1Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi.
1Huaikhitin Jesu tuh diabol khema om dingin gamdai ah Kha pi lutin a omta a.
2Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.
2Huan, ni sawmli leh jan sawmli an a ngolh nungin a gil a hongkialta a
3Basi, mshawishi akamjia, akamwambia, "Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate."
3Huan, khempa tuh a hongpaia, a kiangah, Pathian Tapa na hih leh hiai suangte tanghou suak dingin thu pe ve, a chi a,
4Yesu akamjibu, "Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: Binadamu hataishi kwa mikate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu."
4Himahleh, aman, Mihing tanghou kiain a hong kei dinga, Pathian kama thu chin pawtin a hing zo ding. chih gelh ahi, chiin a dawnga
5Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu, mji mtakatifu, akamweka juu ya mnara wa hekalu,
5Huaizoh in, diabolin kho siangthou ah a pi luta, Pathian biakin tungzum ah a koiha
6akamwambia, "Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini; maana imeandikwa: Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako; watakuchukua mikononi mwao, usije ukajikwaa kwenye jiwe."
6Huan a kiangah Pathian Tapa na hih leh kikesakin; Na tung thu ah jaw angelte thu a pe dinga, a khut un hondom ding ua, huchilou injaw na khein suang na sui khading. chih gelh ahi ngala, a chi a.
7Yesu akamwambia, "Imeandikwa pia: Usimjaribu Bwana, Mungu wako."
7Jesun a kiangah, Toupa na Pathian zeet ken, chih gelh ahi sam hi, a chi a
8Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu, akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake,
8Huan, diabolin tangsang takah a pi nawna, khovel gam tengteng leh a thupina a ensak a.
9akamwambia, "Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu."
9Huan, a kiangah Khupbohin honbe lechin, hiai tengteng ka honpe ding a chi a.
10Hapo, Yesu akamwambia, "Nenda zako Shetani! Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake."
10Huaitakin Jesun a kiangah, Setan, hia kipanin pai mangin, Toupa na Pathian na biak dinga amah na kia na sep ding ahi chih gelh ahi, a chi a.
11Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia.
11Huaizohin diabolin a paisanta a Huan ngaiin angelten amah na hongsep sak uh.
12Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya.
12Huan Johan a man uh chih Jesun ajak phetin, Galili lamah a kihemkhia a
13Aliondoka Nazareti, akaenda Kafarnaumu, mji ulio kando ya bahari ya Genesareti, mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali, akakaa huko.
13Huan, Nazaret khua a paisan a, Kapernaum khua ah a om nilouh a, huai tuh Zebulun leh Nephtali uka, dil geia om ahi,
14Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya:
14Jawlnei Isai kama
15"Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, kuelekea baharini ng'ambo ya mto Yordani, Galilaya nchi ya watu wa Mataifa!
15Dil lama, Jordan gala, Zebulun gam leh Nephtali gam, Jentelte Galili
16Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa. Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo, mwanga umewaangazia!"
16mial nuaia tuten vak thupi a mu uh a, sihnamun leh a lim a tute tungah vak a hong suakta a, chia a gen tuh a hongtun theihna din.
17Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema, "Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia!"
17Huainung siah Jesun, Kisik un! vangam a naita hi, chiin, thugen a panta a.
18Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya, aliwaona ndugu wawili wavuvi; Simoni (aitwae Petro) na Andrea, ndugu yake; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani.
18Huan, Galili dil geia a vak kawmin, unau nih simon Peter kichi a unau Andru toh, dil ah len paiin a mu a; nga man mi him ahi ua.
19Basi, akawaambia, "Nifuateni, nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu."
19Huan, aman tuh a kiang uah, Honjui un, huchiin mihing man dingin ka honbawl ding, a chi a.
20Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
20Huan lente khawng nusepahin amah a juita ua,
21Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona ndugu wengine wawili: Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo. Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakitengeneza nyavu zao. Basi Yesu akawaita,
21Huan, huailaia kipanin a pai jel a unau dang nih, Zebedai tapa Jakob leh a unau Johan, a pa uh Zebedai kianga longa a lente khawng uh bawlphain a mu a; huan, amau tuh a samta a.
22nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao, wakamfuata.
22Huchiin, long leh a pa uh nuse pahin amah a juita ua.
23Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya, akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu. Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu.
23Huan, Jesun a kikhopna in khawng ua hilhin, gam Tanchin Hoih tuh genin, mite laka natna chiteng leh hatlouhna chiteng hihdamin Galili gam tengteng ah a pai vialvial a.
24Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria. Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu: waliopagawa na pepo, wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa, walipelekwa kwake; naye akawaponya wote.
24Huan, Suria gam tengtengah a tanchin a thangta a; huchiin, mi damlou tengteng dam louhna leh natna chih thuakte, dawi matte, kaihveite, jawte, a kiangah a honpi ua, a na hihdamta a.Galili gam akipan, Dekapoli kua akipan, Jerusalem leh Judia akipan leh Jordan gal akipan bangin mipi tampi takin amah a jui uh.
25Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya, Dekapoli, Yerusalemu, Yudea na ng'ambo ya mto Yordani, walimfuata.
25Galili gam akipan, Dekapoli kua akipan, Jerusalem leh Judia akipan leh Jordan gal akipan bangin mipi tampi takin amah a jui uh.