1Baada ya kusema yale aliyotaka watu wasikie, Yesu alikwenda Kafarnaumu.
1Kui Jeesus oli lõpetanud kõik oma kõned teda kuulavale rahvale, tuli ta Kapernauma.
2Huko kulikuwa na jemadari mmoja Mroma ambaye alikuwa na mtumishi wake aliyempenda sana. Huyu mtumishi alikuwa mgonjwa karibu kufa.
2Aga ühe väeülema teener, kellest ta isand lugu pidas, oli haige ja suremas.
3Yule jemadari aliposikia habari za Yesu, aliwatuma wazee fulani Wayahudi waende kumwomba aje amponye mtumishi wake.
3Kui väeülem sai kuulda Jeesusest, läkitas ta juutide vanemad tema juurde ja palus teda, et ta tuleks ja teeks terveks tema teenri.
4Walipofika kwa Yesu, walimsihi sana, wakasema: "Huyu anastahili afanyiwe jambo hilo,
4Nad tulid Jeesuse juurde ja palusid teda tungivalt: 'Ta on tõesti seda väärt, et sa teda aitaksid,
5maana analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi."
5sest ta armastab meie rahvast, ta on ehitanud meile ka sünagoogi.'
6Basi, Yesu akaenda pamoja nao. Alipokuwa karibu kufika nyumbani kwa yule jemadari Mroma, yule jemadari aliwatuma marafiki zake wamwambie Yesu: "Bwana, usijisumbue zaidi, maana mimi sistahili uingie nyumbani mwangu.
6Ja Jeesus läks nendega kaasa. Aga kui ta ei olnud enam kaugel sellest majast, saatis väeülem oma sõbrad talle ütlema: 'Issand, ära tee enesele tüli, sest ma ei ole väärt, et sina mu katuse alla tuleksid!
7Ndio maana sikujiona nastahili hata kuja kwako; amuru tu, na mtumishi wangu atapona.
7Seepärast ma ei ole ka ennast arvanud väärt ise sinu juurde tulema, vaid ütle üksainus sõna, ja poiss paraneb!
8Mimi pia ni mtu niliye chini ya mamlaka, na ninao askari chini yangu. Namwambia mmoja, Nenda!, naye huenda; namwambia mwingine, Njoo! naye huja; na nikimwambia mtumishi wangu, Fanya hiki!, hufanya."
8Minagi olen ju valitsusalune, aga minu alluvuses on sõdureid, ja kui ma ütlen ühele: 'Mine ära!', siis ta läheb, ja teisele: 'Tule siia!', siis ta tuleb, ja oma teenrile: 'Tee seda!', siis ta teeb.'
9Yesu aliposikia hayo, alishangaa; halafu akauelekea ule umati wa watu uliokuwa unamfuata, akasema, "Sijaona imani kubwa namna hii hata katika Israeli."
9Seda kuuldes Jeesus imetles teda ja pöördudes rahvahulga poole, kes käis temaga kaasas, ütles: 'Ma ütlen teile, nii suurt usku ei ole ma Iisraeliski leidnud!'
10Wale watu walipowasili nyumbani walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa.
10Ja kui saadikud koju tagasi jõudsid, leidsid nad teenri tervena.
11Baadaye kidogo Yesu alikwenda katika mji mmoja uitwao Naini, na wafuasi wake pamoja na kundi kubwa la watu waliandamana naye.
11Ja mõni aeg hiljem läks Jeesus linna, mida hüütakse Nainiks, ja temaga läksid kaasa ta jüngrid ja suur hulk rahvast.
12Basi, alipokuwa anakaribia lango la mji, walitokea watu wamebeba maiti ya kijana mmoja, mtoto wa pekee wa mama mjane. Watu wengi wa mji ule walikuwa pamoja na huyo mama.
