Swahili: New Testament

Paite

Matthew

6

1"Jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo.
1Na thil hoih hihte uh mi muh dingin, mihing mitmuha hihlou dingin pilvang un; huchilouin jaw na Pa uh vana om kiangah kipahman na neikei ding uh.
2"Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
2Huchinin, mi kianga thilpiak na piakin, mi lepchiahten mi phat a loh theihna ding ua. kikhopna in khawng, kongzing khawnga a hih nak bang un na ma ah pengkul mut ken. Chihtaktakin ka honhilh ahi. A kipahman uh a mu ta uh.
3Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata rafiki yako asijue ufanyalo.
3Nang jaw mi kianga thilpiak napiakin, na khut taklamin a hih na khut veilamin thei dah heh.
4Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.
4Na thilpiak tuh a guka a om theihna din: huchiin na Pa a guka mupan tuh a hondin ding hi.
5"Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
5Huan, na thum chiangun, mi lepchiah te bangin na hih ding uh ahi kei; min a muh theihna ding un, kikhopnain bangah kongzing kathuam laitak bangah ding kawmin thum a uttuan sese uh. Chihtaktakin ka honhilh ahi, a kipahman uh a muta uh.
6Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga mlango, kisha umwombe Baba yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.
6Nang jaw na thumin, na dantan sunggil ah lut inla, na kong khak inla, na Pa a guka om kiang ah thumin huchiin napa a guka honmuin a hondin ding.
7"Mnaposali, msipayuke maneno kama watu wasiomjua Mungu. Wao hudhani kwamba Mungu atawasikiliza ati kwa sababu ya maneno mengi.
7Huan, na thum un, Jentelte bangin gentuan mawkmawk kei un: a pau tam jiak ua jak a om ding a kisa uh.
8Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.
8Huaijiakin, amau bangin om kei un, amah na nget ma ua na Pa un bangbang ahia na khawkna uh a thei gige ngala.
9Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali: Baba yetu uliye mbinguni: Jina lako litukuzwe.
9Huchuun nou jaw hichibangin thum un: Ka Pa uh vana om. na min ki zahtak hen.
10Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.
10Na gam hongtung hen. Na deihlam vana a kihih bangin, lei ah leng kihih hen.
11Utupe leo chakula chetu tunachohitaji.
11Tunin ka nek khop uh an honpia in.
12Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.
12Kabatte uh honngaidam in.. kouleng ka leibate uh ka ngaihdamtak bangun.
13Usitutie katika majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu. is Baadhi ya makala za zamani zina; Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.
13Khemn ah honpilut kenla, gilou lakah honhu jaw in. chiin.
14"Maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia.
14Mi a tatleknate uh na ngaihdam uleh, na Pa uh vana omin leng a hongaidam sam ding.
15Lakini msipowasamehe watu makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.
15Himahleh, mite a tatlekna uh ngaihdam kei ngal un, na Pa un na tatlekna teuh a ngaidam sam kei ding.
16"Mnapofunga, msiwe na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga. Nawaambieni hakika, hao wamekwisha pata tuzo lao.
16An na ngolh un len, mi lepchiahte bang in ngui mel po kei un: amau jaw mi mit muha an ngawla kilat theihna ding un, amai uh a gum sak nak uh ahi. chihtaktakin ka honhilh ahi, a kipahman uh a muta uh.
17Wewe lakini unapofunga, paka kichwa chako mafuta, nawa uso wako,
17Nou jaw, an na ngolh chiangun na lu uh sathau nilh unla, na mai uh phiat unla;
18ili mtu yeyote asijue kwamba unafunga, ila ujulikane tu kwa Baba yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika atakutuza.
18huchiin, na Pa uh aguka om mitmuh ah loungal mihing mitmuh ah an ngawl na bang kei ding ua; huchiin, na Pa uh aguka mupan tuh a hondin ding.
19"Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba.
19Leia, leikha leh tuiekin a nek siatna ah, gutaten a phen vang ua gukna uah gou kikhol kei un;
20Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba.
20van ah, leikha leh tuiekin a nek siat louhna ah, gutaten a phen ua a guk sam louhna uah, gou kikol jaw un.
21Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
21Na gou omna peuh uah na lungtang u leng a om ding.
22"Jicho ni taa ya mwili. Kama jicho lako ni zima, mwili wako wote utakuwa katika mwanga.
22Sapum khawnvak tuh mit ahi; huchia namit a chim leh na sapum a pumin a tan suak ding.
23Lakini ikiwa jicho lako ni bovu, mwili wako wote utakuwa katika giza. Basi, ikiwa mwanga ulioko ndani yako ni giza, basi, hilo ni giza la kutisha mno.
23Na mit a siat le tuh na sapum a pumin a mial khin vek ding. Huchiin na sunga vak tuh mial hileh, mial hina tel inchia.
24"Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili. Maana atamchukia mmoja na kumpenda huyo wa pili; au ataambatana na mmoja na kumdharau huyo mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali pamoja.
24Khuamahin heutu nih na a sem kop theikei; khat huain khat a it dinga; a hihkeileh, khat gumin khat a simmoh ding. pathian leh sum na na sem kop theikei ding uh.
25"Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi?
25Huaijiakin, ka honhilh ahi. Bang ahia ka nek ding, bang ahia ka dawn ding, chiin, na hinna thu uleh. Bang ahia ka silh ding, Bang ahia ka ten ding, chiin, na sapum thu uh lunghimoh kei un. Nek ding sang in hinna a thupi zo ka hia? Silh leh ten sangin sapum leng a thupi zo ka hia?
26Waangalieni ndege wa mwituni: hawapandi, hawavuni, wala hawana ghala yoyoye. Hata hivyo, Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wa thamani kuliko hao?
26Tungleng vasate en un; buh a tuh kei uh, a at kei uh, buh in ah leng a sek lut sam kei uh; himahleh, na Pa uh vana omin amau a vak hi. Noute amau sangaa nakpitaka manpha jaw hilou na hi umaw?
27Ni nani miongoni mwenu kwa kuwa na wasiwasi sana anaweza kuuongeza muda wa maisha yake?
27Huan, noute lakah lunghihmoh jiaka kuan ahia amah dung lam tong khata hihsang tuan thei?
28"Na kuhusu mavazi, ya nini kuwa na wasiwasi? Tazameni maua ya porini jinsi yanavyostawi. Hayafanyi kazi wala hayasokoti.
28Huan; silh leh ten thu bang dinga lunghimoh na hi ua? Gamlaklili pak khandan hoihtakin ngaihtuah un; na a sem kei ua, khau leng a khek kei uh;
29Lakini nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.
29himahleh, ka honhilh ahi, Solomon hilhial leng athupina tengteng a akizepin hia lili pak khat phain leng zepin a om kei.
30Ikiwa basi Mungu hulivika hivyo jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatafanya zaidi kwenu ninyi? Enyi watu wenye imani haba!
30huchiin, gamlak loupa, tuni banga hinga, a jinga thuka khul mai ding bawn Pathianin huchi lawmlawma a zep in tuh, aw nou gintawnte, silh leh ten honpe zo tham lou ding hia?
31"Basi, msiwe na wasiwasi: Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!
31Huchiin. Bang ahia i nek ding, ahikeileh. Bang ahia i dawn ding? ahihkei leh. Banga ahia i dawn ding? a hihkeileh, Bangsilin ahia i om dingm hiam chiin lunghimoh ken un.
32Maana hayo yote yanahangaikiwa na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu wa mbinguni anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo vyote.
32Jentelten huai tenteng a zong uhi. Huai tengteng na khawk uh chih na Pa uh van a omin a thei gige hi.
33Bali, zingatieni kwanza Ufalme wa Mungu na matakwa yake, na hayo mengine yote mtapewa kwa ziada.
33A gam leh a diktatna tuh zong masa jaw un, huchiin huai teng tuh a honpiak behlap ding hi.Huchiin, a jiinga ding lunghimoh keiun, a jingin amah a ding a kilunghimoh tawm ding jiakin. Nikhatading in ni khat gimthuak a hun hi.
34Basi, msiwe na wasiwasi juu ya kesho; kesho inayo yake. Matatizo ya siku moja yanawatosheni kwa siku hiyo.
34Huchiin, a jiinga ding lunghimoh keiun, a jingin amah a ding a kilunghimoh tawm ding jiakin. Nikhatading in ni khat gimthuak a hun hi.