Swahili: New Testament

Estonian

1 Corinthians

9

1Je, mimi si mtu huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi sikumwona Yesu Bwana wetu? Je, ninyi si matokeo ya kazi yangu kwa ajili ya Bwana?
1Eks ma ole vaba? Eks ma ole apostel? Eks ma ole näinud Jeesust, meie Issandat? Eks teie ole minu töö Issandas?
2Hata kama kwa watu wengine mimi si mtume, lakini walau kwenu ninyi mimi ni mtume. Ninyi ni uthibitisho wa mtume wangu kwa sababu ya kuungana kwenu na Bwana.
2Kui ma teistele ei ole apostel, siis teile olen ma seda ometi, sest teie olete minu apostliameti pitser Issandas.
3Hoja yangu kwa wale wanaonipinga ndiyo hii:
3Minu kaitsekõne neile mu arvustajaile on see:
4Je, hatuna haki ya kula na kunywa?
4Kas meil ei ole õigust süüa ja juua?
5Je, hatuna ruhusa kumchukua mke Mkristo katika ziara zetu, kama vile wafanyavyo mitume wengine, ndugu zake Bwana, na pia Kefa?
5Kas meil ei ole õigust kaasa võtta õdede hulgast naist, nagu teevad muud apostlid ja Issanda vennad ning Keefas?
6Au ni mimi tu na Barnaba ambao tunapaswa kujipatia maslahi yetu kwa kufanya kazi?
6Või ei ole ainult minul ja Barnabasel õigust olla vaba kehalisest tööst?
7Je, mwanajeshi gani anayelipia utumishi wake jeshini? Mkulima gani asiyekula matunda ya shamba lake la mizabibu? Mchungaji gani asiyekunywa maziwa ya mifugo yake?
7Kes läheb iial sõduriks omal palgal? Kes istutab viinamäe ega söö selle vilja? Või kes hoiab karja ega joo kariloomade piima?
8Je, nasema mambo haya kibinadamu tu? Je, Sheria nayo haisemi hivyo?
8Kas ma räägin seda inimlikul pinnal? Eks ütle sedasama ka Seadus?
9Imeandikwa katika Sheria ya Mose: "Usimfunge kinywa ng'ombe anapoliwata nafaka." Je, ndio kusema Mungu anajishughulisha na ng'ombe?
9On ju Moosese Seaduses kirjutatud: 'Ära seo kinni pahmast tallava härja suud!' Kas Jumal hoolitseb härgade eest?
10Je, hakuwa anatufikiria sisi aliposema hivyo? Naam, haya yaliandikwa kwa ajili yetu; kwani yule anayelima na yule anayevuna, wote wawili wana haki ya kutumaini kupata sehemu ya mavuno.
10Eks ta ütle seda pigem meie pärast? Meie pärast on ju kirjutatud, et kündja peab kündma lootuses ning rehepeksja peksma lootuses, et ta saab sellest osa.
11Ikiwa sisi tumepanda mbegu ya kiroho kati yenu, je, ni jambo kubwa tukichuma kwenu faida ya kidunia?
11Kui me oleme külvanud teile vaimulikke ande, on see siis suur asi, kui me tahaksime lõigata teie ainelisi ande?
12Ikiwa wengine wanayo haki ya kutazamia hayo kutoka kwenu, je, sisi hatuna haki zaidi kuliko hao? Lakini, sisi hatukuitumia haki hiyo, Badala yake, tumestahimili kila kitu ili tusiiwekee kizuizi chochote Habari Njema ya Kristo.
12Kui juba teistel on niisugune õigus saada teilt see osa, eks meil ole siis ammugi?Kuid me ei ole seda õigust kasutanud, vaid me lepime kõigega, et me kuidagiviisi ei saaks takistuseks Kristuse evangeeliumile.
13Je, hamjui kwamba wanaotumikia Hekaluni hupata chakula chao Hekaluni, na kwamba wanaotolea sadaka madhabahuni hupata sehemu ya hiyo sadaka?
13Eks teie tea, et need, kes pühi toiminguid toimetavad, söövad pühakoja omast, ja et need, kes altari juures teenivad, saavad oma osa altarilt?
14Bwana aliagiza vivyo hivyo; wahubiri wa Habari Njema wapate riziki zao kutokana nayo.
14Nõnda on Issand ka korraldanud, et evangeeliumi kuulutajad võivad elada evangeeliumist.
15Lakini, mimi sikutumia hata mojawapo ya haki hizo. Na wala siandiki nijipatie haki hizo; kwangu mimi ni afadhali kufa kuliko kumfanya yeyote aone kwamba najisifu bure.
