1Kana O Jesus avilo tele pai plaiing, but narodo lias pe pala leste.
1Yesu aliposhuka kutoka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.
2Ai antunchi avilo ek naswalo kai sas les leprosi, thodiape ande changende angla leste ai phendia leske, "Gazda, tu te mangesa sai vuzhares ma."
2Basi, akaja mtu mmoja mwenye ukoma, akamsujudia akisema, "Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa!"
3O Jesus anzardias o vas, thodia o vas pe leste, ai phendia, "Mangav, av vuzho!" Ai strazo vuzhilo andai leprosi.
3Yesu akanyosha mkono wake, akamgusa na kusema, "Nataka! Takasika." Mara huyo mtu akapona ukoma wake.
4Porme O Jesus phendia leske, "Arakh tu! Te na phenes kanikaske, numa zha sikadio kal rasha; ai de e podarka kai phendia o Moses te den, kashte te zhanen."
4Kisha Yesu akamwambia, "Sikiliza, usimwambie mtu yeyote, ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na ukatoe sadaka iliyoamriwa na Mose kuwathibitishia kwamba umepona."
5Sar avilo O Jesus ando Capernaum, ek kapitano andal Romanuria avilo leste ai manglia lesko zhutimos: ai phendia, "Gazda, murho sluga pashliol khere, bandilo ai chinuil zurales.
5Yesu alipokuwa anaingia mjini Kafarnaumu, ofisa mmoja Mroma alimwendea, akamsihi
7O Jesus phendia leske, "Avav te sastiarav les."
6akisema, "Mheshimiwa, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana."
8Numa o kapitano phendias leske, "Gazda, chi sim dosta de lasho te aves ande murho kher. Numa phen e vorba, ai murho sluga avela sasto.
7Yesu akamwambia, "Nitakuja kumponya."
9Ke vi me si aver bare pe mande, ai telal murho vas si ketani. Phenav iekeske 'Zha! ai zhal; phenav avreske 'Aidi!' ai avel; ai phenav murha slugake, 'Ker kacha!' ai kerel."
8Huyo ofisa akamwambia, "Mheshimiwa, sistahili uingie nyumbani mwangu. Lakini sema tu neno, na mtumishi wangu atapona.
10Kana O Jesus ashundia, chudisailo, ai phendia kodolenge kai lenaspe pala leste. "O chachimos phenav tumenge, chi arakhlem kanikaste ande Israel kasavo pachamos.
9Maana, hata mimi niliye mtu chini ya mamlaka ya wengine, ninao askari chini yangu. Namwambia mmoja, Nenda! naye huenda; na mwingine, Njoo! naye huja; na mtumishi wangu, Fanya kitu hiki! naye hufanya."
11Phenav tumenge, ke but avena anda Easto ai anda Westo, ai beshena kai skafidi le Abrahamoski, le Isakoski ai le Jakovoski ande amperetsia le rhaioski.
10Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, "Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli aliye na imani kama hii.
12Numa le shave la amperetsiake avena shudine avri ando tuniariko, kotse kai roven ai kai chiden dandendar.
11Basi, nawaambieni kwamba watu wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, nao wataketi karamuni pamoja na Abrahamu, Isaka na Yakobo katika Ufalme wa mbinguni.
13Porme O Jesus phendia le kapitanoske, "Zha, ke kerdiol tuke sar pachaian." Ai kodo chaso o sluga sastilo.
12Lakini wale ambao wangalipaswa kuwa katika Ufalme huo watatupwa nje, gizani, ambako watalia na kusaga meno."
14Kana O Jesus gelo ka Petri ando kher, dikhlia leska sakra pashliolas, ke phabolas.
13Kisha Yesu akamwambia huyo ofisa Mroma, "Nenda nyumbani; na iwe kama ulivyoamini." Na mtumishi wake akapona saa ileile.
15Azbadia lako vas, ai o zharo meklia la; wushtili ai podaisardia les.
14Yesu alifika nyumbani kwa Petro, akamkuta mama mkwe wa Petro amelala kitandani, ana homa kali.
16Kana peli e riat, andine ka Jesus buten kai sas beng ande lende. Wo gonisardia anda lende duxuria la vorbasa, ai sastiardia sa le naswalen.
15Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.
17Kashte te pherdiol so sas phendo katar o profeto, o Esaia, "Wo lia amare nasulimata, ai lias pe peste amare naswalimata."
16Ilipokuwa jioni, walimletea watu wengi waliokuwa wamepagawa na pepo; naye, kwa kusema neno tu, akawafukuza hao pepo. Aliwaponya pia watu wote waliokuwa wagonjwa.
