Swahili: New Testament

Estonian

1 Peter

1

1Mimi Petro, mtume wa Yesu Kristo nawaandikia ninyi wateule wa Mungu Baba, ambao mmetawanyika na mnaishi kama wakimbizi huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithunia.
1Peetrus, Jeesuse Kristuse apostel - Pontoses, Galaatias, Kappadookias, Aasias ja Bitüünias hajali elavatele majalistele, kes on valitud
2Mungu Baba aliwateua ninyi kufuatana na kusudi lake, na mmefanywa watakatifu na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake. Nawatakieni neema na amani tele.
2Jumala Isa etteteadmise järgi, Vaimu pühitsemise läbi Jeesusele Kristusele kuuletumiseks ja tema verega piserdamiseks: Armu ja rahu saagu teile rohkesti!
3Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma yake kuu alitufanya tuzaliwe upya kwa kumfufua Yesu kutoka wafu. Ametujalia tumaini lenye uzima,
3Kiidetud olgu Jumal, meie Issanda Jeesuse Kristuse Isa, kes oma suurest halastusest on meid uuesti sünnitanud elavaks lootuseks Jeesuse Kristuse ülestõusmise läbi surnuist,
4na hivyo tunatazamia kupata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Mungu amewawekeeni baraka hizo mbinguni ambako haziwezi kuoza au kuharibika au kufifia.
4kadumatu ja rüvetamatu ja närtsimatu pärandi saamiseks, mis on taevas talletatud teile,
5Hizo zitakuwa zenu ninyi ambao kwa imani mnalindwa salama kwa nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa mwishoni mwa nyakati.
5keda usu kaudu Jumala väes hoitakse päästeks, mis on viimsel ajal valmis ilmuma.
6Furahini kuhusu jambo hilo, ijapokuwa sasa, kwa kitambo kidogo, itawabidi kuhuzunika kwa sababu ya majaribio mbalimbali mnayoteseka.
6Sellest päästest te rõõmustate üliväga, ehkki praegu peate mõnda aega kurvastama mitmesugustes kiusatustes,
7Shabaha yake ni kuthibitisha imani yenu. Hata dhahabu yenyewe ambayo huharibika, hujaribiwa kwa moto; hali kadhalika na imani yenu ambayo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu, ni lazima ijaribiwe ipate kuwa thabiti. Hapo mtapokea sifa na utukufu na heshima Siku ile Yesu Kristo atakapofunuliwa.
7et teie usk läbikatsutuna leitaks palju hinnalisem olevat kullast, mis on kaduv, ent mida siiski tules läbi proovitakse, ja oleks teile kiituseks, kirkuseks ja auks Jeesuse Kristuse ilmumisel,
8Ninyi mnampenda ingawaje hamjamwona, na mnamwamini ingawa hamumwoni sasa. Hivyo, mnafurahi kwa furaha tukufu isiyoelezeka,
8keda te armastate, kuigi te ei ole teda näinud, kellesse te praegu teda nägemata ometi usute ja rõõmustate üliväga kirgastatud rõõmuga,
9kwa sababu mnapokea wokovu wa roho zenu ambao ni lengo la imani yenu.
9kui te võtate vastu usu eesmärgi - oma hingede pääste.
10Manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
10Seda päästet on hoolega otsinud ja selle üle juurelnud prohvetid, kes on ennustanud seda armu, mis teile on tulnud.
11Walijaribu kujua nyakati na mazingira ya tukio hilo, yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, akibashiri juu ya mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaofuata.
11Nad püüdsid välja uurida, mille kohta ja millisest ajast andis teateid nendes olev Kristuse Vaim, tunnistades ette Kristuse kannatusi ja neile järgnevat kirkust.
12Mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni Habari Njema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
12Nendele ilmutati, et mitte neile endile, vaid teile, teie teenimiseks oli kõik see, mida nüüd teile on kuulutatud nende kaudu, kes teile taevast läkitatud Pühas Vaimus on toonud rõõmusõnumeid, millesse isegi inglid igatsevad kummardades vaadata.
13Kwa hiyo, basi, muwe tayari kabisa kwa nia, na kukesha. Wekeni tumaini lenu lote katika baraka ile mtakayopewa wakati Yesu Kristo atakapoonekana!
13Seepärast, vöötanud oma mõistuse niuded ja olles täiesti kained, lootke armule, mida teile pakutakse Jeesuse Kristuse ilmumises.
14Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.
14Nii nagu kuulekad lapsed ärge ka teie kohanege oma kunagise teadmatuseaja himudega,
15Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu.
15vaid saage pühaks kogu oma käitumisega, nii nagu on püha see, kes teid on kutsunud;
16Maandiko yasema: "Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu."
16sest kirjutatud on: 'Olge pühad, sest mina olen püha!'
17Mnapomtaja Mungu ninyi humwita Baba. Basi, jueni kwamba yeye humhukumu kila mmoja kadiri ya matendo yake, bila ubaguzi. Hivyo tumieni wakati wenu uliowabakia hapa ugenini katika kumcha Mungu.
17Kui te hüüate Isaks teda, kes mõistab erapooletult kohut igaühe tegude järgi, siis elage kartuses oma majalisepõlv, teades, et
18Maana mnajua kwamba ninyi mlikombolewa katika mwenendo wenu usiofaa ambao mliupokea kutoka kwa wazee wenu, si kwa vitu vyenye kuharibika: kwa fedha na dhahabu;
18teid pole lunastatud kaduvate asjadega, hõbeda või kullaga teie tühisest esiisadelt päritud eluviisist,
19bali mlikombolewa kwa damu tukufu ya Kristo, ambaye alikuwa kama mwana kondoo asiye na dosari wala doa.
19vaid Kristuse kui laitmatu ja puhta Talle kalli verega.
20Yeye alikuwa ameteuliwa na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
20Tema oli selleks ette määratud küll enne maailma rajamist, aga aegade lõpul on saanud avalikuks teie pärast,
21Kwa njia yake, ninyi mnamwamini Mungu aliyemfufua kutoka wafu na kumpa utukufu; na hivyo imani na matumaini yenu yako kwa Mungu.
21kes te tema läbi olete ustavad Jumalale, kes on tema üles äratanud surnuist ja andnud talle kirkuse, nii et teie usk ja lootus oleksid Jumalas.
22Maadamu sasa, kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa roho zenu na kuwapenda wenzenu bila unafiki, basi, pendaneni kwa moyo wote.
22Et te olete kuulekuses tõele oma hinged puhastanud siiraks vennalikkuseks, siis armastage raugematult üksteist puhtast südamest!
23Maana kwa njia ya neno hai la Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele.
23Teid pole uuesti sünnitatud kaduvast, vaid kadumatust seemnest, Jumala elava ning jääva sõna kaudu.
24Kama Maandiko yasemavyo: "Kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. Nyasi hunyauka na maua huanguka.
24Sest 'kõik inimlik on kui rohi ja kogu ta hiilgus nagu rohu õieke. Rohi kuivab ära ja õieke variseb maha,
25Lakini neno la Bwana hudumu milele." Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu.
25aga Issanda sõna jääb igavesti.'
26See on aga seesama sõna, mida teile on kuulutatud rõõmusõnumina.