Swahili: New Testament

Paite

Matthew

3

1Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea:
1Huan, huchihlaiin Baptispa Johanin,
2"Tubuni, maana Ufalme wa mbinguni umekaribia."
2Kisik un! vangam a naita, chiin, Judia gamdai ah thu genin a hongpai a.
3Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema: "Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake, nyoosheni vijia vyake."
3Amah ahi, jawlnei Isaiin. Gamdaia mi kikou awin, Toupa lamlian sial unla a lampi khawng bawl tang un, a chi, chia a nagen.
4Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia, na ukanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.
4Huan, huai Johanin sangawngsaw mul puan a silha, a kawng savun kawnggakin a gaka, a an tuh khaukhup leh khuaiju ahi.
5Basi, watu kutoka Yerusalemu, kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani, walimwendea,
5Huchihlaiin Jerusalem khuate, Judia gamte tengteng, Jordan lui dung kim khawng ate tengteng a hongpai khia ua,
6wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.
6a kianglamah a pai ua, a khelhna uh thupha tawiin Jordan lui ah amah kiangah Baptisma a tang ua.
7Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize, aliwaambia, "Enyi kizazi cha nyoka! Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja?
7Himahleh, Pharisaite leh Saddukaite tampi amah baptisma tang dinga hongpai a muh takin, a kiang uah, Gul suante! hehna hongtung ding taisan dingin kuan honthuhilh a?
8Onyesheni basi kwa matendo, kwamba mmetubu kweli.
8Huchiin kisikna toh kilawm gah honsuang khia un;
9Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema, Baba yetu ni Abrahamu! Nawaambieni hakika, Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu.
9Abraham ka pu uh ahi, chiin, kingaihtuah kei un, Pathianin hiai suangte khawng Abraham suantein a dingsak thei hi, ka honchi ahi.
10Basi, shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti; hivyo, kila mti usiozaa matunda mazuri, utakatwa na kutupwa motoni.
10Tua kipanin heipi sing bul tengah a koih ta uh; huchiin, sing chih gah hoiha gah lou peuhpeuh a phuk ua, mei ah a pai lut jel uh.
11Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu. Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi. Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake. Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
11Ken jaw kisikna dingin tui in ka honbaptis ngei a, himahleh, amah ka nunga hong pai tuh keimah sangin a thupijaw a, a khedap tawi tak leng ka hi kei, Aman jaw Kha Siangthou leh meiin noute a hon baptis ding.
12Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka, ili aipure nafaka yake; akusanye ngano ghalani, na makapi ayachome kwa moto usiozimika."
12A khutin phazah a tawia, a phual a jap siang sipsip ding a, buhpang ah a buh a sung ding, a si bel mei mit theilouin a hal mang ding, a chi a.
13Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye.
13Huchihlaiin a kianga baptisma tang dingin Jesu Galili gam akipan Jordan luiah Johan kiangah a hongpai a.
14Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema, "Je, wewe unakuja kwangu? Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe."
14Johan in bel, Nang kei na honbaptis kiphamoh zopia, ka kiangah na hongzosop ahi maw? chiin, kham a tum a.
15Lakini Yesu akamjibu, "Acha tu iwe hivyo kwa sasa, maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka." Hapo Yohane akakubali.
15Himahleh, Jesun a akiangah, Tuin lemsak teitei in, hichi banga diktatna tengteng hihtangtun ei adia kilawm hi, chiin, a dawnga. Huchiin lem a sata a.
16Mara tu Yesu alipokwisha batizwa, alitoka majini; na ghafla mbingu zikafunguka, akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake.
16Huan, Jesu baptisma a tan takin tui a kipanin a pawt pah ngala, huan, ngaiin, amah adingin van ahong kihonga, Pathian Kha tuh vakhu banga hongsukin, a tunga hongtu a mu a.Huan, ngaiin, vana kipanin aw in, Hiai ka Tapa deih tak, ka kipahna mahmah ahi, a chi a.
17Sauti kutoka mbinguni ikasema, "Huyu ndiye Mwanangu mpendwa, nimependezwa naye."
17Huan, ngaiin, vana kipanin aw in, Hiai ka Tapa deih tak, ka kipahna mahmah ahi, a chi a.