18Kana O Jesus dikhlia le narodos pe swako rig pestar, phendia te nakhen inchal pe kolaver rig le paieske.
17Alifanya hivyo ili yale aliyosema nabii Isaya yatimie: "Yeye mwenyewe ameondoa udhaifu wetu, ameyachukua magonjwa yetu."
19Iek Gramnoto avilo leste, ai phendia leske, "Gazda, zhav pala tute kai godi zhasa."
18Yesu alipoona kundi la watu limemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake waende ng'ambo ya ziwa.
20O Jesus phendia leske, "Le foxes (miazol le ruv) si le gropi, ai le chiriklia si le kuiburia, numa O Shav le Manushesko nai les than te thol pesko shero."
19Mwalimu mmoja wa Sheria akamwendea, akamwambia, "Mwalimu, mimi nitakufuata kokote uendako."
21Aver iek anda leske disipluria phendia leske, "Gazda, mek zhav mai anglal te gropov murhe dades."
20Yesu akamjibu, "Mbweha wana mapango, na ndege wana viota; lakini Mwana wa Mtu hana mahali pa kupumzikia."
22O Jesus phendia leske, "Av tu pala mande, ai mek le mulen, te gropon penge mulen."
21Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, "Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu."
23Antunchi O Jesus anklisto ando chuno, ai leske disipluria lesa.
22Lakini Yesu akamwambia, "Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao."
24Bari barval avili pe maria, ta le talazuria vusharavenas o chuno. Numa O Jesus sovelas.
23Yesu alipanda mashua, na wanafunzi wake wakaenda pamoja naye.
25Leske disipluria gele leste, wushtiade les ai phende leske, "Gazda, skepisar amen, ke xaiimaske sam!"
24Ghafla, dhoruba kali ikatokea ziwani, hata mawimbi yakaanza kuifunika mashua. Yesu alikuwa amelala usingizi.
26O Jesus phendia lenge, "Che xantsi pachamos si tume! Sostar daran kadia zurales?" Wushtilo ai dia mui pe barval ai pe maria, ai kerdili bari hodina.
25Wanafunzi wakamwendea, wakamwamsha wakisema, "Bwana, tuokoe, tunaangamia!"
27Savorhe chudisaile ai phende, "Che fielo manush kado, vi e barval ai e maria pachan lesko mui!
26Yesu akawaambia, "Enyi watu wenye imani haba; mbona mnaogopa?" Basi, akainuka, akazikemea pepo na mawimbi; kukawa shwari kabisa.
28Kana O Jesus areslo pe kaver rig le paieske ando them kai bushol Gadarenes, dui manush kai sas but beng ande lende ankliste avri andal kaplitsi, ai avile karing leste. Kodola manush sas kadia de nasul te khonik nashti nakhenas pa kodo drom.
27Watu wakashangaa, wakasema, "Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na mawimbi vinamtii!"
29Denas mui, "So manges amendar, Jesus, Shav le Devlesko? So avilian katse te chinuis ame mai anglal sar e vriama?"
28Yesu alifika katika nchi ya Wagerasi, ng'ambo ya ziwa, na huko watu wawili waliopagawa na pepo wakakutana naye wakitokea makaburini. Watu hawa walikuwa wenye kutisha mno, hata hakuna mtu aliyethubutu kupita katika njia hiyo.
30Nas dur lendar but bale kai xanas.
29Nao wakaanza kupiga kelele, "Una shauri gani nasi, wewe Mwana wa Mungu? Je, umekuja kututesa kabla ya wakati wake?"
31Le beng rhugisaile ka Jesus, phende, "Te gonisa ame avri, trade ame andel bale.
30Karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe wengi wakichungwa.
32O Jesus phendia lenge, 'Zhan'. Ankliste avri ai gele andel bale. Ai sa le bale shudepe pai xar ande maria ai tasule ando pai.
31Basi, hao pepo wakamsihi, "Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale."
33Le manush kai lenas sama katar le bale nashle, gele ando foro, ai phende sa so kerdilia le bengailensa.
32Yesu akawaambia, "Haya, nendeni." Hapo wakawatoka watu hao, wakawaingia nguruwe. Kundi lote la nguruwe likaporomoka kwenye ule mteremko mkali, likatumbukia ziwani; nguruwe wote wakafa maji.
34Antunchi sa o narodo anda foro avile ka Jesus; kana dikhle les, rhugisaile leste te zhaltar anda lengo them.
33Wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakaenda mjini. Huko walitoa habari zote na mambo yaliyowapata wale watu waliokuwa wamepagawa.
34Basi, watu wote katika mji ule walitoka, wakamwendea Yesu; na walipomwona, wakamsihi aondoke katika nchi yao.