1Yesu aliposhuka kutoka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.
1Huan, tanga kipana a hongpai suk nungin mipi thupitakin amah a juita ua,
2Basi, akaja mtu mmoja mwenye ukoma, akamsujudia akisema, "Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa!"
2Huan, ngaiin, a kiangah phak a hongpai a, Toupa, na ut leh na honhih siangthou thei hi, chiin, chibai a buk a.
3Yesu akanyosha mkono wake, akamgusa na kusema, "Nataka! Takasika." Mara huyo mtu akapona ukoma wake.
3Huan, Jesun a sawka, a khoih a, Ka ut hi, na siangthouta in, a chi a. Huan, thakhatin a phak tuh a hongsiangthou pah ngala.
4Kisha Yesu akamwambia, "Sikiliza, usimwambie mtu yeyote, ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na ukatoe sadaka iliyoamriwa na Mose kuwathibitishia kwamba umepona."
4Huan, Jesun a kiangah, Kuamah hilhlou dingin pilvang in, ahihhangin siampu kiangah vakilak inla, Mosiin thilpiak ding a chihte lan in a theihchet na ding un, a chi a.
5Yesu alipokuwa anaingia mjini Kafarnaumu, ofisa mmoja Mroma alimwendea, akamsihi
5Huan, Kapernaum khua a lut in, a kiangah sepaihzaheutu a hongpai a
6akisema, "Mheshimiwa, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana."
6Toupa, ka naupang jawin in ah a lum maimaha, nakpitaka hihnatin a om a, chiin hahtangpiin a ngena.
7Yesu akamwambia, "Nitakuja kumponya."
7Huan, aman tuh akiangah, Ka ongpai dia, ka hihdam ding, a chi a.
8Huyo ofisa akamwambia, "Mheshimiwa, sistahili uingie nyumbani mwangu. Lakini sema tu neno, na mtumishi wangu atapona.
8Huan, sepaihzaheutun, Toupa, ka in sung na lutna tak ahi kei, thu kia gen lechin, ka naupang a dam na ding.
9Maana, hata mimi niliye mtu chini ya mamlaka ya wengine, ninao askari chini yangu. Namwambia mmoja, Nenda! naye huenda; na mwingine, Njoo! naye huja; na mtumishi wangu, Fanya kitu hiki! naye hufanya."
9Kei leng mi thu a om ka hi a, ka nuaiah sepaihte a om ua, nang, Pai in, ka chihleh, a pai jel; mi dang kiangah len, Nang hongpai aw, ka chih leh, a hongpai jel; ka sikha kiangah leng, Hiai hih in, ka chih leh, a hih jel, chiin a dawnga.
10Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, "Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli aliye na imani kama hii.
10Huan, Jesun huai thu a jakin lamdang a sa a, amah juite kiangah, Chihtaktakin, ka honhilh ahi, Israelte lakah leng hichitela ginna thupi ka mu kei.
11Basi, nawaambieni kwamba watu wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, nao wataketi karamuni pamoja na Abrahamu, Isaka na Yakobo katika Ufalme wa mbinguni.
11Ka honhilh ahi, Suahlam leh tumlam apat mi tampi a hongpai ding ua, vangamah Abrahamte, isaakte, Jakobte kiangah a tu ding ua;
12Lakini wale ambao wangalipaswa kuwa katika Ufalme huo watatupwa nje, gizani, ambako watalia na kusaga meno."
12gam tate jaw polam mialah paihkhiakin a om ding uh; huai ah tuh kah leh hagawi a om ding, a chi a.
13Kisha Yesu akamwambia huyo ofisa Mroma, "Nenda nyumbani; na iwe kama ulivyoamini." Na mtumishi wake akapona saa ileile.
13Huan, Jesun sepaihzaheutu kiangah, Paita in; na gin bangin na tungah hongtung heh, a chi a. Huchiinm naupang a hongdamta.
14Yesu alifika nyumbani kwa Petro, akamkuta mama mkwe wa Petro amelala kitandani, ana homa kali.
14Huan, Jesu tuh Peter in ah a lut a, a ji nu tuh khosika lum a mu a.
15Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.
15Huan a khut a khoihsaka, a khosik tuh a daita; huan, a thoua a na a sep sakta a.
16Ilipokuwa jioni, walimletea watu wengi waliokuwa wamepagawa na pepo; naye, kwa kusema neno tu, akawafukuza hao pepo. Aliwaponya pia watu wote waliokuwa wagonjwa.
16Huan, nitaklam a honghihin a kiangah dawimatte tampi a honpi ua; huan thuin dawite tuh a delh khiaa, damlo tengteng tuh a hihdam a;
17Alifanya hivyo ili yale aliyosema nabii Isaya yatimie: "Yeye mwenyewe ameondoa udhaifu wetu, ameyachukua magonjwa yetu."
17jawlnei Isaiin, Amah ngeiin, i hatlouhnate a la a, i natnate a pua a, chia a gen tuh a hongtun theihna dingin.
18Yesu alipoona kundi la watu limemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake waende ng'ambo ya ziwa.
