1Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua Sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai.
1Vennad, kas te siis ei tea - ma räägin ju seadusetundjaile -, et seadus valitseb inimese üle, niikaua kui inimene elab.
2Mathalan: mwanamke aliyeolewa anafungwa na sheria muda wote mumewe anapokuw hai; lakini mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke.
2Nii on abielunaine seadusega seotud mehe külge, kuni mees elab; aga kui mees sureb, on ta saanud vabaks mehe seaduse alt.
3Hivyo mwanamke huyo akiishi na mwanamume mwingine wakati mumewe yungali hai, ataitwa mzinzi; lakini mumewe akifa, mwanamke huyo yu huru kisheria, na akiolewa na mwanamume mwingine, yeye si mzinzi.
3Sellepärast, kui naine mehe eluajal on teise mehega, nimetatakse teda abielurikkujaks; aga kui mees sureb, on naine vaba seaduse alt, nii et ta ei ole teisele mehele minnes abielurikkuja.
4Hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa kuhusu Sheria kwa kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa Kristo; sasa mmekuwa wake yeye aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema kwa ajili ya Mungu.
4Niisiis, mu vennad, ka teie olete surmatud Seadusele Kristuse ihu kaudu, et te saaksite teisele, kes on üles äratatud surnuist, et me kannaksime vilja Jumalale.
5Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na Sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo.
5Sest kui me olime alles lihalikud, siis haarasid meie liikmeid Seaduse kaudu tekkivad patukired, et kanda vilja surmale.
6Lakini sasa tumekuwa huru kutoka vifungo vya Sheria, kwa sababu tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. Sasa tunatumikia kufuatana na maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali ile ya kale ya Sheria iliyoandikwa.
6Aga nüüd, et me oleme surnud, siis oleme saanud lahti Seaduse alt, millega meid kammitseti, nii et me teenime Jumalat uuel teel Vaimu all ja mitte vanal teel kirjatähe all.
7Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: "Usitamani."
7Mis me siis ütleme? Kas Seadus on patt? Mitte sugugi! Kuid pattu ma poleks ära tundnud muidu kui Seaduse läbi; sest ma ei oleks himustamisest midagi teadnud, kui Seadus ei oleks öelnud: 'Sa ei tohi himustada!'
8Kwa kuitumia hiyo amri, dhambi ilipata fursa ya kuamsha kila aina ya tamaa mbaya ndani yangu. Maana, bila Sheria dhambi ni kitu kilichokufa.
8Aga patt, kasutades võimalust, tekitas minus käsu kaudu igasuguseid himusid; sest ilma Seaduseta on patt surnud.
9Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na Sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka,
9Mina elasin kunagi Seaduseta, ent kui käsk tuli, siis virgus patt ellu,
10nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
10mina aga surin. Ja selgus, et seesama käsk, mis pidi olema mulle eluks, oli surmaks,
11Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua.
11sest patt, kasutades võimalust, eksitas mind käsu kaudu ning surmas mu käsu varal.
12Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
12Nõnda on siis Seadus püha ning käsk on püha, õige ja hea.
13Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo mbaya mno.
13Kas nüüd see hea on mulle saanud surmaks? Kindlasti mitte! Vaid patt, et ta oleks nähtav patuna, on toonud selle hea kaudu mulle surma, et patt ise saaks käsu kaudu üliväga patuseks.
14Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi.
14Ma tean küll, et Seadus on vaimulik, mina aga lihalik, müüdud patu alla.
15Sielewi nifanyacho, maana kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachochukia ndicho nikifanyacho.
15Ma ei mõista ju, mida ma teen: sest ma ei tee seda, mida tahan, vaid ma teen, mida vihkan.
16Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile Sheria ni nzuri.
16Kui ma aga teen, mida ma ei taha, siis ma möönan, et Seadus on hea.
17Basi, si mimi hasa ninayefanya kitu hicho, bali ile dhambi iliyo ndani yangu.
17Nii ei tee seda enam mina, vaid patt, mis minus elab.
18Najua kwamba hamna jema lolote ndani yangu mimi, kadiri ya ubinadamu wangu. Kwa maana, ingawa nataka kufanya jambo jema, siwezi kulitekeleza.
18Ma tean ju, et minus - see tähendab minu loomuses - ei ole head. Tahet mul on, aga head teha ma ei suuda.
19Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka.
19Sest head, mida ma tahan, ma ei tee, vaid paha, mida ma ei taha, ma teen.
20Basi, kama ninafanya kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo, bali ni ile dhambi iliyo ndani yangu.
20Kui ma aga teen seda, mida ma ei taha, siis ei tee seda enam mina, vaid patt, mis elab minus.
21Basi, nimegundua kanuni hii: ninataka kufanya jema, lakini najikuta kwamba lile lililo baya ndilo ninalochagua.
21Niisiis, tahtes teha head, leian seaduse, et mul on kalduvus teha kurja.
22Ndani kabisa katika moyo wangu naifurahia sheria ya Mungu.
22Sisemise inimese poolest ma rõõmustan Jumala Seaduse üle,
23Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu.
23oma liikmetes näen aga teist seadust, mis sõdib vastu minu mõistuse seadusele ja aheldab mind patu seadusega, mis on mu liikmetes.
24Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?
24Oh mind õnnetut inimest! Kes ostab mu lahti sellest surma ihust?
25Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.
25Aga tänu olgu Jumalale meie Issanda Jeesuse Kristuse läbi! Niisiis, ma teenin mõistusega küll Jumala Seadust, kuid oma loomusega patu seadust.