12Aga just siis, kui ta linna väravale lähenes, kanti välja surnut, oma ema ainsat poega, ja ema oli lesk. Ja üsna suur hulk linnarahvast saatis teda.
13Bwana alipomwona mama huyo, alimwonea huruma, akamwambia, "Usilie."
13Ja kui Issand nägi ema, hakkas tal temast hale ja ta ütles: 'Ära nuta enam!'
14Kisha akaenda, akaligusa lile jeneza, na wale waliokuwa wanalichukua wakasimama. Halafu akasema, "Kijana! Nakuamuru, amka!"
14Ja ta astus ligi ja puudutas surnuraami, mispeale kandjad jäid seisma. Ja ta ütles: 'Noormees, ma ütlen sulle, ärka üles!'
15Yule aliyekufa akaketi, akaanza kuongea. Na Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
15Ja surnu tõusis istuli ja hakkas rääkima. Ja Jeesus andis poja ta emale tagasi.
16Watu wote walishikwa na hofu, wakawa wanamtukuza Mungu wakisema: "Nabii mkuu ametokea kati yetu. Mungu amekuja kuwakomboa watu wake."
16Aga kõiki haaras kartus ja nad ülistasid Jumalat ja ütlesid: 'Meie seas on tõusnud suur prohvet!' ja 'Jumal on tulnud hoolitsema oma rahva eest!'
17Habari hizo zikaenea kote katika Uyahudi na katika nchi za jirani.
17Ja see jutt temast levis kogu Juudamaale ja kõikjale ümbruskonda.
18Wanafunzi wa Yohane walimpa habari Yohane juu ya mambo hayo yote. Naye Yohane, baada ya kuwaita wawili kati ya wanafunzi wake,
18Ja seda kõike kuulutasid Johannesele tema jüngrid. Ja Johannes kutsus enda juurde kaks oma jüngrit
19aliwatuma kwa Bwana wamwulize: "Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?"
19ja saatis nad Issanda juurde küsima: 'Kas sina oled see, kes pidi tulema, või jääme ootama teist?'
20Wale wanafunzi walipomfikia Yesu wakamwambia, "Yohane Mbatizaji ametutuma kwako tukuulize: Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?"
20Kui mehed tema juurde jõudsid, ütlesid nad: 'Ristija Johannes on meid sinu juurde läkitanud küsima: Kas sina oled see, kes pidi tulema, või jääme ootama teist?'
21Wakati huohuo, Yesu alikuwa anawaponya watu wengi waliokuwa wanateseka kwa magonjwa na waliopagawa na pepo wabaya, akawawezesha vipofu wengi kuona tena.
21Tolsamal tunnil tegi Jeesus paljusid terveks haigustest ja hädadest ja kurjadest vaimudest ning paljudele pimedatele kinkis ta nägemise.
22Basi, Yesu akawajibu, "Nendeni mkamwambie Yohane yale mliyojionea na kuyasikia: vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari njema.
22Ja Jeesus vastas neile: 'Minge, teatage Johannesele, mida te olete näinud ja kuulnud: pimedad näevad jälle, jalutud kõnnivad, pidalitõbised saavad puhtaks ja kurdid kuulevad, surnud ärkavad üles, vaestele kuulutatakse rõõmusõnumit
23Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!"
23ja õnnis on see, kes minust iial ei pahandu!'
24Hapo wajumbe wa Yohane walipokwisha kwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu juu ya Yohane: "Mlikwenda kule jangwani, hivi mlitaka kuona kitu gani? Mlitaka kuona unyasi unaotikiswa na upepo?
24Kui siis Johannese käskjalad olid ära läinud, hakkas Jeesus rahvahulkadele kõnelema Johannesest: 'Mida te tahtsite näha, kui te läksite välja kõrbe? Kas tuules kõikuvat roogu?
25Basi, mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona mtu aliyevalia mavazi maridadi? La hasha! Wanaovaa mavazi maridadi na kuishi maisha ya anasa, hukaa katika majumba ya wafalme!
