Swahili: New Testament

Estonian

Luke

5

1Siku moja Yesu alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti, na watu wengi walikuwa wamemzunguka wakisongana wanalisikiliza neno la Mungu.
1Aga sündis, kui Jeesus seisis Genneesareti järve ääres ja rahvas tema juurde tungles Jumala sõna kuulama,
2Akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa; wavuvi wenyewe walikuwa wametoka, wanaosha nyavu zao.
2et ta nägi kaht paati järve ääres seisvat. Aga kalurid olid neist välja läinud ja loputasid võrke.
3Baada ya Yesu kuingia katika mashua moja, iliyokuwa ya Simoni, alimtaka Simoni aisogeze majini, mbali kidogo na ukingo wa ziwa. Akaketi, akafundisha umati wa watu akiwa ndani ya mashua.
3Astunud paati, mis oli Siimona oma, palus Jeesus teda natuke maad rannast eemale sõuda. Ning ta istus ja õpetas rahvahulki paadist.
4Alipomaliza kufundisha, akamwambia Simoni, "Peleka mashua mpaka kilindini, mkatupe nyavu zenu mpate kuvua samaki."
4Aga kui ta lõpetas kõnelemise, ütles ta Siimonale: 'Sõua sügavale kohale ja laske oma võrgud vette loomuse katseks!'
5Simoni akamjibu, "Bwana, tumejitahidi kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu."
5Siimon vastas talle: 'Õpetaja, me oleme terve öö vaeva näinud ega ole midagi saanud! Aga sinu sõna peale lasen ma võrgud vette.'
6Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.
6Ja kui nad olid seda teinud, püüdsid nad nii suure hulga kalu, et nende võrgud rebenesid.
7Wakawaita wenzao waliokuwa katika mashua nyingine waje kuwasaidia. Wakaja, wakazijaza mashua zote mbili samaki, hata karibu zingezama.
7Ja nad viipasid oma kaaslastele teises paadis, et need tuleksid neile appi. Ja need tulid, ja nad täitsid mõlemad paadid, nii et need olid vajumas.
8Simoni Petro alipoona hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu akisema, "Ondoka mbele yangu, ee Bwana, kwa kuwa mimi ni mwenye dhambi!"
8Aga kui Siimon Peetrus seda nägi, langes ta maha Jeesuse põlvede ette ja ütles: 'Mine minu juurest ära, Issand, sest ma olen patune mees!'
9Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.
9Sest hirm oli haaranud teda ja kõiki, kes olid temaga, kalasaagi pärast, mille nad olid püüdnud.
10Hali kadhalika Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, waliokuwa wavuvi wenzake Simoni. Yesu akamwambia Simoni, "Usiogope; tangu sasa utakuwa ukivua watu."
10Nõndasamuti oli ka Sebedeuse poegade Jaakobuse ja Johannesega, kes olid Siimona kaaslased. Ja Jeesus ütles Siimonale: 'Ära karda! Nüüdsest peale pead sa püüdma inimesi!'
11Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.
11Ja kui nad olid paadid kaldale vedanud, jätsid nad kõik maha ja järgnesid talle.
12Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojawapo wa miji ya huko, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona. Basi, mtu huyo akaanguka kifudifudi akamwomba Yesu: "Mheshimiwa, ukitaka, waweza kunitakasa."
12Ja see sündis, kui Jeesus ühes linnas viibis, vaata, seal oli mees üleni täis pidalitõbe. Ja kui ta nägi Jeesust, langes ta silmili maha ja anus teda: 'Issand, kui sa tahad, siis sa võid mu puhtaks teha!'
13Yesu akaunyosha mkono wake, akamgusa na kusema, "Nataka, takasika!" Mara ule ukoma ukamwacha.
13Ja Jeesus sirutas käe välja, puudutas teda ja ütles: 'Ma tahan, saa puhtaks!' Ja kohe lahkus pidalitõbi temast.
14Yesu akamwamuru: "Usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama inavyotakiwa na Sheria ya Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona."
14Jeesus keelas teda juhtunust kellelegi rääkimast ja käskis: 'Mine näita ennast preestrile ja ohverda oma puhtakssaamise eest, nii nagu Mooses on käskinud, neile tunnistuseks!'
15Lakini habari za Yesu zilizidi kuenea kila mahali. Watu makundi mengi wakakusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
15Aga sõnum Jeesusest levis seda enam, nii et suur rahvahulk tuli kokku teda kuulama ja saama temalt tervenemist oma haigustest.
16Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko.
16Temal oli aga viisiks minna tühja paika ja seal palvetada.
17Siku moja Yesu alikuwa akifundisha. Mafarisayo na walimu wa Sheria kutoka katika kila kijiji cha Galilaya, Yudea na Yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
17Ja ühel päeval, kui Jeesus oli õpetamas, istus seal ka varisere ja seadusetundjaid, kes olid tulnud kõigist Galilea ja Juudamaa küladest ja Jeruusalemmast. Ja Issanda vägi oli Jeesuse peal haigete tervendamiseks.
18Mara watu wakaja wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani wamweke mbele ya Yesu.
18Ja ennäe, mehed kandsid kanderaamiga inimest, kes oli halvatud, ja püüdsid teda sisse tuua ning asetada Jeesuse ette.
19Lakini kwa sababu ya wingi wa watu, hawakuweza kuingia ndani. Basi, wakapanda juu ya dari, wakaondoa vigae, wakamshusha huyo aliyepooza pamoja na kitanda chake, wakamweka mbele ya Yesu.
