Swahili: New Testament

Estonian

1 Thessalonians

1

1Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia ninyi jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambao ni watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo.
1Paulus ja Silvanus ja Timoteos - tessalooniklaste kogudusele Jumalas Isas ja Issandas Jeesuses Kristuses: Armu teile ja rahu!
2Tunamshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi nyote na kuwakumbukeni daima katika sala zetu.
2Me täname alati Jumalat teie kõikide eest, meenutades teid oma palvetes, alatasa
3Maana, mbele ya Mungu Baba yetu, twakumbuka jinsi mnavyoonyesha imani yenu kwa matendo, jinsi upendo wenu unavyowawezesha kufanya kazi kwa bidii, na jinsi tumaini lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo lilivyo thabiti.
3meelde tuletades teie teokat usku ja töökat armastust ning vastupidavat lootust meie Issanda Jeesuse Kristuse peale Jumala ja meie Isa palge ees.
4Ndugu, twajua kwamba Mungu anawapenda na kwamba amewateua muwe watu wake,
4Me teame, et teie, Jumalale armsad vennad, olete valitud,
5maana wakati tulipowahubirieni ile Habari Njema haikuwa kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa Roho Mtakatifu, tukiwa na hakika kwamba ujumbe huo ulikuwa wa kweli. Mnajua jinsi tulivyoishi pamoja nanyi; tuliishi kwa manufaa yenu.
5sest meie evangeelium ei ole teie juurde tulnud palja sõnana, vaid ka väes ja Pühas Vaimus ning täieliku veendumusega. Te ju teate ise, missugused me olime teie juures teie heaks.
6Ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana, mliupokea ujumbe huo kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.
6Ja te võtsite eeskujuks meid ning Issandat, kui te rohkest viletsusest hoolimata sõna vastu võtsite Püha Vaimu rõõmuga,
7Kwa hiyo ninyi mmekuwa mfano mzuri kwa waumini wote wa Makedonia na Akaya.
7nii et te olete saanud eeskujuks kõigile usklikele Makedoonias ja Ahhaias.
8Maana, kutokana na bidii yenu ujumbe wa Bwana umesikika si tu huko Makedonia na Akaya, bali imani yenu kwa Mungu imeenea popote. Tena hatuhitaji kusema zaidi.
8Sest teie juurest on Issanda sõna kostnud mitte üksnes Makedooniasse ja Ahhaiasse, vaid kõikidesse paikadesse on levinud teated teie usust Jumalasse, nii et meil pole vaja enam midagi rääkida.
9Watu hao wanazungumza juu ya ziara yetu kwenu: jinsi mlivyotukaribisha, jinsi mlivyoziacha sanamu mkamgeukia Mungu aliye hai na wa kweli,
9Nad ju ise teatavad, kuidas te meid vastu võtsite ning kuidas te olete ebajumalaist pöördunud Jumala poole, teenima elavat ja tõelist Jumalat
10na sasa mwamngojea Mwanae ashuke kutoka mbinguni, Yesu, ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu, na ambaye anatuokoa katika ghadhabu ya Mungu inayokuja.
10ning ootama taevast tema Poega Jeesust, kelle ta on surnuist üles äratanud ja kes meid tõmbab välja tulevasest vihast.