25Või mida te tahtsite välja minnes vaadata? Kas pehme riidega rüütatud inimest? Ennäe, kes kalleis riideis ja toretsemises elavad, viibivad kuningakodades.
26Basi, niambieni, mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
26Või mida te tahtsite välja minnes näha? Kas prohvetit? Jah, ma ütlen, hoopis enamat kui prohvetit!
27Huyu Yohane ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: Hapa ni mtumishi wangu, asema Bwana; ninamtuma akutangulie, akutayarishie njia."
27Tema ongi see, kellest on kirjutatud: Vaata, ma saadan sinu eele oma käskjala, kes tasandab sinu tee su ees.
28Yesu akamalizia kwa kusema, "Nawaambieni, kati ya binadamu wote hakuna aliye mkubwa zaidi kuliko Yohane Mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika ufalme wa Mungu ni mkubwa zaidi kuliko yeye."
28Ma ütlen teile, ei ole naisest sündinute seas kedagi suuremat Johannesest, aga väikseim Jumala riigis on temast suurem.
29Waliposikia hayo watu wote na watoza ushuru waliusifu wema wa Mungu; hao ndio wale waliokuwa wameupokea ubatizo wa Yohane.
29Ja kogu rahvas, kes teda kuulas, ja tölneridki tunnistasid, et Jumalal on õigus, lastes endid ristida Johannese ristimisega.
30Lakini Mafarisayo na walimu wa Sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu wakakataa kubatizwa na Yohane.
30Variserid ja seadusetundjad aga tunnistasid tühjaks Jumala nõu enese kohta sellega, et ei lasknud temal ennast ristida.
31Yesu akaendelea kusema, "Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?
31Kellega ma nüüd võrdleksin selle sugupõlve inimesi ja kelle sarnased nad on?
32Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeomboleza, lakini hamkulia!
32Nad on laste sarnased, kes istuvad turul ja hõikavad üksteisele nõnda: Me oleme teile vilet puhunud, ja te ei ole tantsinud, me oleme teile itkenud, ja te ei ole nutnud.
33Kwa maana Yohane alikuja, yeye alifunga na hakunywa divai, nanyi mkasema: Amepagawa na pepo!
33Sest Ristija Johannes on tulnud, ta ei söö leiba ega joo veini, ja te ütlete: 'Tal on kuri vaim!'
34Akaja Mwana wa Mtu; anakula na kunywa, mkasema: Mwangalieni mlafi huyu na mlevi; rafiki ya watoza ushuru na wenye dhambi!
34Inimese Poeg on tulnud, sööb ja joob, ja te ütlete: 'Ennäe, see inimene on söödik ja veinijoodik, tölnerite ja patuste sõber!'
35Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali."
35Ja ometi annavad tarkusele õiguse selle enda lapsed.'
36Mfarisayo mmoja alimwalika Yesu kula chakula nyumbani kwake. Akaingia nyumbani mwa huyo Mfarisayo, akakaa kula chakula.
36Aga üks variseridest palus teda enda poole sööma. Ja Jeesus läks variseri kotta ja istus lauda.
37Basi, katika mji ule kulikuwa na mama mmoja aliyekuwa anaishi maisha mabaya. Alipopata habari kwamba Yesu yuko nyumbani kwa huyo Mfarisayo, alichukua chupa ya alabasta yenye marashi.
37Ja vaata, linnas oli keegi patune naine, ja kui see sai teada, et Jeesus istub variseri majas lauas, tõi ta alabasterriista mürriõliga
38Akaja, akasimama karibu na miguu yake Yesu, akilia, na machozi yake yakamdondokea Yesu miguuni. Huyo mwanamke akaipangusa miguu ya Yesu kwa nywele zake. Kisha akaibusu na kuipaka yale marashi.