15Kuid mina ei ole sellest kasutanud midagi. Aga ma ei kirjuta seda selleks, et mulle edaspidi nõnda peaks sündima, sest meelsamini ma pigem sureksin, kui... Keegi ei saa minu kiitlemist tühjaks teha.
16Ikiwa ninaihubiri Habari Njema, hilo si jambo la kujivunia; hilo ni jukumu nililopewa. Na, ole wangu kama sitaihubiri Habari Njema!
16Sest kui ma evangeeliumi kuulutan, ei saa ma sellega kiidelda, kuna see kohustus on pandud mu peale, ja häda mulle, kui ma evangeeliumi ei kuuluta!
17Ningekuwa nimeichagua kazi hii kwa hiari, basi, ningetazamia malipo; lakini maadam naifanya ikiwa ni wajibu, hiyo ina maana kwamba ni jukumu nililopewa nitekeleze.
17Sest kui ma teen seda vabatahtlikult, siis ma saan palka, kui aga sunniviisil, siis on see ometi minu kätte usaldatud majapidamine.
18Mshahara wangu ni kitu gani, basi? Mshahara wangu ni fursa ya kuihubiri Habari Njema bure, bila kudai haki ninazostahili kwa kuihubiri.
18Mis siis on minu palk? See, et ma evangeeliumi kuulutades levitan evangeeliumi tasuta, nii et ma ei tarvita oma õigust, mis käib evangeeliumiga koos.
19Kwa hiyo, ingawa mimi si mtumwa wa mtu yeyote, nimejifanya mtumwa wa kila mtu ili nimpatie Kristo watu wengi iwezekanavyo.
19Sest ehk ma küll olen sõltumatu kõigist inimestest, hakkasin ma kõikide orjaks, et võita võimalikult palju.
20Kwa Wayahudi nimeishi kama Myahudi ili niwapate Wayahudi; yaani, ingawa mimi siko chini ya Sheria, nimejiweka chini ya Sheria kwao, ili niwapate hao walio chini ya Sheria.
20Ma olen saanud juutidele juudiks, et võita juute, Seaduse all olijatele - ehkki ma ise küll ei ole seadusealune - olen saanud seadusealuseks, et võita seadusealuseid.
21Na kwa wale walio nje ya Sheria, naishi kama wao, nje ya Sheria, ili niwapate hao walio nje ya Sheria. Hii haimaanishi kwamba mimi niko nje ya sheria ya Mungu, maana nabanwa na sheria ya Kristo.
21Seaduseta olijatele ma olen saanud seadusetuks - ehkki ma ise ei ole ilma Jumala seaduseta, vaid Kristuse seaduses -, et võita neid, kes elavad Seaduseta,
22Kwao walio dhaifu nimejifanya dhaifu ili niwapate hao walio dhaifu. Nimejifanya kila kitu kwa wote ili nipate kuwaokoa baadhi yao kwa kila njia.
22nõrkadele ma olen saanud nõrgaks, et võita nõrku. Ma olen kõigile saanud kõigeks, et igal juhul mõned päästa.
23Nafanya haya yote kwa ajili ya Habari Njema, nipate kushiriki baraka zake.
23Aga seda kõike ma teen evangeeliumi pärast, et saada selle kaasosaliseks.
24Je, hamjui kwamba katika uwanja wa michezo, ingawa wapiga mbio wote hukimbia, ni mmoja tu anayejinyakulia zawadi?
24Eks te tea, et kes võidu jooksevad, need jooksevad küll kõik, kuigi auhinna saab ainult üks? Jookske nõnda, et teie selle saate!
25Wanariadha hujipa mazoezi na nidhamu kali; hufanya hivyo ili wajipatie taji iharibikayo! Lakini sisi twafanya hivyo tupate taji ya kudumu daima.
25Ent iga võistleja on kasin kõiges; nemad küll selleks, et saada närtsivat pärga, aga meie, et saada närtsimatut.
26Ndivyo basi, ninavyopiga mbio nikiwa na nia ya kushinda; ndivyo ninavyopigana, na si kama bondia anayetupa ngumi zake hewani.
26Sellepärast ma jooksen, aga mitte nagu pimesi; ma võitlen, aga mitte nagu tuult pekstes,
27Naupa mwili wangu mazoezi magumu na kuutia katika nidhamu kamili, nisije mimi mwenyewe nikakataliwa baada ya kuwahubiria wengine.
27vaid ma löön oma ihu ja teen ta oma orjaks, et muile jutlustades ma ise ei muutuks väärituks.