Swahili: New Testament

Estonian

Luke

4

1Yesu alitoka katika mto Yordani akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akaongozwa na Roho mpaka jangwani.
1Jeesus aga, täis Püha Vaimu, tuli tagasi Jordani äärest, ja aeti Vaimu läbi kõrbe,
2Huko alijaribiwa na Ibilisi kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia njaa.
2kus ta oli nelikümmend päeva kuradi kiusata. Ja ta ei söönud midagi neil päevil. Ja kui need täis said, tuli talle nälg.
3Ndipo Ibilisi akamwambia, "Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate."
3Aga kurat ütles talle: 'Kui sa oled Jumala Poeg, siis ütle sellele kivile, et see saaks leivaks!'
4Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Mtu haishi kwa mkate tu."
4Ja Jeesus vastas talle: 'Kirjutatud on: Inimene ei ela üksnes leivast.'
5Kisha Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia,
5Ja kurat viis tema kõrgele, et näidata talle ühe hetkega kõiki maailma kuningriike.
6"Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza.
6Ja kurat ütles talle: 'Ma tahan anda sulle meelevalla kõigi nende üle ja nende hiilguse, sest see on minu kätte antud ja mina võin selle anda, kellele ma iganes tahan.
7Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu."
7Kui sa nüüd kummardad minu ette, siis on kõik sinu päralt.'
8Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako, na utamtumikia yeye peke yake."
8Ja Jeesus vastas talle: 'Kirjutatud on: Kummarda Issandat, oma Jumalat, ja teeni ainult teda!'
9Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu, kwenye mnara wa Hekalu, akamwambia, "Kama wewe ni Mwana wa Mungu,
9Siis ta viis Jeesuse Jeruusalemma ja pani seisma pühakoja harjale ning ütles talle: 'Kui sa oled Jumala Poeg, siis kukuta ennast siit alla,
10kwa maana imeandikwa: Atawaamuru malaika wake wakulinde,
10sest kirjutatud on: Sinu pärast käsib ta oma ingleid, et nad sind hoiaksid,
11na tena, Watakuchukua mikononi mwao usije ukajikwaa mguu wako kwenye jiwe."
11ja et nad kannaksid sind kätel, et sa oma jalga vastu kivi ei lööks.'
12Lakini Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Usimjaribu Bwana Mungu wako."
12Ja Jeesus vastas talle: 'On öeldud: Sina ei tohi kiusata Issandat, oma Jumalat!'
13Ibilisi alipokwishamjaribu kwa kila njia, akamwacha kwa muda.
13Ja kui kurat kogu kiusamise oli lõpetanud, jättis ta Jeesuse mõneks ajaks rahule.
14Yesu alirudi Galilaya akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, na habari zake zikaenea katika sehemu zote za jirani.
14Jeesus tuli Vaimu väes tagasi Galileasse ja kuuldus temast levis kogu ümbruskonda.
15Naye akawa anawafundisha watu katika masunagogi yao, akasifiwa na wote.
15Ja ta õpetas nende sünagoogides, ja kõik austasid teda.
16Basi, Yesu alikwenda Nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya Sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama ili asome Maandiko Matakatifu kwa sauti.
16Jeesus tuli ka Naatsaretti, kus ta oli üles kasvanud, ja läks oma harjumust mööda hingamispäeval sünagoogi. Ja kui ta tõusis lugema,
17Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:
17anti tema kätte prohvet Jesaja raamat. Ta rullis raamatu lahti ja leidis koha, kuhu oli kirjutatud:
18"Roho wa Bwana yu juu yangu, kwani amenipaka mafuta niwahubirie maskini Habari Njema. Amenituma niwatangazie mateka watapata uhuru, vipofu watapata kuona tena; amenituma niwakomboe wanaoonewa,
18'Issanda Vaim on minu peal, seepärast on ta mind salvinud. Ta on mind läkitanud kuulutama vaestele rõõmusõnumit, kuulutama vangidele vabakslaskmist ja pimedatele nägemist, laskma vabadusse rõhutuid,
19na kutangaza mwaka wa neema ya Bwana."
19kuulutama Issanda meelepärast aastat.'
20Baada ya kusoma, akafunga kile kitabu, akampa mtumishi, kisha akaketi; watu wote wakamkodolea macho.
20Ja keeranud raamatu kokku, andis Jeesus selle sünagoogi teenri kätte ja istus maha. Ja kõikide silmad sünagoogis vaatasid ainiti teda.
21Naye akaanza kuwaambia, "Andiko hili mlilosikia likisomwa, limetimia leo."
21Tema hakkas neile rääkima: 'Täna on see kirjakoht teie kuuldes täide läinud.'
22Wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. Wakanena, "Je, huyu si mwana wa Yosefu?"
22Ja kõik tunnustasid teda ja imestasid, et tema suust tulid sellised armusõnad, ja ütlesid: 'Eks tema ole Joosepi poeg?'
23Naye akawaambia, "Bila shaka mtaniambia msemo huu: Mganga jiponye mwenyewe, na pia mtasema: Yote tuliyosikia umeyafanya kule Kafarnaumu, yafanye hapa pia katika kijiji chako."
23Aga tema ütles neile: 'Küllap te ütlete mulle selle vanasõna: Arst, aita iseennast! Mida kõike oleme kuulnud Kapernaumas olevat sündinud, seda tee ka siin, oma kodukohas!'
24Akaendelea kusema, "Hakika nawaambieni, nabii hatambuliwi katika kijiji chake.
