1Petro na Yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na Masadukayo walifika.
1Sellal kui apostlid rahvale rääkisid, astusid nende juurde preestrid ja templipealik ja saduserid.
2Walikasirika sana, maana hao mitume walikuwa wanawahubiria watu kwamba Yesu alifufuka, jambo ambalo linaonyesha wazi kwamba wafu watafufuka.
2Neid ärritas, et apostlid õpetasid rahvast ja kuulutasid surnuist ülestõusmist Jeesuses.
3Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake.
3Nad võtsid Peetruse ja Johannese kinni ja panid nad hommikuni vangimajja, sest oli juba õhtu.
4Lakini wengi kati ya wale waliosikia ujumbe wao waliamini, na idadi ya waumini ikawa imefika karibu elfu tano.
4Aga paljud neist, kes olid Sõna kuulnud, hakkasid uskuma, ja mehi sai arvult umbes viis tuhat.
5Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na walimu wa Sheria, walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.
5Hommikul sündis, et nende ülemad ja vanemad ja kirjatundjad tulid Jeruusalemma kokku,
6Walikutana pamoja na Anasi, Kayafa, Yohane, Aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa Kuhani Mkuu.
6ka ülempreester Hannas ja Kaifas ja Johannes ja Aleksandros ja niipalju kui neid oli ülempreestri soost.
7Waliwasimamisha mitume mbele yao, wakawauliza, "Ninyi mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina la nani?"
7Ja nad panid apostlid endi keskele seisma ja pärisid: 'Missuguse väega või millise nime abil te olete seda teinud?'
8Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, "Viongozi na wazee wa watu!
8Siis Peetrus, täis Püha Vaimu, ütles neile: 'Rahva ülemad ja vanemad!
9Ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,
9Kui meid täna üle kuulatakse vigasele inimesele tehtud heateo pärast, mille läbi ta päästeti,
10basi, ninyi na watu wote wa Israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake Yesu wa Nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini Mungu akamfufua kutoka wafu.
10siis olgu teile kõigile ja kogu Iisraeli rahvale teada, et see sündis Jeesuse Kristuse, Naatsaretlase nime abil, kelle teie lõite risti, aga kelle Jumal on üles äratanud surnuist. Sellesama tõttu seisab see inimene siin teie ees tervena.
11Huyu ndiye ambaye Maandiko Matakatifu yanasema: Jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
11Jeesus on 'kivi, mille teie, ehitajad, olete tunnistanud kõlbmatuks, mis on saanud nurgakiviks'.
12Wokovu haupatikani kwa mtu mwingine yeyote, kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine ambaye sisi tunaweza kuokolewa naye."
12Ja kellegi muu läbi ei ole päästet, sest taeva all ei ole antud inimestele ühtegi teist nime, kelle läbi meid päästetaks.'
13Hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu.
13Nähes Peetruse ja Johannese kartmatust ja teada saades, et nad on õppimata ja lihtsad mehed, panid nad seda imeks. Nad tundsid ära, et need mehed olid olnud Jeesuse kaaslased.
14Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.
14Ja kui nad nägid tervendatud meest nende juures seisvat, ei olnud neil midagi vastu ütelda.
15Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.
15Siis nad käskisid neid Suurkohtust välja minna ja pidasid omavahel nõu:
16Wakaulizana, "Tufanye nini na watu hawa? Kila mtu anayeishi Yerusalemu anajua kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika, nasi hatuwezi kukana jambo hilo.
16'Mis me peaksime nende inimestega tegema? Sest see, et nende läbi on sündinud silmapaistev tunnustäht, on teada kõigile jeruusalemlastele ja me ei saa seda salata.
17Lakini ili tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye wasiongee na mtu yeyote kwa jina la Yesu."
17Kuid et nad sellest nimest ei räägiks enam ühelegi inimesele, siis ähvardagem neid kõvasti.'
18Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu.
18Ja nad kutsusid apostlid sisse ning keelasid neil üldse rääkida ja õpetada Jeesuse nimel.
19Lakini Petro na Yohane wakawajibu, "Amueni ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii yeye.
19Peetrus ja Johannes vastasid aga neile: 'Otsustage ise: kas Jumala ees on õige kuulata teid rohkem kui Jumalat?
20Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia."
20Meil on ju võimatu jätta rääkimata seda, mida me oleme näinud ja kuulnud.'