18Huan, Jesun mipi thupitak a kima a muhin, gal khat lama pai dingin thu a pia a.
19Mwalimu mmoja wa Sheria akamwendea, akamwambia, "Mwalimu, mimi nitakufuata kokote uendako."
19Huan, laigelhmi khat a hongpaia, a kiangah, Heutupa, na paina peuhah ka honjui ding, a chi a.
20Yesu akamjibu, "Mbweha wana mapango, na ndege wana viota; lakini Mwana wa Mtu hana mahali pa kupumzikia."
20Huan, Jesun a kiangah, Sehalten kua a nei ua, tungleng vasaten leng bu a nei uh, himahleh Mihing Tapain jaw a lu ngakna ding mun a neikei, a chi a.
21Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, "Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu."
21Huan, a nungjuite laka mi dangin, a kiangah, Toupa, ka pa honvui sak photin, a chi a,
22Lakini Yesu akamwambia, "Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao."
22Himahleh, aman tuh a kiangah, Honjui in; misiin amau misi kivui uheh, a chi a.
23Yesu alipanda mashua, na wanafunzi wake wakaenda pamoja naye.
23Huan, longah a tuanga, a nungjuiten a jui ua
24Ghafla, dhoruba kali ikatokea ziwani, hata mawimbi yakaanza kuifunika mashua. Yesu alikuwa amelala usingizi.
24Huan, ngaiin, dil ah huihpi thupi tak a hongnunga, huchin, tuikihawtin long tuh a honvuk noinoi a; amah lah a ihmu a.
25Wanafunzi wakamwendea, wakamwamsha wakisema, "Bwana, tuokoe, tunaangamia!"
25Huan, a kiangah a hong pai ua, a phawng ua, Toupa, hon hondamin, mangthang ding ka kei uhiam; a chi ua.
26Yesu akawaambia, "Enyi watu wenye imani haba; mbona mnaogopa?" Basi, akainuka, akazikemea pepo na mawimbi; kukawa shwari kabisa.
26Huan, aman tuh a kianguah, Gin tawmte aw, bangdia lau na hi ua? a chi a. Huai nungin a thou a, huihte leh dil tuh a tai a; huan a hongdai sipsipta.
27Watu wakashangaa, wakasema, "Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na mawimbi vinamtii!"
27Huan, miten tuh lamdang a sa mahmah ua. Hiai mi, mi bang ahia, huih leh dil nangawnin a thu a man uh? a chi ua.
28Yesu alifika katika nchi ya Wagerasi, ng'ambo ya ziwa, na huko watu wawili waliopagawa na pepo wakakutana naye wakitokea makaburini. Watu hawa walikuwa wenye kutisha mno, hata hakuna mtu aliyethubutu kupita katika njia hiyo.
28Huan, gal khat lam Gadara mite gam tuh a tunin dawi mat nih, han a kipana hongpawtin, a hontuak ua; a hang mahmah ua, huchiin, huai lampi ah tuh kuamah a pai theikei uh.
29Nao wakaanza kupiga kelele, "Una shauri gani nasi, wewe Mwana wa Mungu? Je, umekuja kututesa kabla ya wakati wake?"
29Huan, ngaiin, amau tuh, PAthian Tapa, kou leh nang bang ahia i kizolhna? Hun chiam tun maa kou honggawl dia hiai a hong pai na hi maw? chiin, a kikou ua.
30Karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe wengi wakichungwa.
30Huan, a omna ua kipata gamla khopah vok hon tampi a ta ua.
31Basi, hao pepo wakamsihi, "Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale."
31Huan, dawiten tuh, Na hondelh khaika leh hua vokhon sungah honlutsak in, chiin, a kiangah hahtangpiin a ngen ua.
32Yesu akawaambia, "Haya, nendeni." Hapo wakawatoka watu hao, wakawaingia nguruwe. Kundi lote la nguruwe likaporomoka kwenye ule mteremko mkali, likatumbukia ziwani; nguruwe wote wakafa maji.
32Huan, aman tuh a kianguah, Pai ve ua, a chi a. Huchiin, a hongpawt ua, vok sung khawngah a valut ua; huan, ngaiin, vok hon tengteng tuh tuigei ken ah a tai suk ua, dil ah a tai lut ua, tui ah a mangthangta uh.
33Wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakaenda mjini. Huko walitoa habari zote na mambo yaliyowapata wale watu waliokuwa wamepagawa.
33Huan, a vulte a tai ua, khua ah a pai ua, bangkim ahilhta ua, dawi matte tunga thil hongtungte khawng.Huan, ngaiin, a khuain Jesu dawn dingin a hongpawt ua; huan amah a muh tak un a gam ua kipana pawt dingin hahtangpiin a ngen uh.
34Basi, watu wote katika mji ule walitoka, wakamwendea Yesu; na walipomwona, wakamsihi aondoke katika nchi yao.
34Huan, ngaiin, a khuain Jesu dawn dingin a hongpawt ua; huan amah a muh tak un a gam ua kipana pawt dingin hahtangpiin a ngen uh.