1(G12-18) Na likajisimamia ukingoni mwa bahari. (G13-1) Kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo.
1Ma nägin merest üles tulevat metsalist, kellel oli seitse pead ja kümme sarve, ning ta sarvede peal kümme peaehet, ning ta peade peal olid jumalateotuse nimed.
2Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu.
2Ja metsaline, keda ma nägin, oli pantri sarnane ning ta jalad olid otsekui karul ning ta suu oli nagu lõvi suu. Lohe andis temale oma väe ja oma trooni ja suure meelevalla.
3Kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. Dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.
3Üks ta peadest oli nagu surmavalt haavatud, ent tema surmahaav paranes.Kogu ilmamaa oli imestunud, käies metsalise järel,
4Watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. Wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, "Nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana naye?"
4ning nad kummardasid lohet, et ta metsalisele oli andnud meelevalla, ning nad kummardasid metsalist ja ütlesid: 'Kes on metsalise sarnane ja kes suudab temaga sõdida?'
5Kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru Mungu; akaruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
5Talle anti suu rääkida suuri asju ja teotada Jumalat ning talle anti meelevald tegutseda nelikümmend ja kaks kuud.
6Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni.
6Ja ta avas oma suu Jumala teotamiseks, et teotada tema nime ja tema telki - neid, kes viibivad taevas.
7Aliruhusiwa kuwapiga vita na kuwashinda watu wa Mungu. Alipewa mamlaka juu ya watu wa kila kabila, ukoo, lugha na taifa.
7Talle anti voli pidada sõda pühadega ja neid võita, ning talle anti meelevald iga suguharu ja rahva ja keele ja paganahõimu üle.
8Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale ambao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo aliyechinjwa.
8Teda hakkasid kummardama kõik, kes ilmamaal elavad, kelle nime ei ole maailma rajamisest saadik kirjutatud tapetud Talle eluraamatusse.
9"Aliye na masikio, na asikie!
9Kui kellelgi on kõrv, siis ta kuulgu!
10Waliokusudiwa kuchukuliwa mateka lazima watatekwa; waliokusudiwa kuuawa kwa upanga lazima watauawa kwa upanga. Kutokana na hayo ni lazima watu wa Mungu wawe na uvumilivu na imani."
10Kui keegi peab vangipõlve minema, siis vangipõlve ta läheb. Kui keegi peab tapetama mõõgaga, siis mõõgaga ta tapetakse. Siin olgu pühadel kannatlikkust ja usku!
11Kisha nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka.
11Ma nägin maast üles tulevat teist metsalist, sel oli kaks sarve otsekui tallel ning ta rääkis nagu lohe.
12Alikuwa na mamlaka kamili kutoka kwa yule mnyama wa kwanza, na akautumia uwezo huo mbele ya huyo mnyama. Akailazimisha dunia yote na wote waliomo humo kumwabudu huyo mnyama wa kwanza ambaye alikuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona.
12Ta tegi kõik esimese metsalise meelevallaga tema ees ning ta tegi, et ilmamaa ja need, kes seal elavad, kummardaksid esimest metsalist, kelle surmahaav oli paranenud.
13Basi, huyu mnyama wa pili akafanya miujiza mikubwa hata akasababisha moto kutoka mbinguni ushuke duniani mbele ya watu.
13Ja ta tegi suuri tunnustähti, nõnda et ta lasi ka tule taevast maa peale maha tulla inimeste silme ees,
14Aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
14ning ta eksitas ilmamaa elanikke tunnustähtedega, mis talle oli antud teha metsalise ees, käskides ilmamaa elanikke teha kuju metsalisele, kellel oli mõõgahaav ning kes oli tõusnud ellu.
15Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu.
15Talle anti meelevald anda vaimu metsalise kujule, et ka metsalise kuju räägiks ja teeks, et tapetaks igaüks, kes ei kummarda metsalise kuju.
16Aliwalazimisha wote, wadogo na wakubwa, matajiri na maskini, watu huru na watumwa, watiwe alama juu ya mikono yao ya kulia au juu ya paji za nyuso zao.
16Ja ta tegi, et kõik - pisikesed ja suured, rikkad ja vaesed, vabad ja orjad - võtaksid endale märgi oma paremale käele või oma otsaette,
17Akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo.
17ning et keegi muu ei tohiks osta ega müüa kui vaid see, kellel on märk, kas metsalise nimi või tema nime arv.
18Hapa ni lazima kutumia ujasiri! Mwenye akili anaweza kufafanua maana ya tarakimu ya mnyama huyo, maana ni tarakimu yenye maana ya mtu fulani. Tarakimu hiyo ni mia sita sitini na sita.
18Siin olgu tarkust! Kellel on mõistust, see arvutagu välja metsalise arv, sest see on inimese arv, ja tema arv on kuussada kuuskümmend kuus.