21Basi, hao wazee wa Baraza wakawaonya kwa ukali zaidi, halafu wakawaacha huru. Hawakuweza kuwapa adhabu kwa sababu watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya tukio hilo.
21Nemad aga, veel rohkem ähvardades, lasksid apostlid vabaks, sest rahva pärast nad ei leidnud viisi, kuidas apostleid nuhelda, kuna kõik ülistasid Jumalat toimunu eest.
22Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arobaini.
22Sest inimene, kellele see paranemise tunnustäht oli sündinud, oli üle neljakümne aasta vana.
23Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.
23Pärast vabanemist tulid Peetrus ja Johannes omade juurde ja jutustasid, mida ülempreestrid ja vanemad neile olid öelnud.
24Waliposikia habari hiyo waliungana pamoja katika kumwomba Mungu wakisema, "Bwana, wewe ni Muumba wa mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo!
24Aga seda kuuldes tõstsid need ühel meelel häält Jumala poole, öeldes: 'Issand, sina, kes sa oled teinud taeva ja maa ja mere ja kõik, mis on nende sees,
25Ndiwe uliyemfanya mtumishi wako, babu yetu Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: Kwa nini mataifa yameghadhibika? Mbona watu wamefanya mipango ya bure?
25kes sa oled meie isa Taaveti, oma sulase suu kaudu Püha Vaimu läbi öelnud: 'Miks paganad möllavad ja rahvad taotlevad tühja?
26Wafalme wa dunia walijiweka tayari, na watawala walikutana pamoja, ili kumwasi Bwana na Kristo wake.
26Ilmamaa kuningad on astunud siia ja vürstid on kogunenud ühte paika Issanda vastu ja tema Messia vastu.'
27"Maana, kwa hakika, ndivyo Herode, Pontio Pilato, watu wa Israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga Yesu Mtumishi wako Mtakatifu ambaye umemtia mafuta.
27Sest tõepoolest, selles linnas on Heroodes ja Pontius Pilaatus kogunenud ühte paganatega ja Iisraeli rahvaga sinu püha sulase Jeesuse vastu, keda sa oled võidnud,
28Naam, walikutana ili wafanye yale ambayo ulikusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako.
28et teha seda, mis sinu käsi ja nõu olid ette määranud sündima.
29Lakini sasa, ee Bwana, angalia vitisho vyao. Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
29Ja nüüd, Issand, vaata nende ähvarduste peale ja lase oma sulastel täie julgusega kõnelda sinu sõna,
30Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu kwa jina la Yesu Mtumishi wako Mtakatifu."
30sirutades oma käe haigete parandamiseks ning tunnustähtede ja imetegude sündimiseks sinu püha sulase Jeesuse nime läbi.'
31Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga.
31Ja nende palve järel kõikus paik, kus nad olid koos, ja nad kõik täideti Püha Vaimuga ja nad kõnelesid Jumala sõna julgesti.
32Jumuiya yote ya waumini ilikuwa moyo mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi, ila waligawana vyote walivyokuwa navyo.
32Ja usklike kogul oli üks süda ja üks hing ning keegi ei öelnud oma vara kohta, et see on tema oma, vaid kõik oli neil ühine.
33Mitume walishuhudia kwa nguvu nyingi kufufuka kwa Bwana Yesu, naye Mungu akawapa baraka nyingi.
33Ja apostlid tunnistasid suure väega Issanda Jeesuse ülestõusmist, ja suur arm oli nende kõikide peal.
34Hakuna mtu yeyote aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wanaviuza
34Nende seas ei olnud keegi puuduses, sest kõik, kes olid maade või majade omanikud, tõid müümisel saadud raha
35na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake.
35ja panid apostlite jalge ette. Igaühele jagati siis sedamööda, kuidas keegi vajas.
36Kulikuwa na Mlawi mmoja, mzaliwa wa Kupro, jina lake Yosefu, ambaye mitume walimwita jina Barnaba (maana yake, "Mtu mwenye kutia moyo").
36Näiteks Joosep, Küprose saarelt pärit leviit, keda apostlid hüüdsid lisanimega Barnabaseks, mis tähendab Julgustuse poeg,
37Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume.
37müüs ära oma põllu ning tõi raha ja pani apostlite jalge ette.