1wazee! Mimi niliye mzee ninalo ombi moja kwenu wazee wenzangu. Mimi mwenyewe nilishuhudia kwa macho yangu mateso ya Kristo na natumaini kuushiriki ule utukufu utakaofunuliwa. Mimi nawaombeni
1Vanemaid teie seas ma kutsun nüüd üles kui kaasvanem ja Kristuse kannatuste tunnistaja ning ühtlasi osaline tulevases kirkuses selle ilmumisel:
2mlichunge lile kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mlitunze si kwa kulazimika, bali kwa hiari kama atakavyo Mungu. Fanyeni kazi hiyo si kwa tamaa ya fedha, bali kwa moyo wenu wote.
2hoidke teile hoida antud Jumala karja, mitte sunni pärast, vaid vabatahtlikult Jumala meele järgi, mitte häbiväärses kasuahnuses, vaid andunult,
3Msiwatawale kwa mabavu hao waliowekwa chini ya ulinzi wenu, bali muwe mfano kwa hilo kundi.
3mitte nagu isandad liisuosa üle, vaid olles karjale eeskujuks.
4Na wakati Mchungaji Mkuu atakapotokea, ninyi mtapokea taji ya utukufu isiyofifia.
4Ning siis kui Ülemkarjane saab avalikuks, võite te võtta vastu kirkuse närtsimatu pärja.
5Kadhalika nanyi vijana mnapaswa kujiweka chini ya mamlaka ya wazee. Ninyi nyote mnapaswa kuwa na unyenyekevu mpate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yasema: "Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwajalia neema wanyenyekevu."
5Nõndasamuti teie, nooremad, alistuge vanematele. Aga te kõik rüütage end alandlikkusega üksteise vastu, sest 'Jumal paneb suurelistele vastu, aga alandlikele annab armu'.
6Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa enzi wa Mungu, ili awainue wakati ufaao.
6Alanduge siis Jumala võimsa käe alla, et tema teid ülendaks õigel ajal;
7Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni.
7heitke kõik oma mure tema peale, sest tema peab hoolt teie eest!
8Muwe macho; kesheni! Maana adui yenu, Ibilisi, huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mawindo.
8Olge kained, valvake! Teie süüdistaja, kurat, käib ringi nagu möirgav lõvi, otsides, keda neelata.
9Muwe imara katika imani na kumpinga, mkijua kwamba ndugu zenu pote duniani wanapatwa na mateso hayohayo.
9Tema vastu seiske kindlalt usus, teades, et neidsamu kannatusi on pandud kogema kogu kristlaskond maailmas.
10Lakini mkisha teseka muda mfupi, Mungu aliye asili ya neema yote na ambaye anawaiteni muushiriki utukufu wake wa milele katika kuungana na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu na msingi imara.
10Aga kogu armu Jumal, kes teid on kutsunud oma igavesse kirkusesse Kristuses Jeesuses, parandab, kinnitab, tugevdab ja toetab teid, kes te üürikest aega olete kannatanud.
11Kwake uwe uwezo milele! Amina.
11Tema päralt olgu võimus igavesest ajast igavesti! Aamen.
12Nimewaandikieni barua hii fupi kwa msaada wa Silwano, ndugu ambaye namjua na kumwamini. Nataka kuwapeni moyo na kushuhudia kwamba jambo hili ni neema ya Mungu kweli. Kaeni imara katika neema hiyo.
12Silvanuse, minu arvates ustava venna abil olen ma teile lühidalt kirjutanud, manitsedes ja tunnistades, et see on tõeline Jumala arm, milles te peaksite seisma.
13Jumuiya ya wenzenu walioteuliwa na Mungu hapa Babuloni wanawasalimuni. Vilevile mwanangu Marko anawasalimuni.
13Teid tervitab kogudus Paabelis, valitud nagu teiegi, ja mu poeg Markus.
14Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani ninyi mlio wake Kristo.
14Tervitage üksteist armastussuudlusega! Rahu teile kõikidele, kes olete Kristuses!