38ja astus tema taha ta jalgade juurde, hakkas nuttes tema jalgu kastma pisaratega ja kuivatas neid oma juustega ja suudles tema jalgu ja võidis neid mürriõliga.
39Yule Mfarisayo aliyemwalika Yesu alipoona hayo, akawaza moyoni mwake, "Kama mtu huyu angekuwa kweli nabii angejua huyu mwanamke ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi."
39Aga kui variser, kes oli ta külla kutsunud, seda nägi, mõtles ta endamisi: 'Kui tema oleks prohvet, küll ta siis ära tunneks, kes ja missugune on see naine, kes teda puudutab, et ta on patune.'
40Yesu akamwambia huyo Mfarisayo, "Simoni, ninacho kitu cha kukwambia." Naye Simoni akamwambia, "Ndio Mwalimu, sema." Yesu akasema,
40Jeesus aga ütles talle: 'Siimon, mul on sulle midagi ütelda!' Tema lausus: 'Räägi, Õpetaja!'
41"Watu wawili walikuwa wamemkopa mtu fedha: mmoja alikuwa amekopa dinari mia tano, na mwingine hamsini.
41'Ühel rahalaenajal oli kaks võlglast: üks oli võlgu viissada teenarit, teine viiskümmend.
42Waliposhindwa kulipa madeni yao, huyo mtu aliwasamehe wote wawili. Sasa ni yupi kati ya hao wawili atampenda zaidi huyo bwana?"
42Aga kuna neil ei olnud maksta, siis ta kustutas nende mõlema võla. Kumb neist nüüd teda rohkem armastab?'
43Simoni akamjibu, "Ni dhahiri kwamba yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi atampenda zaidi yule bwana." Yesu akamwambia, "Sawa."
43Siimon vastas: 'Ma arvan, et see, kellele ta rohkem kinkis.' Jeesus ütles talle: 'Sa otsustasid õigesti.'
44Halafu akamgeukia yule mwanamke na kumwambia Simoni, "Unamwona huyu mwanamke, sivyo? Basi, mimi nilipoingia hapa nyumbani kwako hukunipa maji ya kunawa miguu yangu; lakini mwanamke huyu ameniosha miguu yangu kwa machozi yake na kunipangusa kwa nywele zake.
44Ja pöördudes naise poole, lausus ta Siimonale: 'Kas sa näed seda naist? Ma tulin sinu majja, sa ei andnud minu jalgade jaoks vett, tema on aga pisaratega mu jalgu kastnud ja oma juustega kuivatanud.
45Wewe hukunisalimu kwa kunibusu, lakini huyu mwanamke tangu nilipoingia hapa amekuwa akiibusu miguu yangu.
45Sina ei andnud mulle tervituseks suud, aga tema ei ole sest ajast peale, kui ta sisse tuli, lakanud minu jalgu suudlemast.
46Wewe hukunionyesha ukarimu wako kwa kunipaka mafuta kichwani, lakini huyu mwanamke amefanya hivyo kwa kunipaka mafuta miguu yangu.
46Sina ei võidnud mu pead õliga, tema aga on võidnud mu jalgu mürriõliga.
47Kwa hiyo nakwambia amesamehewa dhambi zake nyingi kwa kuwa ameonyesha upendo mkubwa. Mwenye kusamehe kidogo, hupenda kidogo."
47Seepärast, ma ütlen sulle, on temale palju patte andeks antud, sest ta on palju armastanud. Aga kellele antakse andeks pisut, see armastab pisut.'
48Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, "Umesamehewa dhambi zako."
48Aga naisele ta ütles: 'Sinu patud on sulle andeks antud!'
49Na hapo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, "Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?"
49Siis need, kes istusid Jeesusega ühes lauas, hakkasid iseeneses mõtlema: 'Kes on tema, kes ka patte andeks annab?'
50Naye Yesu akamwambia yule mwanamke, "Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani."
50Aga tema ütles naisele: 'Sinu usk on sind päästnud, mine rahuga!'