa wakamwingiza Yesu ndani ya ikulu, wakamkusanyikia kikosi kizima.
28Line leske tsalia pe leste, ai thode pe leste ek loli raxami.
28Wakamvua nguo zake, wakamvika joho la rangi nyekundu.
29Kerde korona andal lunzhe kanrhe, ai thode la po lesko shero, ai thode rhai ande lesko vas o chacho, dine changa angla leste, te maren mui lestar, ai phenenas, "Lungo traio ka o amperato le Zhidovongo!"
29Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, "Shikamoo mfalme wa Wayahudi!"
30Chungarde pe leste, line e rhai ai marde les pa shero lasa.
30Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.
31Kana getosarde te maren mui lestar, line pa leste e raxami, dine leske tsalia pe leste, ai ningerde les te thon les po trushul.
31Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.
32Po drom kai zhanas, arakhle ieke manush anda Cyrene, kai busholas Simon: ai thode les te ningerel o trushul.
32Walipokuwa wakienda, wakamkuta mtu mmoja jina lake Simoni, mwenyeji wa Kurene, wakamlazimisha kuuchukua msalaba wake Yesu.
33Aresle ka kodo than kai bushol Golgatha, o than kai miazol "Kokalo sheresko".
33Walipofika mahali paitwapo Golgotha, maana yake, "Mahali pa Fuvu la kichwa,"
34Dine les lolo shut hamime drabensa te pel, kana zumadias, ai haliardias so si, chi pelias.
34wakampa mchanganyiko wa divai na nyongo. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa.
35Thode les po trushul, ai hulade leske tsalia pe save godi nirisardias les: te kerdiol so o profeto phendiasas, "Hulade murhe tsalia mashkar pende, ai thodepe te dikhen kon niril murhe raxami."
35Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.
36Pala kodia beshle kote ai dikhenas pe leste.
36Wakaketi, wakawa wanamchunga.
37Opral pa lesko shero amblade ek ramomos kai phenelas che dosh ankerde pe leste "KADO SI O JESUS AMPERATO LE ZHIDOVONGO."
37Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lilioandikwa, "Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi."
38Lesa ek data dui chor sas thodine po trushul, iek ka lesko chacho vas, ai iek ka lesko stingo.
38Wanyang'anyi wawili walisulubishwa pia pamoja naye, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia.
39Zhene kai nakhenas kotsar, kerenas anda shero ai mishkirinas les.
39Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana wakitikisa vichwa vyao na kusema,
40Ai phenenas, "Tu kai sas te xaiis e tampla, ai ande trin dies te vazdes kodia tampla, skepisar tut te san tu O Shav le Devlesko, aidi tele pa trushul."
40"Wewe! Si ulijidai kulivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu? Sasa jiokoe mwenyewe. Kama wewe ni Mwana wa Mungu, basi shuka msalabani!"
41Sakadia le rasha le bare, le phure kai poronchinas, ai kodola kai sikavenas le zakonuria marde mui lestar.
41Hali kadhalika na makuhani wakuu pamoja na walimu wa Sheria na wazee walimdhihaki wakisema,
42Phenenas, "Skepisardias kavren, numa nashti skepil pes. Wo si O Amperato le themesko Israel, mek avel tele pa trushul, ai pachasa ame ande leste.
42"Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi! Eti yeye ni mfalme wa Wayahudi! Basi, sasa na ashuke msalabani, nasi tutamwamini.
43Wo pachalpe ando Del ai jinel pe leste, phendia ke O Shav le Devlesko lo, aven dikhas te mangela O Del te skepil les akana.
43Alimtumainia Mungu na kusema eti yeye ni Mwana wa Mungu; basi, Mungu na amwokoe kama anamtaka."
44Vi le chor kai sas thodine po trushul lesa, marde lestar mui sakadia.
44Hali kadhalika na wale waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana.
45Kal desh u dui po mashkar le diesesko tuniariko avilo pe lumia pe kai trin chasuria.
45Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, nchi yote ikawa katika giza.
46Karing le trin chasuria O Jesus dias mui andek baro glaso, "Eli, Eli, lama sabachthani?" Kodia si "Murho Del, Murho Del, Sostar meklian ma?"
46Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kubwa, "Eli, Eli, lema sabakthani?" Maana yake, "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?"
