1Kisha nikamwona Mwanakondoo anavunja mhuri mmojawapo wa ile mihuri saba. Nikasikia kimoja cha vile viumbe hai vinne kikisema kwa sauti kama ya ngurumo, "Njoo!"
1Ja ma nägin, kui Tall avas esimese seitsmest pitserist ja ma kuulsin üht neljast olevusest otsekui kõuehäälega hüüdvat: 'Tule!'
2Mimi nikatazama, na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo. Na mpanda farasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji. Basi, akatoka kama mshindi aendelee kushinda.
2Ma nägin: ennäe, valge hobune, ning selle seljas istujal oli käes amb ning talle anti pärg ja ta läks välja võitjana võitmiseks.
3Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa pili. Nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, "Njoo!"
3Kui ta avas teise pitseri, kuulsin ma teist olevust hüüdvat: 'Tule!'
4Nami nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mwingine hapo, mwekundu. Mpanda farasi wake alikabidhiwa jukumu la kuondoa amani duniani, watu wauane, akapewa upanga mkubwa.
4Ja tuli välja teine, tulipunane hobune, ning selle seljas istujale anti voli võtta ära rahu ilmamaa pealt, et inimesed üksteist tapaksid, ning talle anti suur mõõk.
5Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tatu. Nikamsikia yule kiumbe hai wa tatu akisema, "Njoo!" Nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mmoja hapo, mweusi. Mpanda farasi wake alikuwa na vipimo viwili vya kupimia uzito mkononi mwake.
5Kui ta avas kolmanda pitseri, kuulsin ma kolmandat olevust hüüdvat: 'Tule!' Ja ma nägin, ennäe: must hobune, ja selle seljas istujal olid käes kaalud,
6Nikasikia kitu kama sauti itokayo kwa vile viumbe hai vinne. Nayo ilisema, "Kibaba kimoja cha unga wa ngano wa kiasi cha fedha dinari moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja. Lakini usiharibu mafuta wala divai!"
6ning ma kuulsin otsekui häält nelja olevuse keskelt hüüdvat: 'Mõõt nisu ühe teenari eest ja kolm mõõtu otri ühe teenari eest! Ja õlile ja veinile ära tee kahju!'
7Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa nne. Nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema, "Njoo!"
7Kui ta avas neljanda pitseri, kuulsin ma neljanda olevuse häält hüüdvat: 'Tule!'
8Nami nikatazama, na kumbe alikuwapo farasi mmoja hapo, rangi yake kijivu. Na jina la mpanda farasi wake lilikuwa kifo, na Kuzimu alimfuata nyuma. Hao walipewa mamlaka juu ya robo moja ya dunia, wawaue watu kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia.
8Ja ma nägin, ennäe: tuhkur hobune, ja selle seljas istuja nimi oli Surm, ja temaga tuli kaasa Surmavald ning neile anti meelevald veerandi üle ilmamaast - tappa mõõga ja nälja ja surmaga ning ilmamaa loomade läbi.
9Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. Nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa Mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa.
9Kui ta avas viienda pitseri, nägin ma altari all nende hingi, kes olid tapetud Jumala sõna pärast ja tunnistuse pärast, mis neil oli.
10Basi, wakalia kwa sauti kubwa: "Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu?"
10Nad hüüdsid suure häälega: 'Kui kaua, oh püha ja tõeline Valitseja, ei mõista sa kohut ega nõua kätte meie verd neilt, kes elavad ilmamaal?'
11Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watawaua kama wao wenyewe walivyouawa.
11Neile igaühele anti valge rüü ning neile öeldi, et nad veel natuke aega puhkaksid rahus, kuni saab täis nende kaassulaste ja nende vendade arv, kes veel tapetakse nõnda nagu nemadki.
12Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia; mwezi wote ukawa mwekundu kama damu;
12Ja ma nägin, kui ta avas kuuenda pitseri, et sündis suur maavärin ning päike läks mustaks nagu leinariie ja kuu muutus nagu vereks
13nazo nyota za mbingu zikaanguka juu ya ardhi kama matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.
13ning taevatähed kukkusid maa peale, nii nagu viigipuu, mida suur tuul raputab, viskab maha oma suvemarjad.
14Anga likatoweka kama vile karatasi inavyokunjwakunjwa; milima yote na visima vyote vikaondolewa mahali pake.
14Ning taevas taganes otsekui kokkukeeratav rullraamat, ja kõik mäed ja saared tõugati ära oma paigast,
15Kisha wafalme wa duniani, wakuu, majemadari, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa na mtu huru, wakajificha mapangoni na kwenye majabali milimani.
15ning ilmamaa kuningad ja ülikud ja sõjapealikud ja rikkad ja võimsad ja kõik orjad ja vabad peitsid end koopaisse ja mägede kaljulõhedesse.
16Wakaiambia hiyo milima na hayo majabali, "Tuangukieni, mkatufiche mbali na yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na mbali na ghadhabu ya Mwanakondoo!
16Ja nad ütlesid mägedele ja kaljudele: Langege meie peale ja peitke meid troonil istuja palge eest ning Talle viha eest!
17Maana siku maalum ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?"
17Sest nende suur vihapäev on tulnud, kes suudab jääda seisma?