Swahili: New Testament

Paite

Matthew

7

1"Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu;
1Hawmsak kei un, hawmsak na hih louhna ding un.
2kwa maana jinsi mnavyowahukumu wengine, ndivyo nanyi mtakavyohukumiwa; na kipimo kilekile mnachotumia kwa wengine ndicho Mungu atakachotumia kwenu.
2Na hawmsak bangmahin hawmsakin na omding uh, na tehna ngei mah un a hontehsak nawn ding uh.
3Kwa nini wakiona kibanzi kilicho jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako?
3Huan bangdia, nangmah mita singtum om ngaihtuah loua, na unau mita nin neng neu chik mu na hia?
4Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi jichoni mwako, wakati wewe mwenyewe unayo boriti jichoni mwako?
4Bang chin na unau kiangah. Namita kipanin huai nin neng neu chik honla khesak ve, na chih theih ding? Ngaiin, nangmah mit mahmah ah singtum a om nilouh ngala.
5Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako na hapo ndipo utaona waziwazi kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichoko jichoni mwa ndugu yako.
5Milepchiah: na mit a kipan singtum la khe masa in; huchiin na unau mita kipan nin neng neu chik lak khiakding ki chiantakin na mu thei ding.
6"Msiwape mbwa vitu vitakatifu wasije wakageuka na kuwararua ninyi; wala msiwatupie nguruwe lulu zenu wasije wakazikanyaga.
6Ui kiang ah thil siiangthou pe kei un; vok maah na tuikepsuang uh leng pai kei un, a chilse kha ding ua, huan, kiheiin a honbaljak khading uh.
7"Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
7Ngen un. piakin na om ding uhi, zongin na muding uh; kiu un, a honhon ding uhi;
8Maana, aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye hufunguliwa.
8kuapeuh a ngenin a mu ua; kuapeuh a zongin a mu ua; kuapeuh a kiu tuh honin a om ding uhi.
9Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe?
9Ahihleh, nou khawng, kuapeuh na tapa un tanghou honngen taleh, kuan suang na pe ding ua?
10Au je, akimwomba samaki, atampa nyoka?
10Ahihleh, ngasa hongen taleh, kuan gul na pe ding ua?
11Kama basi ninyi, ingawa ni waovu, mwajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, hakika Baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi: atawapa mema wale wanaomwomba.
11Huchihileh, nou migilou inbawn, na tate uh thil hoih piak nadan na theih un, na Pa uh vana omin a ngente thil hoih pe zo semsem lou ding hia?
12"Watendeeni wengine yale mnayotaka wao wawatendee ninyi. Hii ndiyo maana ya Sheria ya Mose na mafundisho ya manabii.
12Huaijiakin, thil bangkim min na tung ua a hih ua na deih ding bang uh, mi tungah leng hih sam un; huaituh dan thu leh jawlneite thu ahi him ahi.
13"Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. Kwa maana njia inayoongoza kwenye maangamizi ni pana, na mlango wa kuingilia humo ni mpana; waendao njia hiyo ni wengi.
13Kong kochik ah lut un; manthatnaa paina kong tuh a ja a, a lam leng a lian ngala, huai lam a lut tuh tam leng a tam mahmah uh;
14Lakini njia inayoongoza kwenye uzima ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo.
14hinna a paina kong a kochik a a lam leng a neua, a mute leng tawm chik ahi uh.
15"Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali.
15Jawlnei takloute lakah pilvang un, huaite tuh belam vun silhin na kianguah a hongpai nak ua, a sung lam uah lah nge duhgawl pipi ahi ngal ua.
16Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La!
16A mau tuh a gah uah na thei ding uh. Khaulingnei gui ah grep gah a lou ngei ua hia?
17Basi, mti mwema huzaa matunda mema, na mti mbaya huzaa matunda mabaya.
17Lenling ah leng theipi a lou ngei ua hia? Huchi mahbangin sing hoih peuhmah a gah hoih naka; sing sia tuh a gah se nak.
18Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mema.
18Sing hoih a gah se theikei, sing sia lah a gah hoih thei sam kei.
19Kila mti usiozaa matunda mema utakatwa na kutupwa motoni.
19sing chih gah hoih lou peuh tuh a phuk ua mei ah a pai uh.
20Kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao.
20Huajiakin amau tuh a gah uah na thei mai ding uh.
21"Si kila aniambiaye, Bwana, Bwana, ataingia katika Ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
21Toupa, Toupa, nonchi napeuh vangamah a lut kei ding uh; ka Pa vana om deihlam hihte tuh a lut ding uh
22Wengi wataniambia Siku ile ya hukumu: Bwana, Bwana! kwa jina lako tulitangaza ujumbe wako, na kwa jina lako tuliwatoa pepo na kufanya miujiza mingi.
22Huai ni chiangin mi tampiin, Toupa, na minin thute ka gen ua, na minin dawite ka delh khia un, na minin thil lamdang tampi ka hih jel uh hi lou hiam? a chi ding ua.
23Hapo nitawaambia: Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.
23Huai hun chiangin, Nou thil gilou hihte aw, ka honthei ngei kei, ka kianga kipanin paimang in, chiin, amau ka hilh ding.
24"Kwa sababu hiyo, kila mtu anayeyasikia maneno yangu na kuyazingatia, anafanana na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.
24Huchiin, mi chih hiai ka thu ja a, jawm peuh tuh, mi pil suangpi tunga in lam mi toh ka teh ding ahi.
25Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo. Lakini haikuanguka kwa sababu ilikuwa imejengwa juu ya mwamba.
25Vuah a hongju a, tui a hong khanga, huih a hongnunga, huai in tuh a honmut jialjiala; himahleh a chim keia; suangpi tunga lep kip a hih jiakin.
26"Lakini yeyote anayesikia maneno yangu haya bila kuyazingatia, anafanana na mtu mpumbavu aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga.
26Huan, mi chih, hiai ka thu jaa jawm lou peuh tuh, mihai piaunel tung lela in lammi toh ka teh ding ahi.
27Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo, nayo ikaanguka; tena kwa kishindo kikubwa."
27Vuah a hongju a tui a hongkhanga, huih a hongnunga, huai in tuh a honmut jialjiala; a chimta huai tuh a nak chip ngei hi, a chi a.
28Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati wa watu ukashangazwa na mafundisho yake.
28Huan, hichi ahi a, Jesun huai thu a gen zoh takin, mipin a thuhilh tuh lamdang a sa mahmah uaLaigelhmite bang lou a, thuneihna nei bang taka amaute thu a hilh jiakin.
29Hakuwa kama walimu wao wa Sheria, bali alifundisha kwa mamlaka.
29Laigelhmite bang lou a, thuneihna nei bang taka amaute thu a hilh jiakin.