1Mwishowe hatukuweza kuvumilia zaidi. Basi, tuliamua kubaki kule Athene peke yetu,
1Seepärast meie, kui me enam ei läbenud kannatada, arvasime heaks jääda Ateenasse
2na kumtuma kwenu ndugu yetu Timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya Mungu katika kuhubiri Habari Njema ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
2ja läkitasime Timoteose, oma venna ja Jumala kaastöölise Kristuse evangeeliumi kuulutamises, kinnitama ja julgustama teid teie usus,
3kusudi imani ya mtu yeyote miongoni mwenu isije ikafifia kwa sababu ya taabu hizo. Ninyi mnajua kwamba tunapaswa kupata mateso.
3et ükski ei lööks kõikuma nendes viletsustes. Te ju teate, et me oleme nendesse pandud.
4Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo ndivyo ilivyotukia.
4Sest juba siis, kui me olime teie juures, ütlesime teile ette, et meid hakatakse taga kiusama, nagu see on ka sündinud ja on teile teada.
5Ndio maana nilimtuma Timotheo kwenu. Sikuweza kungoja zaidi, na hivyo nilimtuma nipate habari za imani yenu. Isije ikawa labda Mshawishi aliwajaribuni na kazi yote tuliyofanya miongoni mwenu imepotea bure!
5Seepärast ka mina, maldamata enam, saatsingi tema, et teada saada teie usku, kas vahest kiusaja pole teid kiusanud ning meie vaevanägemist tühjaks teinud.
6Sasa Timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. Ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
6Aga kui nüüd Timoteos tuli teie juurest tagasi ning tõi meile häid sõnumeid teie usust ja teie armastusest ning et teie meid alati heaga mäletate, igatsedes meid näha saada, nii nagu meie teidki,
7Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote,
7siis saime julgustatud teie kaudu, vennad, kogu oma kitsikuses ja ahistuses teie usu läbi,
8kwani sasa tunaishi kweli ikiwa ninyi mnasimama imara katika kuungana na Bwana.
8sest nüüd me võime elada, kui teie püsite Issandas.
9Sasa twaweza kumshukuru Mungu wetu kwa ajili yenu. Tunamshukuru kwa furaha tuliyo nayo mbele yake kwa sababu yenu.
9Mis tänu me võiksime küll Jumalale anda teie pärast kogu selle rõõmu eest, millega me rõõmustame teie üle oma Jumala palge ees?
10Tunazidi kumwomba Mungu usiku na mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa ya kuwaoneni uso kwa uso ili tuweze kurekebisha chochote kilichopungua katika imani yenu.
10Me anume ööd ja päevad üliväga, et saada näha teie palet ja parandada seda, mis on veel puudulik teie usus.
11Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia ya kuja kwenu.
11Aga tema, meie Jumal ja Isa, ning meie Issand Jeesus Kristus tasandagu meie tee teie juurde!
12Bwana awawezeshe ninyi kupendana na kuwapenda watu wote zaidi na zaidi, kama vile sisi tunavyowapenda ninyi.
12Ning Issand kasvatagu teie armastust ja tehku see rohkeks üksteise ja kõikide vastu, nii nagu see meilgi on teie vastu,
13Hivyo ataiimarisha mioyo yenu, nanyi mtakuwa wakamilifu na watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja na wote walio wake.
13et kinnitada teie südameid olema pühaduses laitmatud Jumala ja meie Isa palge ees, kui meie Issand Jeesus tuleb kõigi oma pühadega. [Aamen.]