19Ja kuna nad rahvahulga tõttu ei leidnud teed, kuidas teda sisse tuua, läksid nad üles katusele ja lasksid ta koos kanderaamiga tellislaest läbi, keset tuba otse Jeesuse ette.
20Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, "Rafiki, umesamehewa dhambi zako."
20Ja nende usku nähes ütles Jeesus: 'Inimene, sinu patud on sulle andeks antud!'
21Walimu wa Sheria na Mafarisayo wakaanza kujiuliza: "Nani huyu anayemkufuru Mungu kwa maneno yake? Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake!"
21Ja kirjatundjad ja variserid hakkasid arutama: 'Kes see õige on, kes räägib Jumalat teotades? Kes muu saab patte andeks anda kui ainult Jumal üksi?'
22Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, "Mnawaza nini mioyoni mwenu?
22Aga Jeesus vastas neile nende mõtteid ära tundes: 'Mis te arutate oma südames?
23Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi, au kusema, Simama utembee?
23Kumb on kergem, kas öelda: 'Sinu patud on sulle andeks antud!' või öelda: 'Tõuse püsti ja kõnni!'?
24Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kusamehe dhambi duniani." Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, "Simama, chukua kitanda chako uende zako nyumbani."
24Aga et te teaksite, et Inimese Pojal on meelevald patte andeks anda maa peal,' - ta ütles halvatule - 'ma ütlen sulle: Tõuse püsti, võta oma kanderaam ja mine koju!'
25Mara, huyo mtu aliyepooza akasimama mbele yao wote, akachukua kitanda chake akaenda zake nyumbani huku akimtukuza Mungu.
25Ja otsekohe tõusis too üles nende silma all, võttis selle, millel ta oli lamanud, ja läks koju Jumalat ülistades.
26Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: "Tumeona maajabu leo."
26Ja kõiki valdas hämmastus ja nad ülistasid Jumalat ja said täis kartust, öeldes: 'Me oleme täna kummalisi asju näinud!'
27Baada ya hayo, Yesu akatoka nje, akamwona mtoza ushuru mmoja aitwaye Lawi, ameketi ofisini. Yesu akamwambia, "Nifuate!"
27Pärast seda läks Jeesus välja ja nägi tölnerit, nimega Leevi, tollihoone juures istuvat, ja ütles talle: 'Järgne mulle!'
28Lawi akaacha yote, akamfuata.
28Ja Leevi tõusis, jättis kõik maha ja järgnes Jeesusele.
29Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani mwake; na kundi kubwa la watoza ushuru na watu wengine walikuwa wameketi pamoja nao.
29Ja Leevi tegi Jeesusele oma kodus suure pidusöögi ja suur hulk tölnereid ja muid istus nendega koos lauda.
30Mafarisayo na walimu wa Sheria wakawanung'unikia wafuasi wake wakisema: "Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?"
30Ent variserid ja nende kirjatundjad nurisesid tema jüngrite vastu: 'Miks te sööte ja joote koos tölnerite ja patustega?'
31Yesu akawajibu, "Wenye afya hawahitaji daktari, lakini wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
31Ja Jeesus vastas neile: 'Ei vaja arsti terved, vaid haiged.
32Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, ili wapate kutubu."
32Ma ei ole tulnud kutsuma õigeid, vaid patuseid meeleparandusele.'
33Watu wengine wakamwambia Yesu, "Wafuasi wa Yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya vivyo hivyo. Lakini wafuasi wako hula na kunywa."
33Nemad aga ütlesid talle: 'Johannese jüngrid paastuvad sageli ja peavad palveaegu, nõndasamuti ka variseride jüngrid, sinu omad aga söövad ja joovad.'
34Yesu akawajibu, "Je, mnaweza kuwataka wale walioalikwa arusini wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao?
34Jeesus ütles neile: 'Kas te võite peiupoisse panna paastuma sel ajal, kui peigmees on nende juures?
35Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao, na wakati huo ndipo watakapofunga."
35Ent päevad tulevad, mil peigmees võetakse neilt ära, küll nad siis paastuvad neil päevil.'
36Yesu akawaambia mfano huu: "Hakuna mtu akataye kiraka cha nguo mpya na kukitia katika vazi kuukuu; kama akifanya hivyo, atakuwa amelikata hilo vazi jipya, na hicho kiraka hakitachukuana na hilo vazi kuukuu.
36Aga ta ütles neile ka tähendamissõna: 'Keegi ei rebi paika uue kuue küljest, et parandada vana kuube, muidu ta ju rebib uue katki ning paik uue küljest ei sobi vana peale.
37Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; kwani hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, divai itamwagika, na viriba vitaharibika.
37Ja keegi ei vala värsket veini vanadesse nahklähkritesse, muidu värske vein rebestab lähkrid ja voolab maha ning lähkrid muutuvad kõlbmatuks,
38Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!
38vaid värske vein tuleb valada uutesse lähkritesse.
39Wala hakuna mtu ambaye hutamani kunywa divai mpya baada ya kunywa ya zamani, kwani husema: Ile ya zamani ni nzuri zaidi."
39Ja keegi, kes on joonud vana, ei taha uut, vaid ütleb: Vana on maitsvam!'