24Ja Jeesus ütles: 'Tõesti, ma ütlen teile, ükski prohvet ei ole tunnustatud oma kodukohas.
25Lakini, sikilizeni! Kweli kulikuwa na wajane wengi katika nchi ya Israeli nyakati za Eliya. Wakati huo mvua iliacha kunyesha kwa muda wa miaka mitatu na nusu; kukawa na njaa kubwa katika nchi yote.
25Tõepoolest, ma ütlen teile, palju lesknaisi oli Iisraelis Eelija päevil, mil taevas oli kolm aastat ja kuus kuud suletud, nii et suur nälg tuli üle kogu maa,
26Hata hivyo, Eliya hakutumwa kwa mjane yeyote ila kwa mwanamke mjane wa Sarepta, Sidoni.
26aga Eelijat ei läkitatud kellegi juurde nendest, vaid Sareptasse Siidonimaal ühe lesknaise juurde.
27Tena, katika nchi ya Israeli nyakati za Elisha kulikuwa na wenye ukoma wengi. Hata hivyo, hakuna yeyote aliyetakaswa ila tu Naamani, mwenyeji wa Siria."
27Ja palju pidalitõbiseid oli Iisraelis prohvet Eliisa ajal, ent keegi neist ei saanud puhtaks kui vaid süürlane Naaman.'
28Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.
28Seda kuuldes said kõik sünagoogis viibijad täis raevu
29Wakasimama, wakamtoa nje ya mji wao uliokuwa umejengwa juu ya kilima, wakampeleka mpaka kwenye ukingo wa kilima hicho ili wamtupe chini.
29ja tõusid püsti, ajasid ta külast välja ja viisid üles mäerünkale, mille peale oli ehitatud nende küla, et teda ülepeakaela alla tõugata.
30Lakini Yesu akapita katikati yao, akaenda zake.
30Jeesus läks aga nende keskelt läbi ja kõndis oma teed.
31Kisha Yesu akashuka mpaka Kafarnaumu katika mkoa wa Galilaya, akawa anawafundisha watu siku ya Sabato.
31Jeesus tuli alla Kapernauma, Galilea linna, ja õpetas neid hingamispäeviti.
32Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.
32Ja nad olid vapustatud tema õpetusest, sest tema sõnal oli meelevald.
33Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na roho ya pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:
33Ja sünagoogi tuli inimene, kellel oli rüve vaim, ja see kisendas valju häälega:
34"We! Yesu wa Nazareti! Kwa nini unatuingilia? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu wewe ni nani. Wewe ni mjumbe Mtakatifu wa Mungu!"
34'Võeh, mis on meil asja sinuga, Jeesus Naatsaretlane? Kas sa oled tulnud meid hukkama? Ma tean, kes sa oled: Jumala Püha!'
35Lakini Yesu akamkemea huyo pepo akisema: "Nyamaza! Mtoke mtu huyu!" Basi, huyo pepo baada ya kumwangusha yule mtu chini, akamtoka bila kumdhuru hata kidogo.
35Ja Jeesus sõitles teda: 'Jää vait ja mine temast välja!' Ja kuri vaim paiskas mehe nende keskele maha ja läks temast välja ega teinud talle mingit kahju.
36Watu wote wakashangaa, wakawa wanaambiana, "Hili ni jambo la ajabu, maana kwa uwezo na nguvu anawaamuru pepo wachafu watoke, nao wanatoka!"
36Ja hirm tuli kõikide peale ja nad rääkisid omavahel: 'Mis asi see siis on? Ta käsutab meelevalla ja väega rüvedaid vaime - ja need lähevadki välja!'
37Habari zake zikaenea mahali pote katika mkoa ule.
37Ning kuuldus temast levis kõigisse ümbruskonna paikadesse.
38Yesu alitoka katika lile sunagogi, akaenda nyumbani kwa Simoni. Mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa na homa kali; wakamwomba amponye.
38Aga Jeesus tõusis püsti, lahkus sünagoogist ja tuli Siimona majja. Siimona ämm oli aga haige kõrges palavikus, ja nad palusid Jeesust teda aidata.
39Yesu akaenda akasimama karibu naye, akaikemea ile homa, nayo ikamwacha. Mara yule mama akainuka, akawatumikia.
39Ja Jeesus astus tema peatsi juurde ja sõitles palavikku ning see lahkus temast. Ja naine tõusis otsekohe üles ja teenis neid.
40Jua lilipokuwa linatua, wote waliokuwa na wagonjwa wao mbalimbali waliwaleta kwake; naye akaweka mikono yake juu ya kila mmoja wao, akawaponya wote.
40Aga kui päike oli loojunud, tõid kõik, kellel oli mitmesugustes tõbedes haigeid, need tema juurde. Ja Jeesus pani oma käed igaühe peale nendest ning tegi nad terveks.
41Pepo waliwatoka watu wengi, wakapiga kelele wakisema: "Wewe u Mwana wa Mungu!" Lakini Yesu akawakemea, wala hakuwaruhusu kusema, maana walimfahamu kwamba yeye ndiye Kristo.
41Aga kurjad vaimudki läksid välja paljudest, ise kisendades: 'Sina oled Jumala Poeg!' Ja tema sõitles kurje vaime ega lasknud neil rääkida, sest nad teadsid, et tema on Messias.
42Kesho yake asubuhi Yesu aliondoka akaenda mahali pa faragha. Watu wakawa wanamtafuta, na walipofika mahali alipokuwa, wakajaribu kumzuia ili asiondoke kwao.
42Päeva hakul Jeesus väljus ning läks tühja paika. Ja rahvahulgad otsisid ta üles, tulid tema juurde ja tahtsid teda kinni pidada, et ta nende juurest ära ei läheks.
43Lakini yeye akawaambia, "Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo."
43Aga tema ütles neile: 'Ma pean ka teistele linnadele kuulutama evangeeliumi Jumala riigist, sest selleks on mind läkitatud.'
44Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea.
44Ja ta jutlustas Juudamaa sünagoogides.