47Uni anda kodola kai sas kote ashunde les, ai phende, "Po Elijah del mui."
47Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, "Anamwita Eliya."
48Strazo iek anda lende grebisailo, lias ek kotor, thodias les ando lolo shut, thodias po khash ai zumadias te del ka Jesus te pel.
48Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.
49Numa le kaver phende, "Mek les aven dikhas te avela o Elijah te skepil les."
49Wengine wakasema, "Acha tuone kama Eliya anakuja kumwokoa."
50Magdata O Jesus dias mui ando baro glaso, antunchi dias pesko duxo opre, ai mulo.
50Basi, Yesu akalia tena kwa sauti kubwa, akakata roho.
51Strazo o poxtan ande tamplo shindilo ande donde de opral zhi tele; e phuv izdraias. Le bax pharhale.
51Hapo pazia la Hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;
52Le greposhevuria phuterdile, but anda le Devleske manush kai mule sas, sas vazdine ka traio.
52makaburi yakafunguka na watu wengi wa Mungu waliokufa wakafufuliwa;
53Avile avri andal greposhevuria. Kana O Jesus wushtilo, won gele ando swunto foro, kote but zhene dikhle le.
53nao, baada ya kufufuka kwake, wakatoka makaburini, wakaingia katika Mji Mtakatifu, wakaonekana na watu wengi.
54O fitsiri ai le ketani kai sas lesa dikhenas po Jesus, dikhle sar izdraias e phuv, ai so godi kerdiliape, daraile zurales, ai phende, "Chaches kado sas O Shav le Devlesko."
54Basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, "Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu."
55But zhuvlia avile pala Jesus andai Galilee te len sama lestar ai dikhenas de dural.
55Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia.
56Mashkar lende e Maria Magdalena, ai e Maria e dei le Iakovoski ai le Josefoski, ai e dei le shave le Zebedoske.
56Miongoni mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa Zebedayo.
57Kana peli e riat, avilo iek manush barvalo andai Arimathaea, lesko anav sas Josef, wo sas iek anda kodola kai pachanaspe ando Jesus.
57Ilipokuwa jioni, akaja mtu mmoja tajiri mwenyeji wa Armathaya, jina lake Yosefu. Yeye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
58Gelo ke o Pilate, ai manglias le Jesusosko stato. O Pilate dias ordina te den les leste.
58Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.
59Kana o Joseph lias o stato, vuluisardias les andek vuzho poxtan.
59Yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi ya kitani,
60Ai thodias les ande pesko nevo greposhevo kai sas shindo ando bax, ai spidias ek baro bax angla greposhevo, ai gelotar,
60akauweka ndani ya kaburi lake jipya alilokuwa amelichonga katika mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.
61E Maria Magdalena ai e kaver Maria beshenas angla greposhevo.
61Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.
62Pe terharin, kana getolaspe, o pervo anda le diesa le bare le Zhidovongo, le rasha le bare ai le Farizeanuria gele ka Pilate.
62Kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya Maandalio, makuhani wakuu na Mafarisayo walimwendea Pilato,
63Ai phende leske, "Raia, diam ame goji ke kodo xoxamno mai anglal sar te merel phendias, "Po trito dies si te zhuvindiv."
63Wakasema, "Mheshimiwa, tunakumbuka kwamba yule mdanganyifu alisema kabla ya kufa ati, Baada ya siku tatu nitafufuka.
64Anda kodia de ordina te phandachen o greposhevo mishto, zhi po trito dies, ke kam zhan leske disipluria te choren lesko stato, ai mothon le manushenge, ke wushtilo andai martia: Kodo xoxaimos si te avel mai nasul sar o pervo."
64Kwa hiyo amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu ili wanafunzi wake wasije wakamwiba na kuwaambia watu kwamba amefufuka. Uongo huu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko ule wa awali."
65O Pilate phendias lenge, "Si tume zhene, zhan, keren so zhanen."
65Pilato akawaambia, "Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo."
66Geletar, ai phandade o greposhevo zurales, ai thode vari so po bax te haliardiolpe te phutrena les, ai mekle zhene te len sama.
66Basi, wakaenda, wakalilinda kaburi, wakatia mhuri juu ya lile jiwe na kuacha hapo askari walinzi.